picha

Njia za uzazi wa mpango kwa akina Mama kuanzia miezi sita baada ya kujifungua mpaka mwaka mmoja

Posti hii inahusu zaidi njia za uzazi wa mpango kwa mama aliyejifungua kuanzia miezi sita mpaka mwaka mmoja.

Njia za uzazi wa mpango kuanzia miezi sita mpaka mwaka mmoja baada ya kujifungua.

1.Tunajua wazi kuwa baada ya kujifungua mama anaweza kunyonyesha mtoto wake kwa mda mrefu na wa kutosha kwa mize sita na pasipokutumia uzazi wa mpango na mama hasipatwe mimba lakini baada ya miezi sita hata kama ananyonyesha anaweza kupata mimba kwa hiyo zifuatazo ni baadhi ya njia za uzazi wa mpango anazoweza kutumia baada ya miezi sita.

 

2.Mama anaweza kutumia njia ya kusikiliza ute, utumika pale Mama anapashika ute wake na akiona kuwa ni mzito anaweza kujamiiana na hasipate mimba maana mbegu haziwezi kupita na kurutubisha yai, na kama ute ni mwepesi Mama hasijamiane kwa sababu mbegu zinaweza kupita na kurutubisha yai.

 

3.Njia ya kutumia progesterone homoni ya vidonge au ya sindano kwa sababu hizi uzuia yai lisipevuke kwa hiyo kwa kutumia njia hii Mama hawezi kupata mimba, kwa hiyo kabla ya kutumia njia hizi maelekezo kutoka kwa wataalamu wa afya ni lazima ili kuweza kujua iwapo kuna maudhi madogo madogo na kuweza kuona ni kitu cha kawaida na kinaweza kuisha.

 

4. Pia Mama anaweza kutumia njia ya mchanganyiko wa homoni mbalimbali ambazo ni progesterone na oestrogen, hizi homoni uweza kuzuia yai lisipevuke na mimba haiwezi kutungwa, kwa hiyo tunapaswa kujua kubwa hizi njia za uzazi wa mpango zinatumiwa baada ya kupata ushauri kutoka kwa wataalamu wa afya.

 

5. Kwa hiyo kama Mama yupo katika hali fulani kama vile kunyonyesha, ametoa mimba ana kifua kikuu, ana presha anapaswa kuwaona wataalamu wa afya ili kujua njia gani aweze kutumia kwa hiyo akina Mama mnashauliwa kubwa wazi kuhusu Magonjwa yaliyopo ili kupatiwa njia inayofaa.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2022/02/09/Wednesday - 11:53:04 am Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 1900

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 Kitau cha Fiqh    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 web hosting    👉6 Dua za Mitume na Manabii   

Post zinazofanana:

Mambo yanayodhihirisha afya ya nguvu za kiume

Posti hii inahusu zaidi mambo mbalimbali yanayodhoofisha afya za wanaume, kwa wakati mwingine wanaume ukosa kujiamini kwa sababu ya mambo ambayo yanaadhiri afya za wanaume.

Soma Zaidi...
UTI na ujauzito

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu ugonjwa wa UTI kwa wajawazito

Soma Zaidi...
Dalili za kujifunguwa, na dalili za uchungu wa kujifunguwa

Nitajuwaje kama mjamzito amekaribia kujifunguwa, ni dalili gani anaonyesha, dalili za uchungu wa kujifunguwa

Soma Zaidi...
Mwezi juzi niliingia tarhe 21 ila mwez uloisha nmeingia tarh 25 maana mzunguko wangu umekuwa mrefu nikahs naujauzito kumbe mzunguko umebadilika hapo tatz n nn

Posti hii utakwenda kutoa sababu kuu za kuvurugika kwa mzunguko wa hedhi. Kama na wewe numiongini mwaka endelea kusoma

Soma Zaidi...
je kutokwa na maji mengi wakati wa tendo la ndoa inaashilia nini?

Je kutokwa na maji ukeni ambayo hayana harufu na meupe Hadi kuroanisha chupi, na je kutokwa na maji mengi wakati wa tendo la ndoa inaashilia nini?

Soma Zaidi...
Mambo yanayopelekea Mjamzito kutokwa na damu

Posti hii inahusu zaidi mambo mbalimbali ambayo yanapelekea Mjamzito kutokwa na damu, hizi ni baadhi ya sababu ambazo usababisha Mjamzito kutokwa na damu.

Soma Zaidi...
Maji ya Amniotic

Posti hii inahusu zaidi maji ya Amniotic ni maji ambayo uzunguka mtoto na kufanya kazi mbalimbali kama ifuayavyo.

Soma Zaidi...
Sababu za uke kuwa na harufu mbaya.

Posti hii inahusu zaidi sababu za kuwepo kwa harufu mbaya kwenye uke ukizingatia usafi huwa unafanyika mara kwa mara ila harufu bado inaendelea kuwa mbaya kwa hiyo tutaona sababu hapo chini.

Soma Zaidi...
Ni zipi njia za kutatua tatizo la nguvu za kiume

Somo hili linakwenda kukuletea njia za kutatua tatizo la nguvu za kiume

Soma Zaidi...
Fahamu sifa za Ute wa siku za kupata mimba yaani ovulation day

Posti hii inahusu zaidi sifa za Ute wa ovulation, ni Ute ambao utokea siku za ovulation yaani siku ambazo ni tayari kwa kubeba mimba, yaani siku za upevishaji wa yai.

Soma Zaidi...