Hizi ni baadhi ya changamoto wanazokutana nazo wanafunzi wa tehama kwenye darasa la Bongoclass
Changamoto walio nayo wengi miongoni mwa wanafunzi wa Tehama katika hili grup ni kuwa wanakosa uvumilivu na msimamo katika kusoma.
Mfano:
Anatokea mtu anataka kujifujza utengenezaji wa App. Ataanza Dart somo la kwanza hadi la 3. Huyoo anakwenda kwenye flutter.
Ama wanafunzi wa PHP hata hajaelewa vizuri concept za PHP huyoo anataka kutumia Laravel.
Grup hili linatoa chance, kwa ambazo hawajafika vyuoni wanapata Fursa ya kupata ujuzi kwa gharama nafuu. Ila wengi wa wanafunzi wanataka ndani ya wiki awe mtaalamu wa kutengeneza App ama website.
Hizi taaluma zinaendana na misingi kwanza. Kabla ya mugusa framework Anza kwanza kujuwa language yenyewe.
Mfano:
1. Kabla hujagusa node Js, ama react kwanza ujuwe JavaScript.
2. Kabla ya kugusa flutter kwanza ujuwe dart
3. Kabla ya Django kwanza ujuwe python
4. Kabla ya laravel ama codegnitor kwanza ujuwe PHP
Namna kama hii utanitumia kwa taaluma nyinginezo.
Changamoto nyingine ni kutaka mafanikio ya haraka. Unakuta ndio kwanza blog Ina wiki Moja tayari inawekwa ads. Wengine wakidhani inapokuwa online tu basi mapesa hayo yatakuwa yanaingia, mwisho WA siku anakuwa disappointed baada ya kuona ugumu uliopo.
By
Bongoclass
www.bongoclass.com
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiw ana App yetu. Bofya liln hapo chini kuweza ku download
Download NowJe! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu
Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic:
Main: Masomo
File: Download PDF
Share On
Facebook
or
Whatsapp
Views 303
Sponsored links
👉1
kitabu cha Simulizi
👉2
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
👉3
Kitau cha Fiqh
👉4
Simulizi za Hadithi Audio
👉5
Kitabu cha Afya
👉6
Madrasa kiganjani
Jaza maswali yote ama baadhi kisha bofya kitufe za kutuma majibu hapo chini.
Utofauti wa deep web, dark web na surface web
Umeshawahi kujiuliza Nini hasa tofauti kati ya deep web, surface web na dark web. Soma Zaidi...
Tehama ni nini
Umesha sikia sana kuhusu neno tehama, lakini je umeshajuwa tehama ni nini hasa. Katika makala hii utakwenda kujifunza kuhsu tehama Soma Zaidi...
Njia ya haraka ku download video za Youtube
Katika post hii utakwenda kujifunza hatuwa kwa hatuwa za ku download video za Youtube kwa haraka. Soma Zaidi...
PHP - somo la 28: Maana ya constant kwenye php na kazi zake
Katika somo hili utajifunza kuhusu maana ya constanta pamoja na matumizi yake. Pia utazijuwa sheria za uandishi wa constant Soma Zaidi...
Wajuwe wanasanyansi na lugha za kompyuta walizoanzisha
Hii ni list ya wataalamu wa kompyuta amba ni wagunduzi wa lugha zaidi ya 20 za kompyta. Soma Zaidi...
Ijuwe platform ya IndexNow
Je umeshawahi kuweka post yako kwenye blog halafu ikachukuwa mpaka siku 3 kuonekana kwenye search engine kama Google, Index ama Bing. Bsi project ya IndexNow imekuja kutatuwa tatizo hilo Soma Zaidi...
Ifahamu Y2K yaani year 2000 bug
Moja katika changamoto iliyowahi kusumbuwa dunia kutokana na maendeleo ya tehama duniani. Soma Zaidi...
Njia za kujifunza Programming language yeyote ile
Hapa nitakwenda kukueleza njia ambazo naweza kuzituia ili kujifunza programming kwa urahisi Soma Zaidi...
Meme ni nini
Watu wangi wnekuwa wakitumia meme, ila bila ya kujuwa nini hasa hizo meme. Na hasa Zina matumizi gani Soma Zaidi...
Nisome language Gani ili niweze kutengeneza App
Kama Bado unajiuliza u some language IPO ya kompyuta ili uweze kutengeneza App basi post hii itakusaidia. Soma Zaidi...