Menu



Ijuwe platform ya IndexNow

Je umeshawahi kuweka post yako kwenye blog halafu ikachukuwa mpaka siku 3 kuonekana kwenye search engine kama Google, Index ama Bing. Bsi project ya IndexNow imekuja kutatuwa tatizo hilo

 
 
Katika pirikapirika zangu za ku explore bing webmaster nikakuta kuwa profile ya website ina issue ambayo ni kuwa haijaunganshwa wenye IndexNow. Kwa maelezo ya haraka ni kuwa hii ni platform ambayo inawezesha kwa haraka kupeleka taarifa kwa search engine kuhusu mabadiliko ya maudhui kwenye website yako.
 
 
Mfano umeweka post mpya ama ume update post ya zamani. Sasa kama hiyo post umeunganisha kwenye index nao wanasema inafikiwa kwa haraka na search engine.
 
 
Hata hivyo katika search engine hizo ni kama bng na yandex ila Google bado hajaikubali hata hivyo kuna tetesi kuwa wanataka kuiunga mkono.
 
 
IndexNow imelenga kutatuwa tatizo la post kuchukuwa muda mrefu pila ya kuonekana kwenye search engine. Hivyo kwa project hii maudhui yatachukuwa muda mfupi sana haweza kuonekana kwenye search engine.
 
 
Kwa maelezo zaidi wacheki kwenye website yao:
https://www.indexnow.org/documentation

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea

Ndio     Hapana     Save post
Author: Mahede image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Main: Post File: Download PDF Views 212

Share On:

Facebook WhatsApp

Post zinazofanana:

Je unahitaji kutengenezewa Android App

Bongoclass tunatoa Fursa ya kupata huduma ya kutengenezewa App

Soma Zaidi...
Utofauti wa deep web, dark web na surface web

Umeshawahi kujiuliza Nini hasa tofauti kati ya deep web, surface web na dark web.

Soma Zaidi...
Asilimia 77.2% ya website zinatumia PHP kama server side.

Kuna server side language nyingi ikiwepo java, php, python, dart na nyinginezo nyingi. Hata hivyo PHp bado inaedelea kuwa maarufu.

Soma Zaidi...
Tehama ni nini

Umesha sikia sana kuhusu neno tehama, lakini je umeshajuwa tehama ni nini hasa. Katika makala hii utakwenda kujifunza kuhsu tehama

Soma Zaidi...
Ni nini maana ya kompyuta, na je simu janja ni kompyuta?

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu maana ya kompyuta na tofauti yake kati ya kompyuta na simu jana.

Soma Zaidi...
Njia za kujifunza Programming language yeyote ile

Hapa nitakwenda kukueleza njia ambazo naweza kuzituia ili kujifunza programming kwa urahisi

Soma Zaidi...
Vigezo vya kuzingatia unapotaka kununua kompyuta kwa ajili ya programming

hapa ninakuletea vitu vya kuangalia unapotaka kununua kompyuta kwa ajili ya kufanyia programming. Ama kutengeneza software mbalimbali.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 28: Maana ya constant kwenye php na kazi zake

Katika somo hili utajifunza kuhusu maana ya constanta pamoja na matumizi yake. Pia utazijuwa sheria za uandishi wa constant

Soma Zaidi...
Changamoto wanazokutana nazo wanafunzi wa tehama

Hizi ni baadhi ya changamoto wanazokutana nazo wanafunzi wa tehama kwenye darasa la Bongoclass

Soma Zaidi...