PHP somola 78: Cookie Headers

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Cookie Headers

Cookie Headers

HTTP cookie ni kifaili kidogo chenye data ambacho huhifadhiwa kwenye browser ya mtumiaji. Cookie hutumika kwa kazi nyingi kama kufanya session, kufuatilia mtumiaji ama kutumia taarifa za mtumiaji ili kuboresha matumizi yake.

 

Kuna http header mbili ambazo zinahusiana na cookie ambazo ni:-

  1. Set-Cookie Header

  2. Cookie Header

 

Set-Cookie Header

Hii hutumika na server kutuma taarifa  kwenye browser ya mtumiajiili k set cookie mpya yaani kutengeneza cookie.

 

Jinsi ya kutengeneza cookie

Ili kutengeneza cookie tutatumia function ya setcookie() ambapo itakuwa na jina la cookie - name kisha thamani ya cookie -  value na itafuatiwa na attribute za cookie ambazo ni:-

  1. ...

    Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

    Zoezi la Maswali

    Nyuma Endelea


    Umeionaje Makala hii.. ?

    Nzuri            Mbaya            Save
    Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 263

    Share On:

    Facebook WhatsApp
    Sponsored links
    👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

    Post zinazofanana:

    PHP somo la 74: aina za http headerna server variable

    Katika somo hii utakwenda kujifunza aina za http header na server variable. Hapa tutakwenda kuchambuwa mgawanyiko wa httpheader na kazi zake.

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 24: Jinsi ya ku upload file kwenye database na kulisoma kw akutumia php

    Katika somo hili utajifnza jinsi ya ku upload file kwenye database. Kisha utajifunza jinsi ya kulisoma faili hilo kwa kutumia php

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 79: Custom header

    Katika somo hili utakwenda kuhifunza kuhusu Custom header na aina zake

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 70: jinsi ya kutuma email yenye html, picha na attachment

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutuma email ambayo ina HTML, pia utajifunza kutuma email yenye picha na attachment nyinginezo kama pdf

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 1: Maana ya PHP na jinsi inavyofanya kazi

    Katika somo hili utakwenda kujifunza maana ya PHP na jinsi inavyofanya kazi

    Soma Zaidi...
    PHP BLOG - somo la 11: Jinsi ya kutumia prepared statement

    Katika somo hili utajifnza jinsi ya kufanya prepared statement kama njia ya kuzuia sql ingection kwenye PHP blog

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 101: Advanced RedBeanPHP - Usimamizi wa Database, Usalama, na Ufanisi

    Hili ni somo la mwisho katika mfululizo huu wa ORM, kupata ujuzi zaidi endelea kusoma ORM nyinginezo ambazo nimetangulia kuzitaja awali ya masomo haya.

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 72: Jinsi ya kuandaa PDF kutoana na data zilizopo kwenye database

    hapa utawenda utuma database wa ajl ya utengeneza maudhu ya PDF.

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 42: Jinsi ya kufanya encryption na de cryption kwa kutumia PHP

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya encryption na decryption kwa kutumia PHP. hii itakusaidia kuongeza usalama kwenye taarifa za watu

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 99: Jinsi ya kutumia ORM kwa kutumia library ya RedBeanPHP

    Katika somo hili utakwenda kujifunza Jinsi ya kutumia ORM kwa kutumia library ya RedBeanPHP

    Soma Zaidi...