image

PHP - somo la 36: Jinsi ya ku upload taarifa za mafaili kwenye database kw akutumia PHP

katika somo hili utajfunza kukusanya taarifa za mafaili. kisha ku upload hayo mafaili. kisha kuandika hizo taarifa za mafaii kwenye database

Katika somo hili tutakwenda kuona jinasi ya ku upload mafaili kwenye database pia ku upload taarifa za faili kwenye database. Katika somo hili pia utajifunza namna ya ku retrive taarifa za mafaili kwenye database pia kufuta faili. 

 

YALIYOMO:-

  1. Ku upload taarifa za faili

  2. Ku upload faili

  3. Ku retrive faili na taarifa zake

  4. Ku futa faili kwenye database

  5. Kufuta faili kwenye folda

  6. Ku download faili

  7. Njia nzuri ya kuhifadhi mafaili

 

Katika somo hili tutaendelea kutumia code zetu kutoka katika somo lililotangulia. Japo tutazikata ili kupunguza uwingi wa code ambazo hazitatumika.

 

  1. Ku upload taarifa za faili:

Ku upload faili kwenye database kuna namna kuu mbili. Namna ya kwanza ni kuhifadhi taaifa za faili kwenye database. Yaani ipi hivi failu linakuwa kwenye storage ama server wakati wa ku upload, kisha kwenye database unaweza taarifa za hilo faili. Hii itasaidia kujuwa wapi faili lipo ili kuweza kulitumia unapolitaka.

 

Njia hii ni kama ambayo imetangulia. Ni kuwa una upload faili kwenye folda unalotaka kwenye server kisha taarifa zake ndio huenda kwenye database. Kwa kutumia taarifa hizo inakuwa rahisi kulifunguwa faili hilo.

 

Ni matumaini yangu kuwa umeshapitia mafunzo yetu ya php level 2. Ambapo utakuwa unatambuwa jinsi ya ku connect database, pia jinsi ya kuingiza taarifa kwenye database. Hivyo basi na hapa tunatumia namna hiyohiyo. 

 

Kwa kuwa taarifa za faili ketu tunazo kwenye variable hivyo basi tutatumia hizo variable kwenye ku insert kwenye database. Taarifa ambazo tunakwenda kuingiza ni jina la faili, aina ya faili na ukubwa wake. Hivyo variable zake zitaluwa hizi:-

//kujuwa jina la faili

$fileName = $_FILES["myFile"]["name"];

// kujuwa ukiubwa wa faili

$fileSize = $_FILES["myFile"]["size"];

//kujuwa aina ya faili

$fileType = $_FILES["myFile"]["type"];

 

Sasa kinachofuwata ni kutengeneza table kwenye database. Katika mfano wa hapo chini nimetumia jina la database test na table files Table yetu tutaiita faili ambapo inatakuwa na column 4, ya kwanza ni ya id ambapo type ni int, itabidi iwe AI yaani auto increment, ya pili ni name ambapo type ni string, na length unaweza weka 255, ya tatu ni size ambapo type itakuwa int, na ya mwisho ni type na aina yake ni string.

 

Sasa kwa kuwa tayari table tunayo kilichobaki ni kuingiza taarifa hizo kwenye table yetu. KUinsert taarifa kwenye databse utatumia insert into files (name, size, type) VALUES (hapa utaweka variable za hizo data.). Code nzima itaonekana hivi

$sql="INSERT INTO medias (name, size, type) VALUES ('$fileName', '$fileSize', '$tyleType')";

 

Kama utakuwa umeshafahamu jinsi hizo code zinavtyofanya kazi, basi kinachofata ni kuzichanganya na code zilizotangulia:

<html>

<head>

   <title>upload</title>

   <meta name="viewport" content="width=device-width=100%">

</head>

<body>

<form  method="post" action="#" enctype="multipart/form-data">

   <label>Select File:</label>

   <input type="file" name="myFile">

   <input type="submit" name="submit" value="Upload">

</form>

 

 

 

<?php if (isset($_POST["submit"])) {

   //folda la kuhifadhia

   $folda = "upload/";

   //kujuwa jina la faili

   $fileName = $_FILES["myFile"]["name"];

   // kujuwa ukiubwa wa faili

   $fileSize = $_FILES["myFile"]["size"];

   //kujuwa aina ya faili

   $fileType = $_FILES["myFile"]["type"];

   //kujuwa mahala lilipo link yake

   $fileLocation = $_FILES["myFile"]["tmp_name"];

   //Kujuwa error code

   $errorCode = $_FILES["myFile"]["error"];

   //Kujuwa file extension

   $fileextension = pathinfo($fileName, PATHINFO_EXTENSION);

   //fomati zinazotakiwa

   $format = ["jpg", "jpeg", "gif", "pdf"];

 

   /*  //kuonyesha taarifa kwenye browser

     echo "Filename: " . $fileName . "<br>";

     echo "Type : " . $fileType . "<br>";

     echo "Size : " . $fileSize . "<br>";

     echo "Temp name: " . $fileLocation . "<br>";

     echo "Error : " . $errorCode . "<br>";

     echo "Extension:" . $fileextension . "<br>";

 */

   //kuangalia kama faili lipo

   if (

   file_exists(

       $folda .

       date("d" . "-" . "m" . "-" . "y" . "-") .

       str_replace(" ", "-", $fileName)

   )

   ) {

       echo "sorry file exist". "<br>";

   }

   // dhibiti ukubwa wa faili

   if ($_FILES["myFile"]["size"] > 5000000) {

       echo "file is too large." . "<br>";

   }

   //if (!in_array($fileextension, $format)){echo 'file is not allowed';

   //}

 

   // mafaili yanayotakiwa

   if (

       $fileextension != "jpg" &&

       $fileextension != "png" &&

       $fileextension != "jpeg" &&

       $fileextension != "gif" &&

       $fileextension != "pdf"

   ) {

       echo "file is not allowed";

   } else {

       if (

       move_uploaded_file(

           $fileLocation,

           $folda .

           date("d" . "-" . "m" . "-" . "y" . "-") .

           str_replace(" ", "-", $fileName)

       )

       ) {

           echo "successful";

       } else {

           echo "unsuccessful";

       }

 

   }

   echo "<br><br>";

//$servername = "localhost";

   $servername = "localhost";

   $username = "root";

   $password ="";

   $dbname = "test";

 

// Kufanya connection

 

   $conn=mysqli_connect($servername,  $username,$password,$dbname);

 

// kuangalia connection

 

   if(!$conn){die("Connection failed: ".mysqli_connect_error());

 

   }

   $sql="INSERT INTO files (name, size, type) VALUES ('$fileName', '$fileSize', '$fileType')";

 

 

   if(mysqli_query($conn, $sql)){echo "faili limepakiwa";

 

   }else{

       echo "Kuna tatizo".mysqli_error($conn);

 

   }mysqli_close($conn);

}

 

echo "<br><br>";

 

?>

 

 

Kama umefanikiwa ku upload basi kwenye databse yako mafaili yataweza kuonekana kama hivi:-

 

Mpaka kufikia hapo tumeweza ku upload taarifa za faili kwen ye database. Unaweza ku upload taarifa zaidi na zaidi kadiri unavyohitaji. Sasa kwa kutumia taarifa hizo unaweza kulifikia faili ambalo lipo kwenye folda. 

 

  1. Ku upload faili moja kwa moja kwenda kwenye database.

Katik">...



Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 117


Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 Kitau cha Fiqh     👉4 kitabu cha Simulizi    

Post zifazofanana:-

PHP - somo la 10: Jinsi ya kundika condition statement if, ifelse na switch case
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu condition statements if, ifelse na switch case. Hata utajifunza jnsi ya kuziandika na zinavyofanya kazi Soma Zaidi...

PHP somo la 73: Maana ya http header
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu http header, maana yake na jinsi ya kusoma taarifa zilizopo kwenye http header. Soma Zaidi...

PHP - somo la 24: Jinsi ya ku upload file kwenye database na kulisoma kw akutumia php
Katika somo hili utajifnza jinsi ya ku upload file kwenye database. Kisha utajifunza jinsi ya kulisoma faili hilo kwa kutumia php Soma Zaidi...

PHP somo la 53: class inheritance kwenye PHP Object Oriented Programming
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu class inheritance kwenye object oriented programming. Soma Zaidi...

PHP somo la 70: jinsi ya kutuma email yenye html, picha na attachment
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutuma email ambayo ina HTML, pia utajifunza kutuma email yenye picha na attachment nyinginezo kama pdf Soma Zaidi...

PHP somo la 67: Project ya CUDE operaton wa utuma OOP na PDO
Katika somo hii utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya CRUDE operation kwa kutumia PDO. crude operation inahusu create, read, update. Delete. Soma Zaidi...

PHP BLOG - somo la 3: Jinsi ya kutengeneza table kwenye databse kwa ajili ya blog
Hapa utajifunza jinsi ya kutengeneza table ambayo tutaitumia kwenye blog yetu Soma Zaidi...

PHP somo la 54: class constant kwenye php
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia constatnt kwenye class. Soma Zaidi...

PHP somo la 76: Aina za cache header
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Aina za cache header Soma Zaidi...

PHP somo la 79: Custom header
Katika somo hili utakwenda kuhifunza kuhusu Custom header na aina zake Soma Zaidi...

PHP - somo la 35: Jinsi ya ku upload mafaili kwa kutumia PHP
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku upload mafaili kwenye server kwa kutumia PHP Soma Zaidi...

PHP somol la 55: PHP Abstract Class na abstract method
Katika somo hili utakwenda kujifunza concept mpya ya abstract class na abstract method kwenye OOP. Soma Zaidi...