picha

Changamoto wanazokutana nazo wanafunzi wa tehama

Hizi ni baadhi ya changamoto wanazokutana nazo wanafunzi wa tehama kwenye darasa la Bongoclass

Changamoto walio nayo wengi miongoni mwa wanafunzi wa Tehama katika hili grup ni kuwa wanakosa uvumilivu na msimamo katika kusoma.

 

Mfano:

Anatokea mtu anataka kujifujza utengenezaji wa App. Ataanza Dart somo la kwanza hadi la 3. Huyoo anakwenda kwenye flutter.

 

Ama wanafunzi wa PHP hata hajaelewa vizuri concept za PHP huyoo anataka kutumia Laravel.

 

Grup hili linatoa chance, kwa ambazo hawajafika vyuoni wanapata Fursa ya kupata ujuzi kwa gharama nafuu. Ila wengi wa wanafunzi wanataka ndani ya wiki awe mtaalamu wa kutengeneza App ama website.

 

Hizi taaluma zinaendana na misingi kwanza. Kabla ya mugusa framework Anza kwanza kujuwa language yenyewe.

 

Mfano:

1. Kabla hujagusa node Js, ama react kwanza ujuwe JavaScript.

2. Kabla ya kugusa flutter kwanza ujuwe dart

3. Kabla ya Django kwanza ujuwe python

4. Kabla ya laravel ama codegnitor kwanza ujuwe PHP

 

Namna kama hii utanitumia kwa taaluma nyinginezo.

 

Changamoto nyingine ni kutaka mafanikio ya haraka. Unakuta ndio kwanza blog Ina wiki Moja tayari inawekwa ads. Wengine wakidhani inapokuwa online tu basi mapesa hayo yatakuwa yanaingia, mwisho WA siku anakuwa disappointed baada ya kuona ugumu uliopo.

 

By 

Bongoclass 

www.bongoclass.com

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

help_outlineZoezi la Maswali

info Jaza maswali yote au baadhi kisha bofya kitufe cha kutuma majibu hapo chini.
1 Flutter framework ni framework ya lugha gani ya ki kompyuta? ________

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Main: ICT File: Download PDF Views 637

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Dua za Mitume na Manabii    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

Asilimia 77.2% ya website zinatumia PHP kama server side.

Kuna server side language nyingi ikiwepo java, php, python, dart na nyinginezo nyingi. Hata hivyo PHp bado inaedelea kuwa maarufu.

Soma Zaidi...
Wajuwe wanasanyansi na lugha za kompyuta walizoanzisha

Hii ni list ya wataalamu wa kompyuta amba ni wagunduzi wa lugha zaidi ya 20 za kompyta.

Soma Zaidi...
Njia ya haraka ku download video za Youtube

Katika post hii utakwenda kujifunza hatuwa kwa hatuwa za ku download video za Youtube kwa haraka.

Soma Zaidi...
Je unahitaji kutengenezewa Android App

Bongoclass tunatoa Fursa ya kupata huduma ya kutengenezewa App

Soma Zaidi...
Ijuwe platform ya IndexNow

Je umeshawahi kuweka post yako kwenye blog halafu ikachukuwa mpaka siku 3 kuonekana kwenye search engine kama Google, Index ama Bing. Bsi project ya IndexNow imekuja kutatuwa tatizo hilo

Soma Zaidi...
Njia za kujifunza Programming language yeyote ile

Hapa nitakwenda kukueleza njia ambazo naweza kuzituia ili kujifunza programming kwa urahisi

Soma Zaidi...
Meme ni nini

Watu wangi wnekuwa wakitumia meme, ila bila ya kujuwa nini hasa hizo meme. Na hasa Zina matumizi gani

Soma Zaidi...
Tehama ni nini

Umesha sikia sana kuhusu neno tehama, lakini je umeshajuwa tehama ni nini hasa. Katika makala hii utakwenda kujifunza kuhsu tehama

Soma Zaidi...
Utofauti wa deep web, dark web na surface web

Umeshawahi kujiuliza Nini hasa tofauti kati ya deep web, surface web na dark web.

Soma Zaidi...