Dali za udhaifu wa mbegu za kiume.

Posti hii inahusu zaidi Dalili ambazo zinaweza kujitokeza na zikaonesha kwamba mbegu za kiume ni dhaifu au ni chache.

Dalili za kuonesha kuwa mbegu za kiume ni dhaifu au ni chache.

1. Mbegu kuwa nyepesi.

Kwa kawaida mbegu za kiume uwa ni nzito, ikitokea mbegu za kiume zikawa laini ni ishara wazi kwamba hizo mbegu ni dhaifu na zina matatizo.

 

2. Mbegu hizi haziwezi kutungisha mimba.

Kwa mara nyingine wanawake wanashindwa kubeba mimba na sio shida yao ila ni kwa sababu ya mbegu za kiume kuwa laini na nyepesi.

 

3. Mbegu hizi pia haziwezi kuogelea 

Kwa wakati mwingine mbegu hizo huwa zinashindwa kuogelea ili kutungisha mimba kwa hiyo hata kama mama yuko kwenye wakati wa kubeba mimba hawezi kwa sababu mbegu haziwezi kuogelea.

 

4. Na mbegu hizo kwa kawaida  utoka chache wakati wa kujamiiana kwa kawaida ili mimba iweze kutungwa sifa ya kwanza ni kwamba mbegu zinapaswa kutoka angalau 3mls kwa hiyo zikiwa chini yake ni shida.

 

5. Hizo mbegu huwa na rangi nyeupe kwa kawaida rangi ya mbegu ni Kijifu ukiona rangi ya mbegu ni nyeupe jua kubwa hizo mbegu ni dhaifu.

 

6.kwa hiyo baada ya kujua hayo tunapaswa kutumia matibabu ili kuweza kuwa na mbegu za kufaa na zinazoweza kutungisha mimba kwa hiyo wachumba au wazazi wakikaa kwa mwaka mmoja wakiwa wanajadiliana bila kupata mtoto wanapaswa kutumia vipimo ili kuangalia mbegu zikoje

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 4366

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

siku za hatari

Hizi ni siku za hatari kupata ujauzito.Siku hizi ndio siku za kupata mimba kwa urahisi

Soma Zaidi...
Hivi kipimo cha mimba cha mkojo baada ya kutumika Mara 1 ,hakiruhusiw tena kutumika au

Je ni kweli kupima kimoja cha mloka kinaweza kupima mimba zaidi ya mara moka?

Soma Zaidi...
Fahamu Mambo ya hatari yanayosababisha kuzaliwa kabla ya wakati (premature)

Kuzaliwa kabla ya wakati humpa mtoto muda mdogo wa kukua tumboni. Watoto waliozaliwa kabla ya wakati, hasa wale waliozaliwa mapema, mara nyingi huwa na matatizo magumu ya matibabu.

Soma Zaidi...
Je tumbo huanza kukua baada ya mda gan?

Ni Swali kila mjamzito anataka kujiuliza hasa akiwa katika mimba ya kwanza. Wengine wanataka kujuwa ni muda gani anujuwe mavazi makubwa. Kama na wewe unataka kujuwa muda ambao tumbo huwa kubwa, endelea kusoma.

Soma Zaidi...
Unakuta siku imefka ya hedhi kabla haijaanza kutoka hedhi yanatoka maji meupe clean kabisa hii Ina naamisha nini?

Kutoka na majimaji ka uchache kwa mwanamke sio jambo lakishangaa sana. Damu hii inawezapiabkikbatana damu na maumivu makali.

Soma Zaidi...
Hiv n kweli majivu hutoa mimb ya siku moja hadi wiki moja

Inashangaza sana, wakati wengine wanahangaika kutafutavijauzito kwa gharama yoyote ile, kuna wengine wanataka kutoa ujauzito kwa gharama yeyote ile. Unadhani njia za kienyeji sa kutoa mimba ni salama?

Soma Zaidi...
Kazi ya metronidazole

Posti hii zaidi kazi ya Dawa ya metronidazole katika kutibu Minyoo, ni aina ya Dawa ambayo imetumiwa na watu wengi wakaweza kupona na kuepukana na minyoo. Zifuatazo ni baadhi ya kazi za metronidazole.

Soma Zaidi...
Sababu za mfuko wa kizazi kushindwa kisinyaa.

Posti hii inahusu zaidi sababu za mfuko wa kizazi kushindwa kisinyaa, ni sababu ambazo utokea kwa akina Mama wengi kadri ya wataalamu wametafuta asilimia kuwa asilimia sabini ya wanawake mifuko yao ya kizazi kushindwa kisinyaa.

Soma Zaidi...
Huduma kwa mama mwenye mimba Inayotishia kutoka.

Post hii inahusu zaidi huduma ambayo Mama anapaswa kutolewa pindi mimba inapotishia kutoka huduma hii utolewa kulingana na Dalili tulizoziona zinazohusiana na mimba kutishia kutoka.

Soma Zaidi...