Njia za uzazi wa mpango kwa akina Mama kuanzia miezi sita baada ya kujifungua mpaka mwaka mmoja


image


Posti hii inahusu zaidi njia za uzazi wa mpango kwa mama aliyejifungua kuanzia miezi sita mpaka mwaka mmoja.


Njia za uzazi wa mpango kuanzia miezi sita mpaka mwaka mmoja baada ya kujifungua.

1.Tunajua wazi kuwa baada ya kujifungua mama anaweza kunyonyesha mtoto wake kwa mda mrefu na wa kutosha kwa mize sita na pasipokutumia uzazi wa mpango na mama hasipatwe mimba lakini baada ya miezi sita hata kama ananyonyesha anaweza kupata mimba kwa hiyo zifuatazo ni baadhi ya njia za uzazi wa mpango anazoweza kutumia baada ya miezi sita.

 

2.Mama anaweza kutumia njia ya kusikiliza ute, utumika pale Mama anapashika ute wake na akiona kuwa ni mzito anaweza kujamiiana na hasipate mimba maana mbegu haziwezi kupita na kurutubisha yai, na kama ute ni mwepesi Mama hasijamiane kwa sababu mbegu zinaweza kupita na kurutubisha yai.

 

3.Njia ya kutumia progesterone homoni ya vidonge au ya sindano kwa sababu hizi uzuia yai lisipevuke kwa hiyo kwa kutumia njia hii Mama hawezi kupata mimba, kwa hiyo kabla ya kutumia njia hizi maelekezo kutoka kwa wataalamu wa afya ni lazima ili kuweza kujua iwapo kuna maudhi madogo madogo na kuweza kuona ni kitu cha kawaida na kinaweza kuisha.

 

4. Pia Mama anaweza kutumia njia ya mchanganyiko wa homoni mbalimbali ambazo ni progesterone na oestrogen, hizi homoni uweza kuzuia yai lisipevuke na mimba haiwezi kutungwa, kwa hiyo tunapaswa kujua kubwa hizi njia za uzazi wa mpango zinatumiwa baada ya kupata ushauri kutoka kwa wataalamu wa afya.

 

5. Kwa hiyo kama Mama yupo katika hali fulani kama vile kunyonyesha, ametoa mimba ana kifua kikuu, ana presha anapaswa kuwaona wataalamu wa afya ili kujua njia gani aweze kutumia kwa hiyo akina Mama mnashauliwa kubwa wazi kuhusu Magonjwa yaliyopo ili kupatiwa njia inayofaa.



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Jifunze Fiqh       ðŸ‘‰    2 Tunakukaribisha kwenye Maktaba yetu       ðŸ‘‰    3 Download App zetu hapa ujifunze zaidi       ðŸ‘‰    4 Madrasa kiganjani offline    


Je una maswali, maoni ama ushauri, tutumie sms ✉ bofya hapa hapa, ama wasiliana nasi kwa WhatsApp bofya hapa



Post Nyingine


image Hatua za Kuzuia Maambukizi ya Uvimbe kwenye ovari na mirija ya uzazi
Posti hii inazungumzia kuhusiana na hatua za kujikinga na Maambukizi ya Uvimbe kwenye ovari na kwenye mirija ya uzazi Soma Zaidi...

image Kupambana na kisukari
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kupambana na kisukari Soma Zaidi...

image Uchunguzi wa kuharisha damu na tiba yake
Posti hii inahusu zaidi uchunguzi wa kuharisha damu na Tiba yake, ni Ugonjwa ambao unaowashambulia sana watoto hasa wenye chini ya umri wa miaka mitano, kwa hiyo huoaugonjwa tunaweza kuutambua na kutibu kwa njia zifuatazo. Soma Zaidi...

image Sababu za zinazosababisha kuwepo kwa vidonda
Posti hii inahusu zaidi sababu za kuwepo kwa vidonda, kwa sababu tunaona vidonda vinashambulia sehemu mbalimbali za mwili ila tunakuwa hatuna sababu kwa hiyo zifuatazo ni sababu za kuwepo kwa vidonda. Soma Zaidi...

image Dalili za kuvunjika kwa nyonga
Kuvunjika kwa nyonga ni jeraha kubwa, na matatizo ambayo yanaweza kuhatarisha maisha. Hatari ya kupasuka kwa nyonga huongezeka na umri. Soma Zaidi...

image Dalili na Ishara za upungufu wa muunganisho wa macho.
posti hii inaonyesha dalili za upungufu wa muunganisho wa macho. Upungufu wa muunganisho hutokea wakati macho yako hayafanyi kazi pamoja unapojaribu kuangazia kitu kilicho karibu nawe. Unaposoma au kutazama kitu kilicho karibu, macho yako yanahitaji kugeuka ndani pamoja (kuungana) ili kuzingatia. Hii hukupa maono ya darubini, kukuwezesha kuona picha moja. Soma Zaidi...

image Ulemavu wa ubongo na mfumo wa fahamu -multiple sclerosis
Posti hii inazungumzia kuhusiana na dadili na sababu zinazopelekea Ugonjwa wa ulemavu wa ubongo na mfumo wa fahamu ambao kitaalamu hujulikana Kama multiple sclerosis. Soma Zaidi...

image ninatatizo la miguu kuuma nimepima wanasema seli nyeupe za damu ipo chini Sana sasa nauliza dawa hizi za vitamin k na sindano vinaweza nisaidia?
Upungufu wa damu ni tatizo la kiafya, lakini kupunguwa seli nyeupe za damu ni tatizo zaidi, nikwa sabaabu seli hizi ndizo ambazo hupambana na wadudu shambulizi wanapoingia mwilini. Soma Zaidi...

image Presha ya kushuka na matibabu yake
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu presha ya kushuka na matibabu yake Soma Zaidi...

image Mambo ya kuzingatia unapokuwa unatoa huduma ya kwanza
Huduma ya kwanza ni huduma inayotolewa kwa mtu yeyote aliyepata ajali au mgonjwa yeyote kabla hajapelekwa hospitalini Soma Zaidi...