Nini kinasababisha kizunguzungu?

Posti hii inaelezea kuhusiana na dalili za kizunguzungu zinazotekea katika mwili wa binadamu

    Dalili za kizunguzungu

1.Maumivu ya kichwa; kichwa kinapouma hupelekea kupata kizunguzungu

2.mapigo ya moyo kuenda haraka; moyo unapofanya kazi haraka au kishindwa kufanya kazi hupelekea kizunguzungu .

3.homa Kali; mtu akiwa na homa hupelekea hadi kichwa kuuma mwili kudhohofika na kizunguzungu huweza kutolea.

4.mwili kukosa nguvu(body weakness). Mwili ukikosa nguvu husababishwa na vitu vingi Kama vile njaa, Magonjwa mbalimbali.

5.kukaa mda mrefu bila kula au kunjwa maji ya kutosha; moja kwa moja chakula hujenga mwili na kuupatia mwili nguvu sasa mwili ukikosa chakula na maji kizunguzungu lazima kitokee.

6.magonjwa ;Kuna Magonjwa huja na kizunguzungu 

7.dawa (other drugs) Kila dawa Ina Faida nahasara zake lakini Kuna dawa zikitumiwa lazima kupatwa na kizunguzungu mfano dawa za kutibu moyo,presha,UTI, typhoid na nyinginezo nyingi.

8.baadhi ya magonjwa; Kuna Magonjwa ukiumwa au kuyapata Ni lazima kizunguzungu kuwepo Kama vile vidonda vya tumbo.

9.kutapika na Kuharisha kupita kiasi; kutapika na Kuharisha Sana kunapunguza maji mengi mwili na mwili hukosa nguvu na mwili ukikosa nguvu lazima kizunguzungu kitakuwepo

 

Mwisho; kizunguzungu sio Ugonjwa Ila Ni vyema kuzingatia kupata muda wa kupumzika,kula,kunywa maji ya kutosha pia ukitumia dawa Ni vyema kupumzika kwanza  ili kuepuka kupata kizunguzungu.

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Author Tarehe 2021/12/05/Sunday - 10:13:51 am     Share On Facebook or WhatsApp Imesomwa mara 1964

Post zifazofanana:-

Maumivu ya tumbo kwa chini upande wa kushoto
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za maumivu ya tumbo chini upande wa kushoto Soma Zaidi...

Saratani zinazowasumbua watoto.
Posti hii inahusu zaidi saratani zinazowashambulia watoto. Hizi ni aina mbalimbali za saratani ambazo upenda kuwasumbua watoto ambao ni chini ya umri wa miaka mitano na uleta madhara katika kipindi cha makuzi yao. Soma Zaidi...

Zijue dalili za maambukizi ndani ya sikio na madhara yake
Sikio ni mojawapo ya milango ya fahamu inayotumiwa kwa ajili ya kusikia, Kuna wakati mwingine hushambulia na bakteria na virusi Soma Zaidi...

Zijue sehemu kuu nne za chumba cha upasuaji
Post hii inahusu zaidi sehemu kuu nne za chumba cha upasuaji, chumba cha upasuaji kina sehemu kuu nne na sehemu hizo ufanya kazi tofauti tofauti kama ifuatavyo. Soma Zaidi...

Kuwepo kwa mabonge ya damu wakati wa hedhi
Posti hii inahusu zaidi kuwepo kwa mabonge ya damu wakati wa hedhi, tunajua kabisa wakati wa hedhi damu inapaswa kuwa nyepesi na ya kawaida ila kuna wakati mwingine inakuwa na mabonge zifuatazo ni sababu za kuwepo kwa mabonge ya damu wakati wa hedhi. Soma Zaidi...

Njia za kufanya ukiwa na tatizo la uti wa mgongo.
Posti hii inahusu zaidi Njia za kufanya Ili kupunguza maumivu ya tatizo la uti wa mgongo, ni njia unazopaswa kufanya pale unapokuwa na tatizo la uti wa Mgongo. Soma Zaidi...

Namna ya kuyatunza macho
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu namna ya kuyatunza macho Soma Zaidi...

Zijuwe athari za vidonda mwilini
Posti hii inahusu zaidi athari za kutotibu vidonda, hizi ni athari mbalimbali ambazo zinaweza kutokea ingawa kama vidonge haujatibiwa au vimetibiwa kwa kuchelewa. Soma Zaidi...

Umuhimu wa maji yaliyomo kwenye mfuko wa mtoto akiwa tumboni mwa mama
Post hii inahusu zaidi umuhimu wa maji yaliyomo kwenye mfuko wa mtoto akiwa tumboni. Ni maji ambayo kwa kitaalamu huitwa (Amniotic fluid) Soma Zaidi...

Sababu za kuumwa na tumbo, chini ya kitomvu ama upande wa kulia
Post hii inakwenda kukutajia baadhi tu ya sababu zinazopelekea kuumwa na tumbo. Hali hizi zinawweza kuwapata watu wa jinsia zote katika umri wowote ule. Ijapokuwa nyingine si kwa wote ni kwa baadhi ya watu. hapa nitakuletea sababu 5 tu. Soma Zaidi...

Namna ugonjwa wa herpes simplex unavyosambaa.
Posti hii inahusu zaidi namna ya ugonjwa wa vipele kwenye midomo na sehemu za siri unavyoweza kuenea kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine. Soma Zaidi...

Ajali ya jicho
Post hii inahusu zaidi ajali ya jicho na visababishi vyake, ajali ya jicho ni pale jicho linavyoingiliwa na uchafu na vitu vingine ambavyo havistahili kuwa kwenye jicho Soma Zaidi...