Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Cookie Headers
HTTP cookie ni kifaili kidogo chenye data ambacho huhifadhiwa kwenye browser ya mtumiaji. Cookie hutumika kwa kazi nyingi kama kufanya session, kufuatilia mtumiaji ama kutumia taarifa za mtumiaji ili kuboresha matumizi yake.
Kuna http header mbili ambazo zinahusiana na cookie ambazo ni:-
Set-Cookie Header
Cookie Header
Set-Cookie Header
Hii hutumika na server kutuma taarifa kwenye browser ya mtumiajiili k set cookie mpya yaani kutengeneza cookie.
Jinsi ya kutengeneza cookie
Ili kutengeneza cookie tutatumia function ya setcookie() ambapo itakuwa na jina la cookie - name kisha thamani ya cookie - value na itafuatiwa na attribute za cookie ambazo ni:-
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowKatika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Aina za cache header
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifundisha jinsi ya kutafuta taarifa maalumu kwenye database kwa kutumia PHP
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya iteration kwenye PHP OOP hapa tutakwenda kuiona jinsi inavyofanya kazi pamoja na foreach loop
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutuma email ambayo ina HTML, pia utajifunza kutuma email yenye picha na attachment nyinginezo kama pdf
Soma Zaidi...Katika soko hili takwenda kujufunza jinsi ya kutuma sms kwa kutumia PHP. Hii itasaidia kama unataka kutuma OTP yaqni Onetime password
Soma Zaidi...Katika somo hili utaweza kujifunza ni kwa nambna gani utaweza kutengeneza blog post na kuisoma kwa kutumia data za json
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika constant kwenye PHP. Pia utajifunza utofauti wake na variable
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuandika while loop kwenye PHP
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ya kufanya sanitization kwenye user input ili kuzuia sql injection kwenye database.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ambavyo unaweza kutengeneza blog ambayo utaweza ku upload faili na kuandika makala kwa kutumia PHP
Soma Zaidi...