Ifahamu Y2K yaani year 2000 bug
Moja katika changamoto iliyowahi kusumbuwa dunia kutokana na maendeleo ya tehama duniani.
Y2K, au **Year 2000 bug**, ilikuwa ni tatizo la kiufundi lililoweza kutokea mwaka 2000. Tatizo hili lilitokana na makosa ya ki mazoea yaliyofanywa na waprogramu katika miaka ya 1930 hadi 1970. Wakati huo, kompyuta zilikuwa na nafasi ndogo ya kuhifadhi data, kwa hivyo waprogramu walitumia tarakimu mbili tu kuwakilisha mwaka. Kwa mfano, mwaka 1962 ungeandikwa kama "62".
Hata hivyo, waprogramu hawakuzingatia kwamba programu zao zinaweza kudumu kwa miaka mingi baadaye. Ilipofika miaka ya 1990, ikawa wazi kwamba makosa haya yanaweza kusababisha matatizo makubwa mwaka 2000, wakati idadi ya miaka ingekuwa "00". Kwa mfano, programu zinazotumia tarakimu mbili tu kuwakilisha mwaka zingeweza kuchanganya mwaka 2000 na mwaka 1900.
Matokeo yake, jitihada kubwa zilifanywa kurekebisha programu hizi. Ikadiriwa kuwa kati ya dola bilioni 300 hadi 400 zilitumika katika juhudi hizi. Licha ya juhudi hizi, baadhi ya matatizo bado yalitokea mwaka 2000. Kwa mfano, baadhi ya vituo vya ndege vilishindwa kufanya kazi, baadhi ya hospitali zilipoteza data ya wagonjwa, na baadhi ya taa za barabarani zilizimwa.
Tatizo la Y2K lilikuwa ni onyo kwa waprogramu juu ya umuhimu wa kuandika code kwa uangalifu. Hata makosa madogo yanaweza kusababisha matatizo...
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Madrasa kiganjani 👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉3 web hosting 👉4 Kitabu cha Afya 👉5 Simulizi za Hadithi Audio 👉6 kitabu cha Simulizi
Post zinazofanana:
Utangulizi wa mvc na umuhimu wake
Katika somo hili, tutajifunza: Maana ya MVC (Model-View-Controller) Kila kipengele (Model, View, Controller) kinachofanya Faida za kutumia MVC Tatizo la PHP ya kawaida bila MVC
Soma Zaidi...Changamoto wanazokutana nazo wanafunzi wa tehama
Hizi ni baadhi ya changamoto wanazokutana nazo wanafunzi wa tehama kwenye darasa la Bongoclass
Soma Zaidi...Ijuwe platform ya IndexNow
Je umeshawahi kuweka post yako kwenye blog halafu ikachukuwa mpaka siku 3 kuonekana kwenye search engine kama Google, Index ama Bing. Bsi project ya IndexNow imekuja kutatuwa tatizo hilo
Soma Zaidi...CSS Functions – calc(), clamp(), var(), min(), max() na Custom Functions
Katika somo hili, tutajifunza kuhusu CSS functions muhimu zinazotumika kufanya mahesabu, kuweka vipimo vya kisasa vinavyobadilika kulingana na hali ya kifaa, na kutumia variables. Tutazingatia functions kama: calc(), clamp(), var(), min(), max(), na mwishoni tutajifunza jinsi ya kutengeneza custom function kwa kutumia variables.
Soma Zaidi...Njia ya haraka ku download video za Youtube
Katika post hii utakwenda kujifunza hatuwa kwa hatuwa za ku download video za Youtube kwa haraka.
Soma Zaidi...Njia za kujifunza Programming language yeyote ile
Hapa nitakwenda kukueleza njia ambazo naweza kuzituia ili kujifunza programming kwa urahisi
Soma Zaidi...