Dali za udhaifu wa mbegu za kiume.

Posti hii inahusu zaidi Dalili ambazo zinaweza kujitokeza na zikaonesha kwamba mbegu za kiume ni dhaifu au ni chache.

Dalili za kuonesha kuwa mbegu za kiume ni dhaifu au ni chache.

1. Mbegu kuwa nyepesi.

Kwa kawaida mbegu za kiume uwa ni nzito, ikitokea mbegu za kiume zikawa laini ni ishara wazi kwamba hizo mbegu ni dhaifu na zina matatizo.

 

2. Mbegu hizi haziwezi kutungisha mimba.

Kwa mara nyingine wanawake wanashindwa kubeba mimba na sio shida yao ila ni kwa sababu ya mbegu za kiume kuwa laini na nyepesi.

 

3. Mbegu hizi pia haziwezi kuogelea 

Kwa wakati mwingine mbegu hizo huwa zinashindwa kuogelea ili kutungisha mimba kwa hiyo hata kama mama yuko kwenye wakati wa kubeba mimba hawezi kwa sababu mbegu haziwezi kuogelea.

 

4. Na mbegu hizo kwa kawaida  utoka chache wakati wa kujamiiana kwa kawaida ili mimba iweze kutungwa sifa ya kwanza ni kwamba mbegu zinapaswa kutoka angalau 3mls kwa hiyo zikiwa chini yake ni shida.

 

5. Hizo mbegu huwa na rangi nyeupe kwa kawaida rangi ya mbegu ni Kijifu ukiona rangi ya mbegu ni nyeupe jua kubwa hizo mbegu ni dhaifu.

 

6.kwa hiyo baada ya kujua hayo tunapaswa kutumia matibabu ili kuweza kuwa na mbegu za kufaa na zinazoweza kutungisha mimba kwa hiyo wachumba au wazazi wakikaa kwa mwaka mmoja wakiwa wanajadiliana bila kupata mtoto wanapaswa kutumia vipimo ili kuangalia mbegu zikoje

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 4858

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 web hosting    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

Jinsi ya kupata mtoto wa kiume

Post hii inakwenda kukufundisha kuhusu nadharia ya kupata mtoto wa kiume.

Soma Zaidi...
Vitu vilivyopo kwenye maji ya Amniotic fluid (majimaji yanayomzungruka mtoto aliyekuwepo tumboni wakati wa ujauzito)

Post hii inahusu zaidi viti vilivyopo kwenye maji ya Amniotic fluid, ni jumla ya vitu vyote vilivyopo kwenye maji ya Amniotic fluid.

Soma Zaidi...
Sababu za mama kutokwa na damu nyingi baada ya kujifungua.

Posti hii inahusu zaidi sababu za mama kutokwa na damu nyingi baada ya kujifungua, hili ni tatizo ambalo uwapata akina Mama wengi wanapomaliza kujifungua kwa hiyo tutaweza kuziona sababu zinazosababishwa na tatizo hili.

Soma Zaidi...
Kuwepo kwa mabonge ya damu wakati wa hedhi

Posti hii inahusu zaidi kuwepo kwa mabonge ya damu wakati wa hedhi, tunajua kabisa wakati wa hedhi damu inapaswa kuwa nyepesi na ya kawaida ila kuna wakati mwingine inakuwa na mabonge zifuatazo ni sababu za kuwepo kwa mabonge ya damu wakati wa hedhi.

Soma Zaidi...
Madhara ya vidonge vya P2

Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea kwa sababu ya kutumia mara kwa mara vidonge vya P2,

Soma Zaidi...
Dalili za Ujauzito mchanga Siku Saba Baada ya Ovulation

Unaweza kujiuliza ikiwa inawezekana kupata dalili za ujauzito mchanga kama siku 7 baada ya kudondoshwa kwa yai (DPO yaani Days Past Ovulation).

Soma Zaidi...
Mabadiliko ya via vya uzazi kwa Mama mjamzito.

Posti hii inahusu zaidi mabadiliko kwenye via vya uzazi kwa wajawazito, tunajua kuwa Mama akibeba mimba tu kuna mabadiliko utokea katika sehemu mbalimbali za mwili.

Soma Zaidi...
Madhara ya mtoto kuzaliwa akiwa na uzito mkubwa

Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea kama mtoto alizaliwa na uzito mkubwa.

Soma Zaidi...
Namna ya kuangalia kama mtoto aliyezaliwa anapumua

Posti hii inahusu zaidi mbinu za kuangalia kama mtoto anapumua pindi anapozaliwa,tunajua kabisa ili kujua na kuelewa kama mtoto yuko hai ni lazima kuangalia upumuaji wa mtoto,ambapo tunaitambua pale anapolia tu.

Soma Zaidi...
Upungufu wa homoni ya estrogen

Posti hii inahusu zaidi upungufu wa homoni ya estrogen na dalili zake, aina hii ya homoni ikipungua mwilini uleta madhara na matatizo mbalimbali kwenye mwili.

Soma Zaidi...