Njia ya haraka ku download video za Youtube

Katika post hii utakwenda kujifunza hatuwa kwa hatuwa za ku download video za Youtube kwa haraka.

Ijapokuwa App ya YouTube inaruhisi ku download video lakini Huwa baada ya muda zinaondoka. SAS ahapa nitakuelekeza ku download video katika format mbalimbali na kuhifadhi kwenye kifaa chako.

 

Hatuwa za kufuata:

1. Kwanza download browser inayoitwa brave browser. Kama unatumia kompyuta ingia Google Kisha andika brave browser download. Kisha bofya link ya kwanza update ku download.

Kama unatumia simu ingia App store kama playstore Kisha andika brave browser. Tafuta app yenye jina hilo Kisha install.

 

2. Ingia YouTube Kisha kopi link ya video. Kama unatumia kompyuta link utaipata kwenye url bar kwenye browser . Kama unatumia app ya YouTube bofya share chini ya hiyo video Kisha bofya copy link.

 

3. Ingia kwenye brave browser Kisha kwenye sehemu ya kuandika link andika y2mate.com. itakapofunguka utaona kuna kibox. Ndani ya hiko kibox weka link ya video uliokopi kutoka YouTube 

 

4. Baada ya ku load itakuletea format za video, na audiopamoja na ukubwa wake. Chaguwa format unayoitaka Kisha subitia iendelee ku convert.

 

5. Baada ya hapo itaanza ku download video Yako.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: System image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Main: ICT File: Download PDF Views 1101

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

Wajuwe wanasanyansi na lugha za kompyuta walizoanzisha

Hii ni list ya wataalamu wa kompyuta amba ni wagunduzi wa lugha zaidi ya 20 za kompyta.

Soma Zaidi...
Ifahamu Y2K yaani year 2000 bug

Moja katika changamoto iliyowahi kusumbuwa dunia kutokana na maendeleo ya tehama duniani.

Soma Zaidi...
Meme ni nini

Watu wangi wnekuwa wakitumia meme, ila bila ya kujuwa nini hasa hizo meme. Na hasa Zina matumizi gani

Soma Zaidi...
Vigezo vya kuzingatia unapotaka kununua kompyuta kwa ajili ya programming

hapa ninakuletea vitu vya kuangalia unapotaka kununua kompyuta kwa ajili ya kufanyia programming. Ama kutengeneza software mbalimbali.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 28: Maana ya constant kwenye php na kazi zake

Katika somo hili utajifunza kuhusu maana ya constanta pamoja na matumizi yake. Pia utazijuwa sheria za uandishi wa constant

Soma Zaidi...
Tehama ni nini

Umesha sikia sana kuhusu neno tehama, lakini je umeshajuwa tehama ni nini hasa. Katika makala hii utakwenda kujifunza kuhsu tehama

Soma Zaidi...
Changamoto wanazokutana nazo wanafunzi wa tehama

Hizi ni baadhi ya changamoto wanazokutana nazo wanafunzi wa tehama kwenye darasa la Bongoclass

Soma Zaidi...
Ni nini maana ya kompyuta, na je simu janja ni kompyuta?

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu maana ya kompyuta na tofauti yake kati ya kompyuta na simu jana.

Soma Zaidi...
Asilimia 77.2% ya website zinatumia PHP kama server side.

Kuna server side language nyingi ikiwepo java, php, python, dart na nyinginezo nyingi. Hata hivyo PHp bado inaedelea kuwa maarufu.

Soma Zaidi...