Nini kinasababisha kizunguzungu?

Posti hii inaelezea kuhusiana na dalili za kizunguzungu zinazotekea katika mwili wa binadamu

    Dalili za kizunguzungu

1.Maumivu ya kichwa; kichwa kinapouma hupelekea kupata kizunguzungu

2.mapigo ya moyo kuenda haraka; moyo unapofanya kazi haraka au kishindwa kufanya kazi hupelekea kizunguzungu .

3.homa Kali; mtu akiwa na homa hupelekea hadi kichwa kuuma mwili kudhohofika na kizunguzungu huweza kutolea.

4.mwili kukosa nguvu(body weakness). Mwili ukikosa nguvu husababishwa na vitu vingi Kama vile njaa, Magonjwa mbalimbali.

5.kukaa mda mrefu bila kula au kunjwa maji ya kutosha; moja kwa moja chakula hujenga mwili na kuupatia mwili nguvu sasa mwili ukikosa chakula na maji kizunguzungu lazima kitokee.

6.magonjwa ;Kuna Magonjwa huja na kizunguzungu 

7.dawa (other drugs) Kila dawa Ina Faida nahasara zake lakini Kuna dawa zikitumiwa lazima kupatwa na kizunguzungu mfano dawa za kutibu moyo,presha,UTI, typhoid na nyinginezo nyingi.

8.baadhi ya magonjwa; Kuna Magonjwa ukiumwa au kuyapata Ni lazima kizunguzungu kuwepo Kama vile vidonda vya tumbo.

9.kutapika na Kuharisha kupita kiasi; kutapika na Kuharisha Sana kunapunguza maji mengi mwili na mwili hukosa nguvu na mwili ukikosa nguvu lazima kizunguzungu kitakuwepo

 

Mwisho; kizunguzungu sio Ugonjwa Ila Ni vyema kuzingatia kupata muda wa kupumzika,kula,kunywa maji ya kutosha pia ukitumia dawa Ni vyema kupumzika kwanza  ili kuepuka kupata kizunguzungu.

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 3044

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

Aina ya kisukari inayojulikana kama Diabety type 1

Post hii inahusu zaidi ugonjwa wa kisukari Aina ya kwanza ambapo kwa kitaalamu huitwa Diabetes type 1, ni hali ambayo utokea ambapo mwili ushindwa kutengeneza insulini ambayo uweka sukari kwenye hali ya usawa.

Soma Zaidi...
Matatizo yanayoweza kusababisha Saratani.

Posti hii inazungumzia kuhusiana na matatizo yanayoweza kusababisha Ugonjwa wa Saratani.

Soma Zaidi...
Dalili za ugonjwa wa upele

Posti hii inahusu zaidi dalili za ugonjwa wa upele, ni dalili au mwonekano wa mgonjwa wa upele.

Soma Zaidi...
Madhara ya kaswende kwa wajawazito na watoto wadogo.

Posti inahusu zaidi madhara ya kaswende kwa mama mjamzito na mtoto, Ni ugonjwa unaopatikana hasa kwa njia ya kujamiiana na utoka kwa mwenye Ugonjwa kwenda kwa mtu ambaye hana ugonjwa, kwa hiyo tunapaswa kujua madhara ya ugonjwa huu kwa mama mjamzito na mt

Soma Zaidi...
Sababu za maumivu ya tumbo kitovuni na dalili zake

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za maumivu ya tumbo kitovuni na dalili zake

Soma Zaidi...
Aina mbalimbali za michubuko

Post hii inahusu zaidi aina mbalimbali za michubuko,kwa Sababu michubuko utokea sehemu tofauti tofauti na pia Kuna aina mbalimbali kama tutakavyoona hapo mbeleni.

Soma Zaidi...
Saratani (cancer)

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu maradhi ya cancer/saratani

Soma Zaidi...
Ugonjwa wa saikolojia wa kujitenga na watu.

Ugonjwa wa kuharibika kwa mwili ni aina ya ugonjwa sugu wa Akili ambao huwezi kuacha kufikiria kuhusu kasoro katika mwonekano wako au ya kuwaziwa. Lakini kwako, mwonekano wako unaonekana kuwa wa aibu sana hivi kwamba hutaki kuonekana na mtu yeyote

Soma Zaidi...
Madhara ya minyoo

Posti hii inaonyesha kiufupi kabisa madhara ya minyoo kwenye mwili wa binadamu. Yafuatayo Ni madhara ya minyoo;

Soma Zaidi...