Njia ya haraka ku download video za Youtube
Katika post hii utakwenda kujifunza hatuwa kwa hatuwa za ku download video za Youtube kwa haraka.
Ijapokuwa App ya YouTube inaruhisi ku download video lakini Huwa baada ya muda zinaondoka. SAS ahapa nitakuelekeza ku download video katika format mbalimbali na kuhifadhi kwenye kifaa chako.
Hatuwa za kufuata:
1. Kwanza download browser inayoitwa brave browser. Kama unatumia kompyuta ingia Google Kisha andika brave browser download. Kisha bofya link ya kwanza update ku download.
Kama unatumia simu ingia App store kama playstore Kisha andika brave browser. Tafuta app yenye jina hilo Kisha install.
2. Ingia YouTube Kisha kopi link ya video. Kama unatumia kompyuta link utaipata kwenye url bar kwenye browser . Kama unatumia app ya YouTube bofya share chini ya hiyo video Kisha bofya copy link.
3. Ingia kwenye brave browser Kisha kwenye sehemu ya kuandika link andika y2mate.com. itakapofunguka utaona kuna kibox. Ndani ya hiko kibox weka link ya video uliokopi kutoka YouTube
4. Baada ya ku load itakuletea format za video, na audiopamoja na ukubwa wake. Chaguwa format unayoitaka Kisha subitia iendelee ku convert.
5. Baada ya hapo itaanza ku download video Yako.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉2 Kitau cha Fiqh 👉3 Dua za Mitume na Manabii 👉4 Bongolite - Game zone - Play free game 👉5 kitabu cha Simulizi 👉6 Simulizi za Hadithi Audio
Post zinazofanana:
CSS Functions – calc(), clamp(), var(), min(), max() na Custom Functions
Katika somo hili, tutajifunza kuhusu CSS functions muhimu zinazotumika kufanya mahesabu, kuweka vipimo vya kisasa vinavyobadilika kulingana na hali ya kifaa, na kutumia variables. Tutazingatia functions kama: calc(), clamp(), var(), min(), max(), na mwishoni tutajifunza jinsi ya kutengeneza custom function kwa kutumia variables.
Soma Zaidi...Wajuwe wanasanyansi na lugha za kompyuta walizoanzisha
Hii ni list ya wataalamu wa kompyuta amba ni wagunduzi wa lugha zaidi ya 20 za kompyta.
Soma Zaidi...Utangulizi wa mvc na umuhimu wake
Katika somo hili, tutajifunza: Maana ya MVC (Model-View-Controller) Kila kipengele (Model, View, Controller) kinachofanya Faida za kutumia MVC Tatizo la PHP ya kawaida bila MVC
Soma Zaidi...Meme ni nini
Watu wangi wnekuwa wakitumia meme, ila bila ya kujuwa nini hasa hizo meme. Na hasa Zina matumizi gani
Soma Zaidi...Utofauti wa deep web, dark web na surface web
Umeshawahi kujiuliza Nini hasa tofauti kati ya deep web, surface web na dark web.
Soma Zaidi...