PHP somola 78: Cookie Headers

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Cookie Headers

Cookie Headers

HTTP cookie ni kifaili kidogo chenye data ambacho huhifadhiwa kwenye browser ya mtumiaji. Cookie hutumika kwa kazi nyingi kama kufanya session, kufuatilia mtumiaji ama kutumia taarifa za mtumiaji ili kuboresha matumizi yake.

 

Kuna http header mbili ambazo zinahusiana na cookie ambazo ni:-

  1. Set-Cookie Header

  2. Cookie Header

 

Set-Cookie Header

Hii hutumika na server kutuma taarifa  kwenye browser ya mtumiajiili k set cookie mpya yaani kutengeneza cookie.

 

Jinsi ya kutengeneza cookie

Ili kutengeneza cookie tutatumia function ya setcookie() ambapo itakuwa na jina la cookie - name kisha thamani ya cookie -  value na itafuatiwa na attribute za cookie ambazo ni:-

  1. ...

    Download App Yetu

    Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

    Download Now Bongoclass

    Nyuma Endelea


    Umeionaje Makala hii.. ?

    Nzuri            Mbaya            Save
    Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 143

    Share On:

    Facebook WhatsApp
    Sponsored links
    👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Madrasa kiganjani   

    Post zinazofanana:

    PHP somo la 81: Cross - Orgn Resource Sharing - CORSE header

    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Cross - Orgn Resource Sharing ama inafupishwa kama CORSE header

    Soma Zaidi...
    PHP somola 63: Jinsi ya ku connect database kwa kutumia PDO na faida zake

    Katika soo hili utakwenda kujifunza umuhmu wa kutumia PDO kwenye PHP kwa ajili ya kutumia database.

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 16: Jinsi ya kufuta tabale na database kwa kutumia php

    Katika somo hili utajifunza jinsi ya kufuta table ya databse kwa kutumia PHP. Pia utajifunza jinsi ya kututa database yeto

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 50: Jinsi ya kutengeneza CLASS na OBJECT kwenye PHP OOP

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza class na object. Tunakwenda kutumia mfano wetu wa hapo juu kwa ajili ya kukamilisha somo hili.

    Soma Zaidi...
    PHP BLOG - somo la 11: Jinsi ya kutumia prepared statement

    Katika somo hili utajifnza jinsi ya kufanya prepared statement kama njia ya kuzuia sql ingection kwenye PHP blog

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 62: Project ya CRUDE operation kwa kutumia PHP - OOP na MySQL database

    Katika project hii utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya CRUDE operation kwa kutumia PHP OOP na MySQL database.

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 40: Jinsi ya kutumia htaccess file kubadilisha muonekano wa link

    Katika somo hili uatakwenda kujifunza jinsi ya kutumia htaccess ili kubadili muonekano wa link ya website ama blog ili kuifanya iwe rafiki zaidi.

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 44: Nini cURL na ni yapi matumizi yake?

    Katika somo hilibutajifunza maana ya cURL pamoja na matumini yake

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 61: jinsi ya kufanya loop kwenye class kw akutumia foreach loop

    Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya iteration kwenye PHP OOP hapa tutakwenda kuiona jinsi inavyofanya kazi pamoja na foreach loop

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 80: Authentication header

    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Authentication header, najinsi ya kutuma taarifa hizo na kuzisoma

    Soma Zaidi...