PHP somola 78: Cookie Headers

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Cookie Headers

Cookie Headers

HTTP cookie ni kifaili kidogo chenye data ambacho huhifadhiwa kwenye browser ya mtumiaji. Cookie hutumika kwa kazi nyingi kama kufanya session, kufuatilia mtumiaji ama kutumia taarifa za mtumiaji ili kuboresha matumizi yake.

 

Kuna http header mbili ambazo zinahusiana na cookie ambazo ni:-

  1. Set-Cookie Header

  2. Cookie Header

 

Set-Cookie Header

Hii hutumika na server kutuma taarifa  kwenye browser ya mtumiajiili k set cookie mpya yaani kutengeneza cookie.

 

Jinsi ya kutengeneza cookie

Ili kutengeneza cookie tutatumia function ya setcookie() ambapo itakuwa na jina la cookie - name kisha thamani ya cookie -  value na itafuatiwa na attribute za cookie ambazo ni:-

  1. ...

    Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

    Zoezi la Maswali

    Nyuma Endelea


    Umeionaje Makala hii.. ?

    Nzuri            Mbaya            Save
    Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 493

    Share On:

    Facebook WhatsApp
    Sponsored links
    👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 Dua za Mitume na Manabii   

    Post zinazofanana:

    PHP somo la 76: Aina za cache header

    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Aina za cache header

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 26: Jinsi ya kutengeneza system ya ku chat kw akutumia PHP

    Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutengeneza system ambayo mta atajisajili pamoja na kuchat na watumiaji wengine

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 73: Maana ya http header

    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu http header, maana yake na jinsi ya kusoma taarifa zilizopo kwenye http header.

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 54: class constant kwenye php

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia constatnt kwenye class.

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 79: Custom header

    Katika somo hili utakwenda kuhifunza kuhusu Custom header na aina zake

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 10: Jinsi ya kundika condition statement if, ifelse na switch case

    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu condition statements if, ifelse na switch case. Hata utajifunza jnsi ya kuziandika na zinavyofanya kazi

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 53: class inheritance kwenye PHP Object Oriented Programming

    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu class inheritance kwenye object oriented programming.

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 32: Jinsi ya kutumia filter_var() function kwenye PHP

    Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutumia filter_var() function kwa ajili ya kuchuja code zilizo hatari kwenye PHP file

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 47: Jifunze kuhusu sql injection na kuizuia

    Katika somo hili utajwenda kujifunza jinsi ya kuzuia hacking kwenye website yako

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 42: Jinsi ya kufanya encryption na de cryption kwa kutumia PHP

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya encryption na decryption kwa kutumia PHP. hii itakusaidia kuongeza usalama kwenye taarifa za watu

    Soma Zaidi...