image

Njia za uzazi wa mpango kwa akina Mama kuanzia miezi sita baada ya kujifungua mpaka mwaka mmoja

Posti hii inahusu zaidi njia za uzazi wa mpango kwa mama aliyejifungua kuanzia miezi sita mpaka mwaka mmoja.

Njia za uzazi wa mpango kuanzia miezi sita mpaka mwaka mmoja baada ya kujifungua.

1.Tunajua wazi kuwa baada ya kujifungua mama anaweza kunyonyesha mtoto wake kwa mda mrefu na wa kutosha kwa mize sita na pasipokutumia uzazi wa mpango na mama hasipatwe mimba lakini baada ya miezi sita hata kama ananyonyesha anaweza kupata mimba kwa hiyo zifuatazo ni baadhi ya njia za uzazi wa mpango anazoweza kutumia baada ya miezi sita.

 

2.Mama anaweza kutumia njia ya kusikiliza ute, utumika pale Mama anapashika ute wake na akiona kuwa ni mzito anaweza kujamiiana na hasipate mimba maana mbegu haziwezi kupita na kurutubisha yai, na kama ute ni mwepesi Mama hasijamiane kwa sababu mbegu zinaweza kupita na kurutubisha yai.

 

3.Njia ya kutumia progesterone homoni ya vidonge au ya sindano kwa sababu hizi uzuia yai lisipevuke kwa hiyo kwa kutumia njia hii Mama hawezi kupata mimba, kwa hiyo kabla ya kutumia njia hizi maelekezo kutoka kwa wataalamu wa afya ni lazima ili kuweza kujua iwapo kuna maudhi madogo madogo na kuweza kuona ni kitu cha kawaida na kinaweza kuisha.

 

4. Pia Mama anaweza kutumia njia ya mchanganyiko wa homoni mbalimbali ambazo ni progesterone na oestrogen, hizi homoni uweza kuzuia yai lisipevuke na mimba haiwezi kutungwa, kwa hiyo tunapaswa kujua kubwa hizi njia za uzazi wa mpango zinatumiwa baada ya kupata ushauri kutoka kwa wataalamu wa afya.

 

5. Kwa hiyo kama Mama yupo katika hali fulani kama vile kunyonyesha, ametoa mimba ana kifua kikuu, ana presha anapaswa kuwaona wataalamu wa afya ili kujua njia gani aweze kutumia kwa hiyo akina Mama mnashauliwa kubwa wazi kuhusu Magonjwa yaliyopo ili kupatiwa njia inayofaa.



           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Mwandhishi Tarehe 2022/02/09/Wednesday - 11:53:04 am     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 885


Download our Apps
👉1 Kitabu cha Afya     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 Madrasa kiganjani     👉4 kitabu cha Simulizi    

Post zifazofanana:-

Madhara ya fangasi ukeni.
Posti hii inahusu zaidi madhara ya fangasi ukeni, madhara mbalimbali yanayoweza kutokea iwapo mtu hakutibiwa fangasi mapema. Soma Zaidi...

DALILI ZA UJAUZITO KICHEFU CHEFU, KUTAPIKA, HEDHI, DAMU UKENI, KUJOJOAKOJOA N.K (mimba changa, mimba ya wiki moja, mimba ya mwezi mmoja )
DALILI KUU ZA MIMBA (UJAUZITO) Watu wengi sana wamekuwa wakilalamika kuwa mimba zao zinatoka, ama kupotea bila ya kujulikana tatizo wala bila ya kuugua. Soma Zaidi...

VYAKULA VYA KUONGEZA HAMU YA TENDO LA NDOA NA NGUVU ZA KIUME
Matatizo yahusianayo na nguvu za kume na kukosa hamu ya tendo la ndoa kwahuweza kuchangiwa sana na mpangilio mbovu wa vyakula pamoja na saikolojia ya mtu. Soma Zaidi...

Sababu za kutokea uvimbe kwenye kizazi.
Posti hii inahusu zaidi sababu za kuwepo kwa uvimbe kwenye kizazi,kwa kawaida tumesikia akina mama wengi wanalalamika kuhusu kuwepo kwa uvimbe kwenye kizazi na wengine hawajui sababu zake kwa hiyo sababu zifuatazo ni za kuwepo kwa uvimbe kwenye kizazi. Soma Zaidi...

Tabia za Ute wa siku za hatari kupata mimba au ovulation
Posti hii inahusu zaidi tabia mbalimbali za Ute wa ovulation kwa sababu Ute huu huwa tofauti na Ute mwingine kwa sababu ya kuwepo kwa tabia zake za kipekee kama tutakavyoona. Soma Zaidi...

Sababu za kupasuka kwa mfuko wa kizazi
Posti hii inahusu zaidi sababu za kupasuka kwa mfuko wa uzazi hasa mama anapokalibia kujifungua. Soma Zaidi...

Sababu za kutangulia kwa kitovu wakati Mtoto anazaliwa
Posti hii inahusu zaidi sababu za kutangulia kwa kitovu wakati wa mtoto anapozaliwa. Soma Zaidi...

Maumivu ya uume baada ya tendo la ndoa
Utajifunza sababu za kuweo kwa maumivu ya uume wbaada ya tendo la ndoa na wakati wa tendo la ndoa. Soma Zaidi...

Mimba kutoka kabla ya umri wake
Posti hii inahusu zaidi kuhusu kwa mimba kutoka kabla ya mda wake,ni kitendo ambacho mimba utoka kabla ya wiki ishilini na na nane. Soma Zaidi...

Malengo kwa Akina Mama na wachumba kabla ya kubeba mimba.
Posti hii inahusu zaidi malengo kwa akina Mama na wachumba kabla ya kubeba mimba, ni malengo ambayo yametolewa ili kuweza kusaidia mtoto azaliwe vizuri na mambo mengine kama tutakavyoona. Soma Zaidi...

Maelekezo muhimu kwa Mama au mlezi wa mtoto mgonjwa
Posti hii inahusu zaidi maelekezo muhimu kwa mama au mlezi wa mtoto mgonjwa. Ni maelekezo muhimu hasa wakati wa kutoa dawa kwa mtoto. Soma Zaidi...

Fahamu matatizo yanayowapata watoto waliozaliwa kabla ya wakati au mapema (premature)
Kuzaa kabla ya wakati ni kuzaliwa ambayo hufanyika zaidi ya wiki tatu kabla ya kuzaliwa kwa mtoto au kuzaliwa mapema ni moja ambayo hutokea kabla ya mwanzo wa wiki ya 37 ya ujauzito. Kawaida, ujauzito hudumu kama wiki 40. Soma Zaidi...