picha

PHP - somo la 36: Jinsi ya ku upload taarifa za mafaili kwenye database kw akutumia PHP

katika somo hili utajfunza kukusanya taarifa za mafaili. kisha ku upload hayo mafaili. kisha kuandika hizo taarifa za mafaii kwenye database

Katika somo hili tutakwenda kuona jinasi ya ku upload mafaili kwenye database pia ku upload taarifa za faili kwenye database. Katika somo hili pia utajifunza namna ya ku retrive taarifa za mafaili kwenye database pia kufuta faili. 

 

YALIYOMO:-

  1. Ku upload taarifa za faili

  2. Ku upload faili

  3. Ku retrive faili na taarifa zake

  4. Ku futa faili kwenye database

  5. Kufuta faili kwenye folda

  6. Ku download faili

  7. Njia nzuri ya kuhifadhi mafaili

 

Katika somo hili tutaendelea kutumia code zetu kutoka katika somo lililotangulia. Japo tutazikata ili kupunguza uwingi wa code ambazo hazitatumika.

 

  1. Ku upload taarifa za faili:

Ku upload faili kwenye database kuna namna kuu mbili. Namna ya kwanza ni kuhifadhi taaifa za faili kwenye database. Yaani ipi hivi failu linakuwa kwenye storage ama server wakati wa ku upload, kisha kwenye database unaweza taarifa za hilo faili. Hii itasaidia kujuwa wapi faili lipo ili kuweza kulitumia unapolitaka.

 

Njia hii ni kama ambayo imetangulia. Ni kuwa una upload faili kwenye folda unalotaka kwenye server kisha taarifa zake ndio huenda kwenye database. Kwa kutumia taarifa hizo inakuwa rahisi kulifunguwa faili hilo.

 

Ni matumaini yangu kuwa umeshapitia mafunzo yetu ya php level 2. Ambapo utakuwa unatambuwa jinsi ya ku connect database, pia jinsi ya kuingiza taarifa kwenye database. Hivyo basi na hapa tunatumia namna hiyohiyo. 

 

Kwa kuwa taarifa za faili ketu tunazo kwenye variable hivyo basi tutatumia hizo variable kwenye ku insert kwenye database. Taarifa ambazo tunakwenda kuingiza ni jina la faili, aina ya faili na ukubwa wake. Hivyo variable zake zitaluwa hizi:-

//kujuwa jina la faili

$fileName = $_FILES["myFile"]["name"];

// kujuwa ukiubwa wa faili

$fileSize = $_FILES["myFile"]["size"];

//kujuwa aina ya faili

$fileType = $_FILES["myFile"]["type"];

 

Sasa kinachofuwata ni kutengeneza table kwenye database. Katika mfano wa hapo chini nimetumia jina la database test na table files Table yetu tutaiita faili ambapo inatakuwa na column 4, ya kwanza ni ya id ambapo type ni int, itabidi iwe AI yaani auto increment, ya pili ni name ambapo type ni string, na length unaweza weka 255, ya tatu ni size ambapo type itakuwa int, na ya mwisho ni type na aina yake ni string.

 

Sasa kwa kuwa tayari table tunayo kilichobaki ni kuingiza taarifa hizo kwenye table yetu. KUinsert taarifa kwenye databse utatumia insert into files (name, size, type) VALUES (hapa utaweka variable za hizo data.). Code nzima itaonekana hivi

$sql="INSERT INTO medias (name, size, type) VALUES ('$fileName', '$fileSize', '$tyleType')";

 

Kama utakuwa umeshafahamu jinsi hizo code zinavtyofanya kazi, basi kinachofata ni kuzichanganya na code zilizotangulia:

<html>

<head>

   <title>upload</title>

   <meta name="viewport" content="width=device-width=100%">

</head>

<body>

<form  method="post" action="#" enctype="multipart/form-data">

   <label>Select File:</label>

   <input type="file" name="myFile">

   <input type="submit" name="submit" value="Upload">

</form>

 

 

 

<?php if (isset($_POST["submit"])) {

   //folda la kuhifadhia

   $folda = "upload/";

   //kujuwa jina la faili

   $fileName = $_FILES["myFile"]["name"];

   // kujuwa ukiubwa wa faili

   $fileSize = $_FILES["myFile"]["size"];

   //kujuwa aina ya faili

   $fileType = $_FILES["myFile"]["type"];

   //kujuwa mahala lilipo link yake

   $fileLocation = $_FILES["myFile"]["tmp_name"];

   //Kujuwa error code

   $errorCode = $_FILES["myFile"]["error"];

   //Kujuwa file extension

   $fileextension = pathinfo($fileName, PATHINFO_EXTENSION);

   //fomati zinazotakiwa

   $format = ["jpg", "jpeg", "gif", "pdf"];

 

   /*  //kuonyesha taarifa kwenye browser

     echo "Filename: " . $fileName . "<br>";

     echo "Type : " . $fileType . "<br>";

     echo "Size : " . $fileSize . "<br>";

     echo "Temp name: " . $fileLocation . "<br>";

     echo "Error : " . $errorCode . "<br>";

     echo "Extension:" . $fileextension . "<br>";

 */

   //kuangalia kama faili lipo

   if (

   file_exists(

       $folda .

       date("d" . "-" . "m" . "-" . "y" . "-") .

       str_replace(" ", "-", $fileName)

   )

   ) {

       echo "sorry file exist". "<br>";

   }

   // dhibiti ukubwa wa faili

   if ($_FILES["myFile"]["size"] > 5000000) {

       echo "file is too large." . "<br>";

   }

   //if (!in_array($fileextension, $format)){echo 'file is not allowed';

   //}

 

   // mafaili yanayotakiwa

   if (

       $fileextension != "jpg" &&

       $fileextension != "png" &&

       $fileextension != "jpeg" &&

       $fileextension != "gif" &&

       $fileextension != "pdf"

   ) {

       echo "file is not allowed";

   } else {

       if (

       move_uploaded_file(

           $fileLocation,

           $folda .

           date("d" . "-" . "m" . "-" . "y" . "-") .

           str_replace(" ", "-", $fileName)

       )

       ) {

           echo "successful";

       } else {

           echo "unsuccessful";

       }

 

   }

   echo "<br><br>";

//$servername = "localhost";

   $servername = "localhost";

   $username = "root";

   $password ="";

   $dbname = "test";

 

// Kufanya connection

 

   $conn=mysqli_connect($servername,  $username,$password,$dbname);

 

// kuangalia connection

 

   if(!$conn){die("Connection failed: ".mysqli_connect_error());

 

   }

   $sql="INSERT INTO files (name, size, type) VALUES ('$fileName', '$fileSize', '$fileType')";

 

 

   if(mysqli_query($conn, $sql)){echo "faili limepakiwa";

 

   }else{

       echo "Kuna tatizo".mysqli_error($conn);

 

   }mysqli_close($conn);

}

 

echo "<br><br>";

 

?>

 

 

Kama umefanikiwa ku upload basi kwenye databse yako mafaili yataweza kuonekana kama hivi:-

 

Mpaka kufikia hapo tumeweza ku upload taarifa za faili kwen ye database. Unaweza ku upload taarifa zaidi na zaidi kadiri unavyohitaji. Sasa kwa kutumia taarifa hizo unaweza kulifikia faili ambalo lipo kwenye folda. 

 

  1. Ku upload faili moja kwa moja kwenda kweny...

Ingia sasa ili uweze kusoma makala hii yote.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: PHP Main: Masomo File: Download PDF Views 785

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game     👉2 Simulizi za Hadithi Audio     👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉4 ai web app     👉5 Kitau cha Fiqh     👉6 kitabu cha Simulizi    

Post zinazofanana:

PHP - 9: Jinsi ya kuandika array kwenye PHP na kuzifanyia kazi

Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu array kwenye php, na jinsi zinavyoweza kufanya kazi

Soma Zaidi...
PHP -somo la 33: Matumizi ya while loop kwenye PHP

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuandika while loop kwenye PHP

Soma Zaidi...
PHP - somo la 41: Jinsi ya kufanya hashing kwenye PHP

Katika somo hili utajifunza jinsiya kufanya hashing taarifa muhimu kama password. Kufanya hashing kunaongeza usalama wa taarifa za waumiaji kwenye blog yako.

Soma Zaidi...
PHP somo la 86: JInsi ya ku decode json yaani kubadili json kuwa php data kama array ana object

Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kubadili json data na kuwaphp array ama php object. Kwa ufupi tunakwend aku decode json data kuwa phparray amaobject

Soma Zaidi...
PHP - somo la 21: Jinsi ya kutafuta kitu kwenye database kwa mutumia PHP

Katika somo hili utakwenda kujifundisha jinsi ya kutafuta taarifa maalumu kwenye database kwa kutumia PHP

Soma Zaidi...
PHP somo la 57: class traits kwenye PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya traits kwenye OOP. hii itakusaidia ku solve baadhi ya changamoto zinazotokana na inheritance

Soma Zaidi...