PHP - somo la 28: Maana ya constant kwenye php na kazi zake

PHP - somo la 28: Maana ya constant kwenye php na kazi zake

Katika somo hili utajifunza kuhusu maana ya constanta pamoja na matumizi yake. Pia utazijuwa sheria za uandishi wa constant

Download Post hii hapa

PHP CONSTANTS

 

Je constants ni nini?

Constant ni jina ambalo hupewa thamani fulani ambayo haitabadilika kwenye script za php wakati zinapofanya kazi. Constants na variable hufanana ytofauti mkubwa ni kuwa, constants hazibadiliki lakini variable hubadilika.


 

Ni yapi matumizi yake:

Constant hutumika hasa kwa zile taarifa ambazo haziwezi kubadilika wakati wa code zinapofanya kazi. Kwa mfano tunatumia constant kwa ajili ya database configuration. Au login ambazo hazihitaji database. Ama unaweza kutumia constatnt popote bale kama mbadala wa variable.

 

Kanuni za kuandika constants:

Unapoandika constant ujuwe kuwa haianzi na alama ya dola $ kama ilivyo variable. Unaweza kuanza na herufi au underscode (_). Pia tunapoandika constants tunaanza na neno define likifuatiliwa na mabano ya kufunga na kufunguwa () mfano define() 

 

Pia unaweza kusema kama constat hiyo inaangalia case-sensitivity, yaani kufuata kamaherufi ni kubwa iwe hivyohivyo na kamaherufi ni ndoo iwe hivyohivyo. Yaani hii ipo hivi, wakati wa kujakuitumia constants endapo hapo mwanzo uliiandika kwa herufi kubwa basi hata wakati wa kuitumia uandike hivyohivyo kwa herufi kubwa. Sasa jambo hili unaweza kuliset.

 

Ndani ya mabano kunakaa jina la constant, thamani ya conctanta, na case sensitivity. Hivyo basi kanuni ya kuandika constant inaweza kufupishwa hivi:-

 

define(jina, thamani, case-insensitive)

 

Mfano 1:

define("chakula", "ugali, nyama na soda");

echo chakula;

?>

 

Kama hapo juu jina la constant ni chakula kwa herufi ndogo. Na wakati wa kuitumia nimetumia hivyo hivyo herufi ndogo. Endapo ningetumia herufi kubwa ingeleta error. Sasa endapo unataka isijali herufi ziwe kubwa ama ndogo utaongeza parameta nyingine kwenye mabano kwa ajili ya kueleza case insensitive.


 

Case sensitivity ipo katika namna mbili eidha iwe true au false. Ukiacha bila ya kuipanga basi itakuwa ni case-sensitive ambayo hufuata hefufikubwa ni kubwa na ndogo  i ndogo.

 

Na endapo utaweka true maana yake ni case-insensitivity hapa haitajali herufi kubwa au ndogo

 

Mfano 2:

define("VINYWAJI", "soda, maji, juisi, kahawa", true );

echo vinywaji;

?>

Iyo inatakiwa ikupe matokeo ya 


 

Ila kwa sasa itakupa error kwa sababu kuanzia toleo la 8 la PHP constants ya namna hii imeondolewa yaani huwezi kuwa na case-insinsitivity. Ila kabla ya hapo ilikuwa inafanya kazi.

 

Mfano 3:

Hapa tutaona jinsi ya kutumia constant ili kuunganisha database, MySQL kwakutumia PHP. Tulisha jifunza kwenye mafunzo ya PHP level 2 jinsi ya kuunganisha database kwa kutumia variable. Sasa hapa badala ya kutumia variable tunakwenda kutumia constants.

 

<">...

Download Post hii hapa

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Main: ICT File: Download PDF Views 275

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

Ijuwe platform ya IndexNow
Ijuwe platform ya IndexNow

Je umeshawahi kuweka post yako kwenye blog halafu ikachukuwa mpaka siku 3 kuonekana kwenye search engine kama Google, Index ama Bing. Bsi project ya IndexNow imekuja kutatuwa tatizo hilo

Soma Zaidi...
Ni nini maana ya kompyuta, na je simu janja ni kompyuta?
Ni nini maana ya kompyuta, na je simu janja ni kompyuta?

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu maana ya kompyuta na tofauti yake kati ya kompyuta na simu jana.

Soma Zaidi...
Ifahamu Y2K  yaani year 2000 bug
Ifahamu Y2K yaani year 2000 bug

Moja katika changamoto iliyowahi kusumbuwa dunia kutokana na maendeleo ya tehama duniani.

Soma Zaidi...
Tehama ni nini
Tehama ni nini

Umesha sikia sana kuhusu neno tehama, lakini je umeshajuwa tehama ni nini hasa. Katika makala hii utakwenda kujifunza kuhsu tehama

Soma Zaidi...
Njia za kujifunza Programming language yeyote ile
Njia za kujifunza Programming language yeyote ile

Hapa nitakwenda kukueleza njia ambazo naweza kuzituia ili kujifunza programming kwa urahisi

Soma Zaidi...
Je unahitaji kutengenezewa Android App
Je unahitaji kutengenezewa Android App

Bongoclass tunatoa Fursa ya kupata huduma ya kutengenezewa App

Soma Zaidi...
Meme ni nini
Meme ni nini

Watu wangi wnekuwa wakitumia meme, ila bila ya kujuwa nini hasa hizo meme. Na hasa Zina matumizi gani

Soma Zaidi...
Changamoto wanazokutana nazo wanafunzi wa tehama
Changamoto wanazokutana nazo wanafunzi wa tehama

Hizi ni baadhi ya changamoto wanazokutana nazo wanafunzi wa tehama kwenye darasa la Bongoclass

Soma Zaidi...
Asilimia 77.2% ya website zinatumia PHP kama server side.
Asilimia 77.2% ya website zinatumia PHP kama server side.

Kuna server side language nyingi ikiwepo java, php, python, dart na nyinginezo nyingi. Hata hivyo PHp bado inaedelea kuwa maarufu.

Soma Zaidi...