PHP - somo la 36: Jinsi ya ku upload taarifa za mafaili kwenye database kw akutumia PHP

katika somo hili utajfunza kukusanya taarifa za mafaili. kisha ku upload hayo mafaili. kisha kuandika hizo taarifa za mafaii kwenye database

Katika somo hili tutakwenda kuona jinasi ya ku upload mafaili kwenye database pia ku upload taarifa za faili kwenye database. Katika somo hili pia utajifunza namna ya ku retrive taarifa za mafaili kwenye database pia kufuta faili. 

 

YALIYOMO:-

  1. Ku upload taarifa za faili

  2. Ku upload faili

  3. Ku retrive faili na taarifa zake

  4. Ku futa faili kwenye database

  5. Kufuta faili kwenye folda

  6. Ku download faili

  7. Njia nzuri ya kuhifadhi mafaili

 

Katika somo hili tutaendelea kutumia code zetu kutoka katika somo lililotangulia. Japo tutazikata ili kupunguza uwingi wa code ambazo hazitatumika.

 

  1. Ku upload taarifa za faili:

Ku upload faili kwenye database kuna namna kuu mbili. Namna ya kwanza ni kuhifadhi taaifa za faili kwenye database. Yaani ipi hivi failu linakuwa kwenye storage ama server wakati wa ku upload, kisha kwenye database unaweza taarifa za hilo faili. Hii itasaidia kujuwa wapi faili lipo ili kuweza kulitumia unapolitaka.

 

Njia hii ni kama ambayo imetangulia. Ni kuwa una upload faili kwenye folda unalotaka kwenye server kisha taarifa zake ndio huenda kwenye database. Kwa kutumia taarifa hizo inakuwa rahisi kulifunguwa faili hilo.

 

Ni matumaini yangu kuwa umeshapitia mafunzo yetu ya php level 2. Ambapo utakuwa unatambuwa jinsi ya ku connect database, pia jinsi ya kuingiza taarifa kwenye database. Hivyo basi na hapa tunatumia namna hiyohiyo. 

 

Kwa kuwa taarifa za faili ketu tunazo kwenye variable hivyo basi tutatumia hizo variable kwenye ku insert kwenye database. Taarifa ambazo tunakwenda kuingiza ni jina la faili, aina ya faili na ukubwa wake. Hivyo variable zake zitaluwa hizi:-

//kujuwa jina la faili

$fileName = $_FILES["myFile"]["name"];

// kujuwa ukiubwa wa faili

$fileSize = $_FILES["myFile"]["size"];

//kujuwa aina ya faili

$fileType = $_FILES["myFile"]["type"];

 

Sasa kinachofuwata ni kutengeneza table kwenye database. Katika mfano wa hapo chini nimetumia jina la database test na table files Table yetu tutaiita faili ambapo inatakuwa na column 4, ya kwanza ni ya id ambapo type ni int, itabidi iwe AI yaani auto increment, ya pili ni name ambapo type ni string, na length unaweza weka 255, ya tatu ni size ambapo type itakuwa int, na ya mwisho ni type na aina yake ni string.

 

Sasa kwa kuwa tayari table tunayo kilichobaki ni kuingiza taarifa hizo kwenye table yetu. KUinsert taarifa kwenye databse utatumia insert into files (name, size, type) VALUES (hapa utaweka variable za hizo data.). Code nzima itaonekana hivi

$sql="INSERT INTO medias (name, size, type) VALUES ('$fileName', '$fileSize', '$tyleType')";

 

Kama utakuwa umeshafahamu jinsi hizo code zinavtyofanya kazi, basi kinachofata ni kuzichanganya na code zilizotangulia:

<html>

<head>

   <title>upload</title>

   <meta name="viewport" content="width=device-width=100%">

</head>

<body>

<form  method="post" action="#" enctype="multipart/form-data">

   <label>Select File:</label>

   <input type="file" name="myFile">

   <input type="submit" name="submit" value="Upload">

</form>

 

 

 

<?php if (isset($_POST["submit"])) {

   //folda la kuhifadhia

   $folda = "upload/";

   //kujuwa jina la faili

   $fileName = $_FILES["myFile"]["name"];

   // kujuwa ukiubwa wa faili

   $fileSize = $_FILES["myFile"]["size"];

   //kujuwa aina ya faili

   $fileType = $_FILES["myFile"]["type"];

   //kujuwa mahala lilipo link yake

   $fileLocation = $_FILES["myFile"]["tmp_name"];

   //Kujuwa error code

   $errorCode = $_FILES["myFile"]["error"];

   //Kujuwa file extension

   $fileextension = pathinfo($fileName, PATHINFO_EXTENSION);

   //fomati zinazotakiwa

   $format = ["jpg", "jpeg", "gif", "pdf"];

 

   /*  //kuonyesha taarifa kwenye browser

     echo "Filename: " . $fileName . "<br>";

     echo "Type : " . $fileType . "<br>";

     echo "Size : " . $fileSize . "<br>";

     echo "Temp name: " . $fileLocation . "<br>";

     echo "Error : " . $errorCode . "<br>";

     echo "Extension:" . $fileextension . "<br>";

 */

   //kuangalia kama faili lipo

   if (

   file_exists(

       $folda .

       date("d" . "-" . "m" . "-" . "y" . "-") .

       str_replace(" ", "-", $fileName)

   )

   ) {

       echo "sorry file exist". "<br>";

   }

   // dhibiti ukubwa wa faili

   if ($_FILES["myFile"]["size"] > 5000000) {

       echo "file is too large." . "<br>";

   }

   //if (!in_array($fileextension, $format)){echo 'file is not allowed';

   //}

 

   // mafaili yanayotakiwa

   if (

       $fileextension != "jpg" &&

       $fileextension != "png" &&

       $fileextension != "jpeg" &&

       $fileextension != "gif" &&

       $fileextension != "pdf"

   ) {

       echo "file is not allowed";

   } else {

       if (

       move_uploaded_file(

           $fileLocation,

           $folda .

           date("d" . "-" . "m" . "-" . "y" . "-") .

           str_replace(" ", "-", $fileName)

       )

       ) {

           echo "successful";

       } else {

           echo "unsuccessful";

       }

 

   }

   echo "<br><br>";

//$servername = "localhost";

   $servername = "localhost";

   $username = "root";

   $password ="";

   $dbname = "test";

 

// Kufanya connection

 

   $conn=mysqli_connect($servername,  $username,$password,$dbname);

 

// kuangalia connection

 

   if(!$conn){die("Connection failed: ".mysqli_connect_error());

 

   }

   $sql="INSERT INTO files (name, size, type) VALUES ('$fileName', '$fileSize', '$fileType')";

 

 

   if(mysqli_query($conn, $sql)){echo "faili limepakiwa";

 

   }else{

       echo "Kuna tatizo".mysqli_error($conn);

 

   }mysqli_close($conn);

}

 

echo "<br><br>";

 

?>

 

 

Kama umefanikiwa ku upload basi kwenye databse yako mafaili yataweza kuonekana kama hivi:-

 

Mpaka kufikia hapo tumeweza ku upload taarifa za faili kwen ye database. Unaweza ku upload taarifa zaidi na zaidi kadiri unavyohitaji. Sasa kwa kutumia taarifa hizo unaweza kulifikia faili ambalo lipo kwenye folda. 

 

  1. Ku upload faili moja kwa moja kwenda kwenye da">...

    Download App Yetu

    Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

    Download Now Bongoclass

    Nyuma Endelea


    Umeionaje Makala hii.. ?

    Nzuri            Mbaya            Save
    Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 281

    Share On:

    Facebook WhatsApp
    Sponsored links
    👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Madrasa kiganjani   

    Post zinazofanana:

    PHP - somo la 20 : Jinsi ya kufuta na ku update data kwenye database kwa kutumia PHP

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku update na kufuta data kwenye database kwa kutumia PHP

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 57: class traits kwenye PHP

    Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya traits kwenye OOP. hii itakusaidia ku solve baadhi ya changamoto zinazotokana na inheritance

    Soma Zaidi...
    PHP - 9: Jinsi ya kuandika array kwenye PHP na kuzifanyia kazi

    Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu array kwenye php, na jinsi zinavyoweza kufanya kazi

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 52: Aina za access modifire na zinavyotofautiana.

    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu access modifier ili kuweza kuthibiti nama ya kuzitumia properties kwenye class.

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 39: Jinsi ya kutengeneza mafaili na mafolda kwenye server kwa kutumia PHP

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuzungumza na server ili kutengeneza mafaili, mafolda, kufuta na ku edit kwa kutumia PHP.

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 32: Jinsi ya kutumia filter_var() function kwenye PHP

    Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutumia filter_var() function kwa ajili ya kuchuja code zilizo hatari kwenye PHP file

    Soma Zaidi...
    PHP BLOG - somo la 6: Jinsi ya kutengeneza dashboard kwa ajili ya blog

    katika post hii utajifunza jinsi ya kutengeneza ukurasa wa dashboard kwa ajili ya kutibti post

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 68: Jinsi ya kutuma email kwa kutumia PHPMailer

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jisniya kutuma email kwa kutumia PHPMailer kwenye project ya PHP. Katika somo hili tutakwend akutuma email kwa kutumia localhost.

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 89: Jinsi ya kutumia data za json kwenye program ya php na html

    Katika somo hili utakwend akujifunza ni kwa namna gani utaweza kuzitumiadata za jsonkwenye program yako

    Soma Zaidi...
    PHP BLOG - somo la 9: Jinsi ya ku edit poost

    Katika somo hil utawenda kujifunza jinsi ya ku edit post kwenye databse

    Soma Zaidi...