Umeshawahi kujiuliza Nini hasa tofauti kati ya deep web, surface web na dark web.
Deep web, Dark web na surface web.
Surface web ni sehemu ya internet ambayo inaweza kufikiwa na search engine. Mara nyingi sehemu hii haihitaji mtu ku login.
Deep web ni sehemu ya internet ambayo haiwezi kufikiwa na search engine ksma google, bing, Yandex, yahoo n.k
Deep web ndio sehemu kubwa ya internet ambapo inakadiriwa inachukuwa asilimia 95 za internet yote.
Dark web ni kijisehemu kidogo cha deep web. Dark web ni sehemu ya internet ambayo haiwezi kufikiwa na browser hizi za kawaida. Pia search engine kama Google, Bong, Yandex, yahoo haiwezi kufika kwenye dark web.
Unaweza kuingia dark web Kwa kutumia Tor browser. Pia browser kama brave browser inakupa access ya kutumia Tor network. Hivyo Kwa kutumia brave browser unaweza kuingia dark web.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowJaza maswali yote ama baadhi kisha bofya kitufe za kutuma majibu hapo chini.
Bongoclass tunatoa Fursa ya kupata huduma ya kutengenezewa App
Soma Zaidi...Hii ni list ya wataalamu wa kompyuta amba ni wagunduzi wa lugha zaidi ya 20 za kompyta.
Soma Zaidi...Kuna server side language nyingi ikiwepo java, php, python, dart na nyinginezo nyingi. Hata hivyo PHp bado inaedelea kuwa maarufu.
Soma Zaidi...Moja katika changamoto iliyowahi kusumbuwa dunia kutokana na maendeleo ya tehama duniani.
Soma Zaidi...Umesha sikia sana kuhusu neno tehama, lakini je umeshajuwa tehama ni nini hasa. Katika makala hii utakwenda kujifunza kuhsu tehama
Soma Zaidi...Kama Bado unajiuliza u some language IPO ya kompyuta ili uweze kutengeneza App basi post hii itakusaidia.
Soma Zaidi...hapa ninakuletea vitu vya kuangalia unapotaka kununua kompyuta kwa ajili ya kufanyia programming. Ama kutengeneza software mbalimbali.
Soma Zaidi...Katika post hii utakwenda kujifunza hatuwa kwa hatuwa za ku download video za Youtube kwa haraka.
Soma Zaidi...Hapa nitakwenda kukueleza njia ambazo naweza kuzituia ili kujifunza programming kwa urahisi
Soma Zaidi...