image

PHP somola 78: Cookie Headers

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Cookie Headers

Cookie Headers

HTTP cookie ni kifaili kidogo chenye data ambacho huhifadhiwa kwenye browser ya mtumiaji. Cookie hutumika kwa kazi nyingi kama kufanya session, kufuatilia mtumiaji ama kutumia taarifa za mtumiaji ili kuboresha matumizi yake.

 

Kuna http header mbili ambazo zinahusiana na cookie ambazo ni:-

  1. Set-Cookie Header

  2. Cookie Header

 

Set-Cookie Header

Hii hutumika na server kutuma taarifa  kwenye browser ya mtumiajiili k set cookie mpya yaani kutengeneza cookie.

 

Jinsi ya kutengeneza cookie

Ili kutengeneza cookie tutatumia function ya setcookie() ambapo itakuwa na jina la cookie - name kisha thamani ya cookie -  value na itafuatiwa na attribute za cookie ambazo ni:-

  1. ...



    Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa





               

    Je! umeipenda hii post?
    Ndio            Hapana            Save post

    Rajabu Tarehe 2024-07-10 22:23:43 Topic: PHP Main: Masomo File: Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 69


    Sponsored links
    👉1 Kitabu cha Afya     👉2 kitabu cha Simulizi     👉3 Madrasa kiganjani     👉4 Kitau cha Fiqh     👉5 Simulizi za Hadithi Audio     👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    

    Post zifazofanana:-

    PHP somol la 55: PHP Abstract Class na abstract method
    Katika somo hili utakwenda kujifunza concept mpya ya abstract class na abstract method kwenye OOP. Soma Zaidi...

    PHP - somo la 42: Jinsi ya kufanya encryption na de cryption kwa kutumia PHP
    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya encryption na decryption kwa kutumia PHP. hii itakusaidia kuongeza usalama kwenye taarifa za watu Soma Zaidi...

    PHP BLOG - somo la 10: Jinsi ya kufanya sanitization
    Katika somo hili utajifunza jinsi ya kufanya sanitization kwenye user input ili kuzuia sql injection kwenye database. Soma Zaidi...

    PHP somo la 53: class inheritance kwenye PHP Object Oriented Programming
    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu class inheritance kwenye object oriented programming. Soma Zaidi...

    PHP somo la 90: Jinsi ya kutumia json data kama blog post
    Katika somo hili utaweza kujifunza ni kwa nambna gani utaweza kutengeneza blog post na kuisoma kwa kutumia data za json Soma Zaidi...

    PHP BLOG - somo la 5: Jinsi ya kuandika code za PHP kwa ajili ya kuweka post kwenye blog
    Katika ukurasa huu utakwenda kujifunz jinsi ya kuandika code za php kwa ajili ya kutuma post yetu kwenye blog. Soma Zaidi...

    PHP - somo la 29: Jinsi ya kaundika function kwenye php
    Katika somo hili utakwenda kujifundisha kuhus matumizi ya function kwenye php. Pia utajifunza jinsi ya kuandika function Soma Zaidi...

    PHP - somo la 38: Jinsi ya ku upload mafaili zaidi ya moja kwa kutumia PHP
    katika somo hili utajifunza jinsi ya ku upload multiple file yaani mafaili mengi kwa wakati mmoja kwa kutumia PHP Soma Zaidi...

    PHP - somo la 34: Jinsi ya kutumia do loop, while loop na foreach kwenye PHP
    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu aina za loop DO, FOR, FOREACH LOOPS kwenye PHP Soma Zaidi...

    PHP BLOG - somo la 3: Jinsi ya kutengeneza table kwenye databse kwa ajili ya blog
    Hapa utajifunza jinsi ya kutengeneza table ambayo tutaitumia kwenye blog yetu Soma Zaidi...

    PHP - somo la 20 : Jinsi ya kufuta na ku update data kwenye database kwa kutumia PHP
    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku update na kufuta data kwenye database kwa kutumia PHP Soma Zaidi...

    PHP somo la 52: Aina za access modifire na zinavyotofautiana.
    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu access modifier ili kuweza kuthibiti nama ya kuzitumia properties kwenye class. Soma Zaidi...