picha

Ijuwe platform ya IndexNow

Je umeshawahi kuweka post yako kwenye blog halafu ikachukuwa mpaka siku 3 kuonekana kwenye search engine kama Google, Index ama Bing. Bsi project ya IndexNow imekuja kutatuwa tatizo hilo

 
 
Katika pirikapirika zangu za ku explore bing webmaster nikakuta kuwa profile ya website ina issue ambayo ni kuwa haijaunganshwa wenye IndexNow. Kwa maelezo ya haraka ni kuwa hii ni platform ambayo inawezesha kwa haraka kupeleka taarifa kwa search engine kuhusu mabadiliko ya maudhui kwenye website yako.
 
 
Mfano umeweka post mpya ama ume update post ya zamani. Sasa kama hiyo post umeunganisha kwenye index nao wanasema inafikiwa kwa haraka na search engine.
 
 
Hata hivyo katika search engine hizo ni kama bng na yandex ila Google bado hajaikubali hata hivyo kuna tetesi kuwa wanataka kuiunga mkono.
 
 
IndexNow imelenga kutatuwa tatizo la post kuchukuwa muda mrefu pila ya kuonekana kwenye search engine. Hivyo kwa project hii maudhui yatachukuwa muda mfupi sana haweza kuonekana kwenye search engine.
 
 
Kwa maelezo zaidi wacheki kwenye website yao:
https://www.indexnow.org/documentation

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Mahede image Tarehe: 2024-08-06 18:06:38 Topic: General Main: Post File: Download PDF Views 727

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya     👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉5 Bongolite - Game zone - Play free game     👉6 web hosting    

Post zinazofanana:

Nisome language Gani ili niweze kutengeneza App

Kama Bado unajiuliza u some language IPO ya kompyuta ili uweze kutengeneza App basi post hii itakusaidia.

Soma Zaidi...
Njia za kujifunza Programming language yeyote ile

Hapa nitakwenda kukueleza njia ambazo naweza kuzituia ili kujifunza programming kwa urahisi

Soma Zaidi...
Utofauti wa deep web, dark web na surface web

Umeshawahi kujiuliza Nini hasa tofauti kati ya deep web, surface web na dark web.

Soma Zaidi...
Changamoto wanazokutana nazo wanafunzi wa tehama

Hizi ni baadhi ya changamoto wanazokutana nazo wanafunzi wa tehama kwenye darasa la Bongoclass

Soma Zaidi...
Tehama ni nini

Umesha sikia sana kuhusu neno tehama, lakini je umeshajuwa tehama ni nini hasa. Katika makala hii utakwenda kujifunza kuhsu tehama

Soma Zaidi...
Vigezo vya kuzingatia unapotaka kununua kompyuta kwa ajili ya programming

hapa ninakuletea vitu vya kuangalia unapotaka kununua kompyuta kwa ajili ya kufanyia programming. Ama kutengeneza software mbalimbali.

Soma Zaidi...