picha

Changamoto wanazokutana nazo wanafunzi wa tehama

Hizi ni baadhi ya changamoto wanazokutana nazo wanafunzi wa tehama kwenye darasa la Bongoclass

Changamoto walio nayo wengi miongoni mwa wanafunzi wa Tehama katika hili grup ni kuwa wanakosa uvumilivu na msimamo katika kusoma.

 

Mfano:

Anatokea mtu anataka kujifujza utengenezaji wa App. Ataanza Dart somo la kwanza hadi la 3. Huyoo anakwenda kwenye flutter.

 

Ama wanafunzi wa PHP hata hajaelewa vizuri concept za PHP huyoo anataka kutumia Laravel.

 

Grup hili linatoa chance, kwa ambazo hawajafika vyuoni wanapata Fursa ya kupata ujuzi kwa gharama nafuu. Ila wengi wa wanafunzi wanataka ndani ya wiki awe mtaalamu wa kutengeneza App ama website.

 

Hizi taaluma zinaendana na misingi kwanza. Kabla ya mugusa framework Anza kwanza kujuwa language yenyewe.

 

Mfano:

1. Kabla hujagusa node Js, ama react kwanza ujuwe JavaScript.

2. Kabla ya kugusa flutter kwanza ujuwe dart

3. Kabla ya Django kwanza ujuwe python

4. Kabla ya laravel ama codegnitor kwanza ujuwe PHP

 

Namna kama hii utanitumia kwa taaluma nyinginezo.

 

Changamoto nyingine ni kutaka mafanikio ya haraka. Unakuta ndio kwanza blog Ina wiki Moja tayari inawekwa ads. Wengine wakidhani inapokuwa online tu basi mapesa hayo yatakuwa yanaingia, mwisho WA siku anakuwa disappointed baada ya kuona ugumu uliopo.

 

By 

Bongoclass 

www.bongoclass.com

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

help_outlineZoezi la Maswali

info Jaza maswali yote au baadhi kisha bofya kitufe cha kutuma majibu hapo chini.
1 Flutter framework ni framework ya lugha gani ya ki kompyuta? ________

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: General Main: Masomo File: Download PDF Views 917

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉3 Kitau cha Fiqh     👉4 Dua za Mitume na Manabii     👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉6 web hosting    

Post zinazofanana:

Ni nini maana ya kompyuta, na je simu janja ni kompyuta?

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu maana ya kompyuta na tofauti yake kati ya kompyuta na simu jana.

Soma Zaidi...
Nisome language Gani ili niweze kutengeneza App

Kama Bado unajiuliza u some language IPO ya kompyuta ili uweze kutengeneza App basi post hii itakusaidia.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 28: Maana ya constant kwenye php na kazi zake

Katika somo hili utajifunza kuhusu maana ya constanta pamoja na matumizi yake. Pia utazijuwa sheria za uandishi wa constant

Soma Zaidi...
Tehama ni nini

Umesha sikia sana kuhusu neno tehama, lakini je umeshajuwa tehama ni nini hasa. Katika makala hii utakwenda kujifunza kuhsu tehama

Soma Zaidi...
Wajuwe wanasanyansi na lugha za kompyuta walizoanzisha

Hii ni list ya wataalamu wa kompyuta amba ni wagunduzi wa lugha zaidi ya 20 za kompyta.

Soma Zaidi...
Utofauti wa deep web, dark web na surface web

Umeshawahi kujiuliza Nini hasa tofauti kati ya deep web, surface web na dark web.

Soma Zaidi...