Kama Bado unajiuliza u some language IPO ya kompyuta ili uweze kutengeneza App basi post hii itakusaidia.
Kwa ushauri kwa beginner:
Language hizi zisome
1. Kwanza naanza na Dart - flutter.
Unaposikia flutter hiyo sio language ni framework ambayo inatumia language ya Dart. Ubora kwa kutumia flutter ni kuwa app Moja unayotengeneza inaweza kuwa website, inaweza kuwa android app, inaweza kuwa apple app (iOS) inaweza kuwa desktop app (window app) inaweza kuwa Linux app ama zaidi ya hapo.
Ina maana kuwa ukijuwa Dart utaweza kutumia flutter vyema na kufanya vitu vingi kwa utahisi zaidi.
Bongoclass tumeweka course ya Dart imekamilika unaweza kupitia ni free. Pia wikiend hii panapo uhai tuaweka course ya flutter na tayari nimeshaanza kuandika masomo.
2. Pili ni Kotlin: Kotlin ni language inayopendekezwa na Google katika kutengeneza app. Yenyewe imerahisishwa kutoka kwn...
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Hii ni list ya wataalamu wa kompyuta amba ni wagunduzi wa lugha zaidi ya 20 za kompyta.
Soma Zaidi...Je umeshawahi kuweka post yako kwenye blog halafu ikachukuwa mpaka siku 3 kuonekana kwenye search engine kama Google, Index ama Bing. Bsi project ya IndexNow imekuja kutatuwa tatizo hilo
Soma Zaidi...Hizi ni baadhi ya changamoto wanazokutana nazo wanafunzi wa tehama kwenye darasa la Bongoclass
Soma Zaidi...Watu wangi wnekuwa wakitumia meme, ila bila ya kujuwa nini hasa hizo meme. Na hasa Zina matumizi gani
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza kuhusu maana ya constanta pamoja na matumizi yake. Pia utazijuwa sheria za uandishi wa constant
Soma Zaidi...Katika post hii utakwenda kujifunza hatuwa kwa hatuwa za ku download video za Youtube kwa haraka.
Soma Zaidi...