Ijuwe platform ya IndexNow
Je umeshawahi kuweka post yako kwenye blog halafu ikachukuwa mpaka siku 3 kuonekana kwenye search engine kama Google, Index ama Bing. Bsi project ya IndexNow imekuja kutatuwa tatizo hilo
Katika pirikapirika zangu za ku explore bing webmaster nikakuta kuwa profile ya website ina issue ambayo ni kuwa haijaunganshwa wenye IndexNow. Kwa maelezo ya haraka ni kuwa hii ni platform ambayo inawezesha kwa haraka kupeleka taarifa kwa search engine kuhusu mabadiliko ya maudhui kwenye website yako.
Mfano umeweka post mpya ama ume update post ya zamani. Sasa kama hiyo post umeunganisha kwenye index nao wanasema inafikiwa kwa haraka na search engine.
Hata hivyo katika search engine hizo ni kama bng na yandex ila Google bado hajaikubali hata hivyo kuna tetesi kuwa wanataka kuiunga mkono.
IndexNow imelenga kutatuwa tatizo la post kuchukuwa muda mrefu pila ya kuonekana kwenye search engine. Hivyo kwa project hii maudhui yatachukuwa muda mfupi sana haweza kuonekana kwenye search engine.
Kwa maelezo zaidi wacheki kwenye website yao:
https://www.indexnow.org/documentation
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 ai web app 👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉3 Dua za Mitume na Manabii 👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉5 Kitau cha Fiqh 👉6 kitabu cha Simulizi
👉1 ai web app 👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉3 Dua za Mitume na Manabii 👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉5 Kitau cha Fiqh 👉6 kitabu cha Simulizi
Post zinazofanana:
Asilimia 77.2% ya website zinatumia PHP kama server side.
Kuna server side language nyingi ikiwepo java, php, python, dart na nyinginezo nyingi. Hata hivyo PHp bado inaedelea kuwa maarufu.
Soma Zaidi...Je unahitaji kutengenezewa Android App
Bongoclass tunatoa Fursa ya kupata huduma ya kutengenezewa App
Soma Zaidi...Tehama ni nini
Umesha sikia sana kuhusu neno tehama, lakini je umeshajuwa tehama ni nini hasa. Katika makala hii utakwenda kujifunza kuhsu tehama
Soma Zaidi...Njia za kujifunza Programming language yeyote ile
Hapa nitakwenda kukueleza njia ambazo naweza kuzituia ili kujifunza programming kwa urahisi
Soma Zaidi...Changamoto wanazokutana nazo wanafunzi wa tehama
Hizi ni baadhi ya changamoto wanazokutana nazo wanafunzi wa tehama kwenye darasa la Bongoclass
Soma Zaidi...