picha

Ifahamu Y2K yaani year 2000 bug

Moja katika changamoto iliyowahi kusumbuwa dunia kutokana na maendeleo ya tehama duniani.

Y2K, au **Year 2000 bug**, ilikuwa ni tatizo la kiufundi lililoweza kutokea mwaka 2000. Tatizo hili lilitokana na makosa ya ki mazoea yaliyofanywa na waprogramu katika miaka ya 1930 hadi 1970. Wakati huo, kompyuta zilikuwa na nafasi ndogo ya kuhifadhi data, kwa hivyo waprogramu walitumia tarakimu mbili tu kuwakilisha mwaka. Kwa mfano, mwaka 1962 ungeandikwa kama "62".

 

Hata hivyo, waprogramu hawakuzingatia kwamba programu zao zinaweza kudumu kwa miaka mingi baadaye. Ilipofika miaka ya 1990, ikawa wazi kwamba makosa haya yanaweza kusababisha matatizo makubwa mwaka 2000, wakati idadi ya miaka ingekuwa "00". Kwa mfano, programu zinazotumia tarakimu mbili tu kuwakilisha mwaka zingeweza kuchanganya mwaka 2000 na mwaka 1900.

 

Matokeo yake, jitihada kubwa zilifanywa kurekebisha programu hizi. Ikadiriwa kuwa kati ya dola bilioni 300 hadi 400 zilitumika katika juhudi hizi. Licha ya juhudi hizi, baadhi ya matatizo bado yalitokea mwaka 2000. Kwa mfano, baadhi ya vituo vya ndege vilishindwa kufanya kazi, baadhi ya hospitali zilipoteza data ya wagonjwa, na baadhi ya taa za barabarani zilizimwa.

 

Tatizo la Y2K lilikuwa ni onyo kwa waprogramu juu ya umuhimu wa kuandika code kwa uangalifu. Hata makosa madogo yanaweza kusababisha matatizo...

Ingia sasa ili uweze kusoma makala hii yote.

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: General Main: Post File: Download PDF Views 1476

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉2 web hosting     👉3 Simulizi za Hadithi Audio     👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉5 Bongolite - Game zone - Play free game     👉6 Kitabu cha Afya    

Post zinazofanana:

CSS Functions – calc(), clamp(), var(), min(), max() na Custom Functions

Katika somo hili, tutajifunza kuhusu CSS functions muhimu zinazotumika kufanya mahesabu, kuweka vipimo vya kisasa vinavyobadilika kulingana na hali ya kifaa, na kutumia variables. Tutazingatia functions kama: calc(), clamp(), var(), min(), max(), na mwishoni tutajifunza jinsi ya kutengeneza custom function kwa kutumia variables.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 28: Maana ya constant kwenye php na kazi zake

Katika somo hili utajifunza kuhusu maana ya constanta pamoja na matumizi yake. Pia utazijuwa sheria za uandishi wa constant

Soma Zaidi...
Wajuwe wanasanyansi na lugha za kompyuta walizoanzisha

Hii ni list ya wataalamu wa kompyuta amba ni wagunduzi wa lugha zaidi ya 20 za kompyta.

Soma Zaidi...
Njia za kujifunza Programming language yeyote ile

Hapa nitakwenda kukueleza njia ambazo naweza kuzituia ili kujifunza programming kwa urahisi

Soma Zaidi...
Ijuwe platform ya IndexNow

Je umeshawahi kuweka post yako kwenye blog halafu ikachukuwa mpaka siku 3 kuonekana kwenye search engine kama Google, Index ama Bing. Bsi project ya IndexNow imekuja kutatuwa tatizo hilo

Soma Zaidi...
Tehama ni nini

Umesha sikia sana kuhusu neno tehama, lakini je umeshajuwa tehama ni nini hasa. Katika makala hii utakwenda kujifunza kuhsu tehama

Soma Zaidi...