Ijuwe platform ya IndexNow

Ijuwe platform ya IndexNow

Je umeshawahi kuweka post yako kwenye blog halafu ikachukuwa mpaka siku 3 kuonekana kwenye search engine kama Google, Index ama Bing. Bsi project ya IndexNow imekuja kutatuwa tatizo hilo

Download Post hii hapa

 
 
Katika pirikapirika zangu za ku explore bing webmaster nikakuta kuwa profile ya website ina issue ambayo ni kuwa haijaunganshwa wenye IndexNow. Kwa maelezo ya haraka ni kuwa hii ni platform ambayo inawezesha kwa haraka kupeleka taarifa kwa search engine kuhusu mabadiliko ya maudhui kwenye website yako.
 
 
Mfano umeweka post mpya ama ume update post ya zamani. Sasa kama hiyo post umeunganisha kwenye index nao wanasema inafikiwa kwa haraka na search engine.
 
 
Hata hivyo katika search engine hizo ni kama bng na yandex ila Google bado hajaikubali hata hivyo kuna tetesi kuwa wanataka kuiunga mkono.
 
 
IndexNow imelenga kutatuwa tatizo la post kuchukuwa muda mrefu pila ya kuonekana kwenye search engine. Hivyo kwa project hii maudhui yatachukuwa muda mfupi sana haweza kuonekana kwenye search engine.
 
 
Kwa maelezo zaidi wacheki kwenye website yao:
https://www.indexnow.org/documentation

Download Post hii hapa

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Mahede image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Main: ICT File: Download PDF Views 289

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 Kitabu cha Afya    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

Njia ya haraka ku download video za Youtube
Njia ya haraka ku download video za Youtube

Katika post hii utakwenda kujifunza hatuwa kwa hatuwa za ku download video za Youtube kwa haraka.

Soma Zaidi...
Asilimia 77.2% ya website zinatumia PHP kama server side.
Asilimia 77.2% ya website zinatumia PHP kama server side.

Kuna server side language nyingi ikiwepo java, php, python, dart na nyinginezo nyingi. Hata hivyo PHp bado inaedelea kuwa maarufu.

Soma Zaidi...
Tehama ni nini
Tehama ni nini

Umesha sikia sana kuhusu neno tehama, lakini je umeshajuwa tehama ni nini hasa. Katika makala hii utakwenda kujifunza kuhsu tehama

Soma Zaidi...
Meme ni nini
Meme ni nini

Watu wangi wnekuwa wakitumia meme, ila bila ya kujuwa nini hasa hizo meme. Na hasa Zina matumizi gani

Soma Zaidi...
Njia za kujifunza Programming language yeyote ile
Njia za kujifunza Programming language yeyote ile

Hapa nitakwenda kukueleza njia ambazo naweza kuzituia ili kujifunza programming kwa urahisi

Soma Zaidi...
Ni nini maana ya kompyuta, na je simu janja ni kompyuta?
Ni nini maana ya kompyuta, na je simu janja ni kompyuta?

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu maana ya kompyuta na tofauti yake kati ya kompyuta na simu jana.

Soma Zaidi...
Je unahitaji kutengenezewa Android App
Je unahitaji kutengenezewa Android App

Bongoclass tunatoa Fursa ya kupata huduma ya kutengenezewa App

Soma Zaidi...
Ifahamu Y2K  yaani year 2000 bug
Ifahamu Y2K yaani year 2000 bug

Moja katika changamoto iliyowahi kusumbuwa dunia kutokana na maendeleo ya tehama duniani.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 28: Maana ya constant kwenye php na kazi zake
PHP - somo la 28: Maana ya constant kwenye php na kazi zake

Katika somo hili utajifunza kuhusu maana ya constanta pamoja na matumizi yake. Pia utazijuwa sheria za uandishi wa constant

Soma Zaidi...
Nisome language Gani ili niweze kutengeneza App
Nisome language Gani ili niweze kutengeneza App

Kama Bado unajiuliza u some language IPO ya kompyuta ili uweze kutengeneza App basi post hii itakusaidia.

Soma Zaidi...