Watu wangi wnekuwa wakitumia meme, ila bila ya kujuwa nini hasa hizo meme. Na hasa Zina matumizi gani
Meme ni picha, video, au kipande cha maandishi kinachozungumzia jambo fulani kwa njia ya ucheshi au ya kejeli, na kinaenezwa haraka kupitia mitandao ya kijamii.
Mara nyingi memes huwa na ujumbe unaoeleweka kirahisi kwa hadhira maalum, na hutumika kama njia ya kujiburudisha au kuwasilisha maoni fulani kuhusu masuala ya kijamii, kisiasa, au kitamaduni.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Hizi ni baadhi ya changamoto wanazokutana nazo wanafunzi wa tehama kwenye darasa la Bongoclass
Soma Zaidi...Kama Bado unajiuliza u some language IPO ya kompyuta ili uweze kutengeneza App basi post hii itakusaidia.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza kuhusu maana ya constanta pamoja na matumizi yake. Pia utazijuwa sheria za uandishi wa constant
Soma Zaidi...Moja katika changamoto iliyowahi kusumbuwa dunia kutokana na maendeleo ya tehama duniani.
Soma Zaidi...hapa ninakuletea vitu vya kuangalia unapotaka kununua kompyuta kwa ajili ya kufanyia programming. Ama kutengeneza software mbalimbali.
Soma Zaidi...Katika post hii utakwenda kujifunza hatuwa kwa hatuwa za ku download video za Youtube kwa haraka.
Soma Zaidi...Umeshawahi kujiuliza Nini hasa tofauti kati ya deep web, surface web na dark web.
Soma Zaidi...Bongoclass tunatoa Fursa ya kupata huduma ya kutengenezewa App
Soma Zaidi...Je umeshawahi kuweka post yako kwenye blog halafu ikachukuwa mpaka siku 3 kuonekana kwenye search engine kama Google, Index ama Bing. Bsi project ya IndexNow imekuja kutatuwa tatizo hilo
Soma Zaidi...Hapa nitakwenda kukueleza njia ambazo naweza kuzituia ili kujifunza programming kwa urahisi
Soma Zaidi...