image

Utofauti wa deep web, dark web na surface web

Umeshawahi kujiuliza Nini hasa tofauti kati ya deep web, surface web na dark web.

Deep web, Dark web na surface web.

 

Surface web ni sehemu ya internet ambayo inaweza kufikiwa na search engine. Mara nyingi sehemu hii haihitaji mtu ku login.

 

Deep web ni sehemu ya internet ambayo haiwezi kufikiwa na search engine ksma google, bing, Yandex, yahoo n.k

 

Deep web ndio sehemu kubwa ya internet ambapo inakadiriwa inachukuwa asilimia 95 za internet yote.

 

Dark web ni kijisehemu kidogo cha deep web. Dark web ni sehemu ya internet ambayo haiwezi kufikiwa na browser hizi za kawaida. Pia search engine kama Google, Bong, Yandex, yahoo haiwezi kufika kwenye dark web. 

 

Unaweza kuingia dark web Kwa kutumia Tor browser. Pia browser kama brave browser inakupa access ya kutumia Tor network. Hivyo Kwa kutumia brave browser unaweza kuingia dark web.





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 328


Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 kitabu cha Simulizi     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 Kitau cha Fiqh    

ZOEZI

Jaza maswali yote ama baadhi kisha bofya kitufe za kutuma majibu hapo chini.



1 : Ni browser gani hutumika unapotaka kuingia dark web _________

Post zifazofanana:-

Meme ni nini
Watu wangi wnekuwa wakitumia meme, ila bila ya kujuwa nini hasa hizo meme. Na hasa Zina matumizi gani Soma Zaidi...

Njia za kujifunza Programming language yeyote ile
Hapa nitakwenda kukueleza njia ambazo naweza kuzituia ili kujifunza programming kwa urahisi Soma Zaidi...

Wajuwe wanasanyansi na lugha za kompyuta walizoanzisha
Hii ni list ya wataalamu wa kompyuta amba ni wagunduzi wa lugha zaidi ya 20 za kompyta. Soma Zaidi...

Ijuwe platform ya IndexNow
Je umeshawahi kuweka post yako kwenye blog halafu ikachukuwa mpaka siku 3 kuonekana kwenye search engine kama Google, Index ama Bing. Bsi project ya IndexNow imekuja kutatuwa tatizo hilo Soma Zaidi...

Utofauti wa deep web, dark web na surface web
Umeshawahi kujiuliza Nini hasa tofauti kati ya deep web, surface web na dark web. Soma Zaidi...

Asilimia 77.2% ya website zinatumia PHP kama server side.
Kuna server side language nyingi ikiwepo java, php, python, dart na nyinginezo nyingi. Hata hivyo PHp bado inaedelea kuwa maarufu. Soma Zaidi...

Changamoto wanazokutana nazo wanafunzi wa tehama
Hizi ni baadhi ya changamoto wanazokutana nazo wanafunzi wa tehama kwenye darasa la Bongoclass Soma Zaidi...

Nisome language Gani ili niweze kutengeneza App
Kama Bado unajiuliza u some language IPO ya kompyuta ili uweze kutengeneza App basi post hii itakusaidia. Soma Zaidi...

Ubunifu katika Tehama
Soma Zaidi...

Ifahamu Y2K yaani year 2000 bug
Moja katika changamoto iliyowahi kusumbuwa dunia kutokana na maendeleo ya tehama duniani. Soma Zaidi...

Vigezo vya kuzingatia unapotaka kununua kompyuta kwa ajili ya programming
hapa ninakuletea vitu vya kuangalia unapotaka kununua kompyuta kwa ajili ya kufanyia programming. Ama kutengeneza software mbalimbali. Soma Zaidi...

Je unahitaji kutengenezewa Android App
Bongoclass tunatoa Fursa ya kupata huduma ya kutengenezewa App Soma Zaidi...