Nisome language Gani ili niweze kutengeneza App

Kama Bado unajiuliza u some language IPO ya kompyuta ili uweze kutengeneza App basi post hii itakusaidia.

Kwa ushauri kwa beginner:

Language hizi zisome

 

1. Kwanza naanza na Dart - flutter.

Unaposikia flutter hiyo sio language ni framework ambayo inatumia language ya Dart. Ubora kwa kutumia flutter ni kuwa app Moja unayotengeneza inaweza kuwa website, inaweza kuwa android app, inaweza kuwa apple app (iOS) inaweza kuwa desktop app (window app) inaweza kuwa Linux app ama zaidi ya hapo.

 

Ina maana kuwa ukijuwa Dart utaweza kutumia flutter vyema na kufanya vitu vingi kwa utahisi zaidi.

 

Bongoclass tumeweka course ya Dart imekamilika unaweza kupitia ni free. Pia wikiend hii panapo uhai tuaweka course ya flutter na tayari nimeshaanza kuandika maso">...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Main: ICT File: Download PDF Views 1018

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 Dua za Mitume na Manabii    👉4 web hosting    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

Changamoto wanazokutana nazo wanafunzi wa tehama

Hizi ni baadhi ya changamoto wanazokutana nazo wanafunzi wa tehama kwenye darasa la Bongoclass

Soma Zaidi...
Njia za kujifunza Programming language yeyote ile

Hapa nitakwenda kukueleza njia ambazo naweza kuzituia ili kujifunza programming kwa urahisi

Soma Zaidi...
Wajuwe wanasanyansi na lugha za kompyuta walizoanzisha

Hii ni list ya wataalamu wa kompyuta amba ni wagunduzi wa lugha zaidi ya 20 za kompyta.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 28: Maana ya constant kwenye php na kazi zake

Katika somo hili utajifunza kuhusu maana ya constanta pamoja na matumizi yake. Pia utazijuwa sheria za uandishi wa constant

Soma Zaidi...
Ifahamu Y2K yaani year 2000 bug

Moja katika changamoto iliyowahi kusumbuwa dunia kutokana na maendeleo ya tehama duniani.

Soma Zaidi...
Je unahitaji kutengenezewa Android App

Bongoclass tunatoa Fursa ya kupata huduma ya kutengenezewa App

Soma Zaidi...
Tehama ni nini

Umesha sikia sana kuhusu neno tehama, lakini je umeshajuwa tehama ni nini hasa. Katika makala hii utakwenda kujifunza kuhsu tehama

Soma Zaidi...
Meme ni nini

Watu wangi wnekuwa wakitumia meme, ila bila ya kujuwa nini hasa hizo meme. Na hasa Zina matumizi gani

Soma Zaidi...
Njia ya haraka ku download video za Youtube

Katika post hii utakwenda kujifunza hatuwa kwa hatuwa za ku download video za Youtube kwa haraka.

Soma Zaidi...
Asilimia 77.2% ya website zinatumia PHP kama server side.

Kuna server side language nyingi ikiwepo java, php, python, dart na nyinginezo nyingi. Hata hivyo PHp bado inaedelea kuwa maarufu.

Soma Zaidi...