image

Changamoto wanazokutana nazo wanafunzi wa tehama

Hizi ni baadhi ya changamoto wanazokutana nazo wanafunzi wa tehama kwenye darasa la Bongoclass

Changamoto walio nayo wengi miongoni mwa wanafunzi wa Tehama katika hili grup ni kuwa wanakosa uvumilivu na msimamo katika kusoma.

 

Mfano:

Anatokea mtu anataka kujifujza utengenezaji wa App. Ataanza Dart somo la kwanza hadi la 3. Huyoo anakwenda kwenye flutter.

 

Ama wanafunzi wa PHP hata hajaelewa vizuri concept za PHP huyoo anataka kutumia Laravel.

 

Grup hili linatoa chance, kwa ambazo hawajafika vyuoni wanapata Fursa ya kupata ujuzi kwa gharama nafuu. Ila wengi wa wanafunzi wanataka ndani ya wiki awe mtaalamu wa kutengeneza App ama website.

 

Hizi taaluma zinaendana na misingi kwanza. Kabla ya mugusa framework Anza kwanza kujuwa language yenyewe.

 

Mfano:

1. Kabla hujagusa node Js, ama react kwanza ujuwe JavaScript.

2. Kabla ya kugusa flutter kwanza ujuwe dart

3. Kabla ya Django kwanza ujuwe python

4. Kabla ya laravel ama codegnitor kwanza ujuwe PHP

 

Namna kama hii utanitumia kwa taaluma nyinginezo.

 

Changamoto nyingine ni kutaka mafanikio ya haraka. Unakuta ndio kwanza blog Ina wiki Moja tayari inawekwa ads. Wengine wakidhani inapokuwa online tu basi mapesa hayo yatakuwa yanaingia, mwisho WA siku anakuwa disappointed baada ya kuona ugumu uliopo.

 

By 

Bongoclass 

www.bongoclass.com



           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Mwandhishi Tarehe 2024-04-28 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 130


Download our Apps
👉1 Kitabu cha Afya     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 Kitau cha Fiqh     👉4 kitabu cha Simulizi    

ZOEZI

Jaza maswali yote ama baadhi kisha bofya kitufe za kutuma majibu hapo chini.



1 : Flutter framework ni framework ya lugha gani ya ki kompyuta? ________

Post zifazofanana:-

Vigezo vya kuzingatia unapotaka kununua kompyuta kwa ajili ya programming
hapa ninakuletea vitu vya kuangalia unapotaka kununua kompyuta kwa ajili ya kufanyia programming. Ama kutengeneza software mbalimbali. Soma Zaidi...

Je unahitaji kutengenezewa Android App
Bongoclass tunatoa Fursa ya kupata huduma ya kutengenezewa App Soma Zaidi...

Utofauti wa deep web, dark web na surface web
Umeshawahi kujiuliza Nini hasa tofauti kati ya deep web, surface web na dark web. Soma Zaidi...

Changamoto wanazokutana nazo wanafunzi wa tehama
Hizi ni baadhi ya changamoto wanazokutana nazo wanafunzi wa tehama kwenye darasa la Bongoclass Soma Zaidi...

Wajuwe wanasanyansi na lugha za kompyuta walizoanzisha
Hii ni list ya wataalamu wa kompyuta amba ni wagunduzi wa lugha zaidi ya 20 za kompyta. Soma Zaidi...

Nisome language Gani ili niweze kutengeneza App
Kama Bado unajiuliza u some language IPO ya kompyuta ili uweze kutengeneza App basi post hii itakusaidia. Soma Zaidi...

Njia za kujifunza Programming language yeyote ile
Hapa nitakwenda kukueleza njia ambazo naweza kuzituia ili kujifunza programming kwa urahisi Soma Zaidi...

Asilimia 77.2% ya website zinatumia PHP kama server side.
Kuna server side language nyingi ikiwepo java, php, python, dart na nyinginezo nyingi. Hata hivyo PHp bado inaedelea kuwa maarufu. Soma Zaidi...

Njia ya haraka ku download video za Youtube
Katika post hii utakwenda kujifunza hatuwa kwa hatuwa za ku download video za Youtube kwa haraka. Soma Zaidi...

Ifahamu Y2K yaani year 2000 bug
Moja katika changamoto iliyowahi kusumbuwa dunia kutokana na maendeleo ya tehama duniani. Soma Zaidi...