Njia ya haraka ku download video za Youtube

Njia ya haraka ku download video za Youtube

Katika post hii utakwenda kujifunza hatuwa kwa hatuwa za ku download video za Youtube kwa haraka.

Ijapokuwa App ya YouTube inaruhisi ku download video lakini Huwa baada ya muda zinaondoka. SAS ahapa nitakuelekeza ku download video katika format mbalimbali na kuhifadhi kwenye kifaa chako.

 

Hatuwa za kufuata:

1. Kwanza download browser inayoitwa brave browser. Kama unatumia kompyuta ingia Google Kisha andika brave browser download. Kisha bofya link ya kwanza update ku download.

Kama unatumia simu ingia App store kama playstore Kisha andika brave browser. Tafuta app yenye jina hilo Kisha install.

 

2. Ingia YouTube Kisha kopi link ya video. Kama unatumia kompyuta link utaipata kwenye url bar kwenye browser . Kama unatumia app ya YouTube bofya share chini ya hiyo video Kisha bofya copy link.

 

3. Ingia kwenye brave browser Kisha kwenye sehemu ya kuandika link andika y2mate.com. itakapofunguka utaona kuna kibox. Ndani ya hiko kibox weka link ya video uliokopi kutoka YouTube 

 

4. Baada ya ku load itakuletea format za video, na audiopamoja na ukubwa wake. Chaguwa format unayoitaka Kisha subitia iendelee ku convert.

 

5. Baada ya hapo itaanza ku download video Yako.

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Bongoclass Bongoclass
Tarehe: 2024-05-17 09:42:54 Topic: General Main: Post File: Download PDF
Views: 2285

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 Dua za Mitume na Manabii     👉4 Bongolite - Game zone - Play free game     👉5 kitabu cha Simulizi     👉6 Simulizi za Hadithi Audio    

Post zinazofanana:

CSS Functions – calc(), clamp(), var(), min(), max() na Custom Functions

Katika somo hili, tutajifunza kuhusu CSS functions muhimu zinazotumika kufanya mahesabu, kuweka vipimo vya kisasa vinavyobadilika kulingana na hali ya kifaa, na kutumia variables. Tutazingatia functions kama: calc(), clamp(), var(), min(), max(), na mwishoni tutajifunza jinsi ya kutengeneza custom function kwa kutumia variables.

Soma Zaidi...
Wajuwe wanasanyansi na lugha za kompyuta walizoanzisha

Hii ni list ya wataalamu wa kompyuta amba ni wagunduzi wa lugha zaidi ya 20 za kompyta.

Soma Zaidi...
Utangulizi wa mvc na umuhimu wake

Katika somo hili, tutajifunza: Maana ya MVC (Model-View-Controller) Kila kipengele (Model, View, Controller) kinachofanya Faida za kutumia MVC Tatizo la PHP ya kawaida bila MVC

Soma Zaidi...
Meme ni nini

Watu wangi wnekuwa wakitumia meme, ila bila ya kujuwa nini hasa hizo meme. Na hasa Zina matumizi gani

Soma Zaidi...
Utofauti wa deep web, dark web na surface web

Umeshawahi kujiuliza Nini hasa tofauti kati ya deep web, surface web na dark web.

Soma Zaidi...