Dali za udhaifu wa mbegu za kiume.

Posti hii inahusu zaidi Dalili ambazo zinaweza kujitokeza na zikaonesha kwamba mbegu za kiume ni dhaifu au ni chache.

Dalili za kuonesha kuwa mbegu za kiume ni dhaifu au ni chache.

1. Mbegu kuwa nyepesi.

Kwa kawaida mbegu za kiume uwa ni nzito, ikitokea mbegu za kiume zikawa laini ni ishara wazi kwamba hizo mbegu ni dhaifu na zina matatizo.

 

2. Mbegu hizi haziwezi kutungisha mimba.

Kwa mara nyingine wanawake wanashindwa kubeba mimba na sio shida yao ila ni kwa sababu ya mbegu za kiume kuwa laini na nyepesi.

 

3. Mbegu hizi pia haziwezi kuogelea 

Kwa wakati mwingine mbegu hizo huwa zinashindwa kuogelea ili kutungisha mimba kwa hiyo hata kama mama yuko kwenye wakati wa kubeba mimba hawezi kwa sababu mbegu haziwezi kuogelea.

 

4. Na mbegu hizo kwa kawaida  utoka chache wakati wa kujamiiana kwa kawaida ili mimba iweze kutungwa sifa ya kwanza ni kwamba mbegu zinapaswa kutoka angalau 3mls kwa hiyo zikiwa chini yake ni shida.

 

5. Hizo mbegu huwa na rangi nyeupe kwa kawaida rangi ya mbegu ni Kijifu ukiona rangi ya mbegu ni nyeupe jua kubwa hizo mbegu ni dhaifu.

 

6.kwa hiyo baada ya kujua hayo tunapaswa kutumia matibabu ili kuweza kuwa na mbegu za kufaa na zinazoweza kutungisha mimba kwa hiyo wachumba au wazazi wakikaa kwa mwaka mmoja wakiwa wanajadiliana bila kupata mtoto wanapaswa kutumia vipimo ili kuangalia mbegu zikoje

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 4751

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
πŸ‘‰1 kitabu cha Simulizi    πŸ‘‰2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    πŸ‘‰3 Dua za Mitume na Manabii    πŸ‘‰4 web hosting    πŸ‘‰5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    πŸ‘‰6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

KUWAHI KUMALIZA TENDO LA NDOA MAPEMA: kumwaga mbegu mapema

Hii ni hali inayowapata sana wanaume huwa wanamaliza hamu ya tendo la ndoa mapema kabla ya mwenza kuridhika.

Soma Zaidi...
Huduma kwa mama mwenye mimba Inayotishia kutoka.

Post hii inahusu zaidi huduma ambayo Mama anapaswa kutolewa pindi mimba inapotishia kutoka huduma hii utolewa kulingana na Dalili tulizoziona zinazohusiana na mimba kutishia kutoka.

Soma Zaidi...
Njia za kupunguza tatizo la kutanuka kwa tezi dume.

Posti hii inahusu zaidi njia ambazo tunaweza kutumia ili kuweza kupunguza tatizo hili la kutanuka kwa tezi dume, kwa hiyo tunaweza kutumia njia zifuatazo ili kuweza kupunguza tatizo hili kwenye jamii kama ifuatavyo.

Soma Zaidi...
Kutoka kwa mimba, sababu za kutoka kwa mimba, dalili za kutoka mimba na kuzuia mimba kuoka

Mimba inapotoka ina dalili, na zipo sababu kadhaa za kutoka kwa mimba. Je utazuiaje mimba kutoka. Soma makala hii

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusiana na kubalehe kwa msichana na mvulana.

Kubalehe ni wakati mwili wa mtoto unapoanza kubadilika na kuwa wa mtu mzima (balehe) hivi karibuni. Kubalehe ambao huanza kabla ya umri wa miaka 8 kwa wasichana na kabla ya umri wa miaka 9 kwa wavulana.

Soma Zaidi...
Imani potofu kwa mwanamke mwenye mimba

Posti hii inahusu zaidi imani potofu kwa mwanamke mwenye mimba, ni Imani ambazo zimekuwepo kwenye jamii kuhusu wanawake wenye mimba.

Soma Zaidi...
Sababu za wajawazito kupata Bawasili.

Posti hii inahusu zaidi sababu mbalimbali ambazo zinafanya wajawazito kupata ugonjwa wa Bawasili, kwa sababu tatizo hili linawapa wakina mama wajawazito, kwa hiyo tutaona kwa nini wajawazito wanapatwa na tatizo hili sana.

Soma Zaidi...
mimi mara ya mwisho kubleed ilikuwa tareh 3/9 nilisex tarehe 4 je ni kwel nna mimba maana hadi sasa sijableed au ni kawaida tu

Je unaijuwa siku yako hatari ya kupata mimba. Na itakuwaje kama tayari umebeba mimba changa. Nakala hii inakwenda kukushauri machache kuhusu maswali haya.

Soma Zaidi...
Namna ya kutunza uke

Posti hii inahusu zaidi namna ya kutunza uke, tunajua wazi kuna magonjwa mbalimbali yanayoweza kutokea iwapo uke hautaweza kutunzwa vizuri na pia uke ukitunzwa vizuri kuna faida ya kuepuka maradhi ya wanawake kwa njia ya kutunza uke.

Soma Zaidi...
Njia za kuondoa fangasi sehemu za siri

Makala hii itakujuza baadhi ya njia utakaoweza kuzifuata ili kukabiliana na fangasi sehemu za siri kwa wanaume

Soma Zaidi...