image

PHP somola 78: Cookie Headers

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Cookie Headers

Cookie Headers

HTTP cookie ni kifaili kidogo chenye data ambacho huhifadhiwa kwenye browser ya mtumiaji. Cookie hutumika kwa kazi nyingi kama kufanya session, kufuatilia mtumiaji ama kutumia taarifa za mtumiaji ili kuboresha matumizi yake.

 

Kuna http header mbili ambazo zinahusiana na cookie ambazo ni:-

  1. Set-Cookie Header

  2. Cookie Header

 

Set-Cookie Header

Hii hutumika na server kutuma taarifa  kwenye browser ya mtumiajiili k set cookie mpya yaani kutengeneza cookie.

 

Jinsi ya kutengeneza cookie

Ili kutengeneza cookie tutatumia function ya setcookie() ambapo itakuwa na jina la cookie - name kisha thamani ya cookie -  value na itafuatiwa na attribute za cookie ambazo ni:-

  1. ...



    Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa





               

    Je! umeipenda hii post?
    Ndio            Hapana            Save post

    Rajabu Tarehe 2024-07-10 22:23:43 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 44


    Sponsored links
    👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 Madrasa kiganjani     👉4 kitabu cha Simulizi    

    Post zifazofanana:-

    PHP somo la 84: Maana ya JSON na sheria za kuandika faili la json
    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Maana ya JSON na sheria za kuandika faili la json Soma Zaidi...

    PHP - somo la 35: Jinsi ya ku upload mafaili kwa kutumia PHP
    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku upload mafaili kwenye server kwa kutumia PHP Soma Zaidi...

    PHP somo la 65: Jinsi ya kusoma data kwenye database kwa kutumia PDO
    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kwenye database kwa kutumia PDO. Soma Zaidi...

    PHP somo la 90: Jinsi ya kutumia json data kama blog post
    Katika somo hili utaweza kujifunza ni kwa nambna gani utaweza kutengeneza blog post na kuisoma kwa kutumia data za json Soma Zaidi...

    PHP - somo la 29: Jinsi ya kaundika function kwenye php
    Katika somo hili utakwenda kujifundisha kuhus matumizi ya function kwenye php. Pia utajifunza jinsi ya kuandika function Soma Zaidi...

    PHP somo la 19: Jinsi ya kudhibiti mpangilio wa data baada ya kuzisoma
    Katika somo hili utajifunza kupangilia data wakati wa kuzisoma kwenye database kw akutumia PHP Soma Zaidi...

    PHP - somo la 3: Maana ya variable na inavyoandika kwenye PHP
    Katika somo hili utakwenda kujifunza kujusu PHP variable, maana yake na sheria za uandishi wa variable Soma Zaidi...

    PHP - somo la 41: Jinsi ya kufanya hashing kwenye PHP
    Katika somo hili utajifunza jinsiya kufanya hashing taarifa muhimu kama password. Kufanya hashing kunaongeza usalama wa taarifa za waumiaji kwenye blog yako. Soma Zaidi...

    PHP - somo la 8: jinsi ya kuandika constant kwenye PHP
    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika constant kwenye PHP. Pia utajifunza utofauti wake na variable Soma Zaidi...

    PHP - somo la 26: Jinsi ya kutengeneza system ya ku chat kw akutumia PHP
    Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutengeneza system ambayo mta atajisajili pamoja na kuchat na watumiaji wengine Soma Zaidi...

    PHP somo la 56:class interface na polymorphism kwenye PHP OOP
    Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya interface na concept ya polymorphism kwenye PHP OOP. Soma Zaidi...

    PHP - somo la 2: sheria za uandishi wa code za PHP
    Katika somo hili utajifunza kuhusu syntax za PHP Soma Zaidi...