Posti hii inaelezea kuhusiana na dalili za kizunguzungu zinazotekea katika mwili wa binadamu
Dalili za kizunguzungu
1.Maumivu ya kichwa; kichwa kinapouma hupelekea kupata kizunguzungu
2.mapigo ya moyo kuenda haraka; moyo unapofanya kazi haraka au kishindwa kufanya kazi hupelekea kizunguzungu .
3.homa Kali; mtu akiwa na homa hupelekea hadi kichwa kuuma mwili kudhohofika na kizunguzungu huweza kutolea.
4.mwili kukosa nguvu(body weakness). Mwili ukikosa nguvu husababishwa na vitu vingi Kama vile njaa, Magonjwa mbalimbali.
5.kukaa mda mrefu bila kula au kunjwa maji ya kutosha; moja kwa moja chakula hujenga mwili na kuupatia mwili nguvu sasa mwili ukikosa chakula na maji kizunguzungu lazima kitokee.
6.magonjwa ;Kuna Magonjwa huja na kizunguzungu
7.dawa (other drugs) Kila dawa Ina Faida nahasara zake lakini Kuna dawa zikitumiwa lazima kupatwa na kizunguzungu mfano dawa za kutibu moyo,presha,UTI, typhoid na nyinginezo nyingi.
8.baadhi ya magonjwa; Kuna Magonjwa ukiumwa au kuyapata Ni lazima kizunguzungu kuwepo Kama vile vidonda vya tumbo.
9.kutapika na Kuharisha kupita kiasi; kutapika na Kuharisha Sana kunapunguza maji mengi mwili na mwili hukosa nguvu na mwili ukikosa nguvu lazima kizunguzungu kitakuwepo
Mwisho; kizunguzungu sio Ugonjwa Ila Ni vyema kuzingatia kupata muda wa kupumzika,kula,kunywa maji ya kutosha pia ukitumia dawa Ni vyema kupumzika kwanza ili kuepuka kupata kizunguzungu.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Post hii inahusu zaidi ugonjwa wa kisukari Aina ya kwanza ambapo kwa kitaalamu huitwa Diabetes type 1, ni hali ambayo utokea ambapo mwili ushindwa kutengeneza insulini ambayo uweka sukari kwenye hali ya usawa.
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na matatizo yanayoweza kusababisha Ugonjwa wa Saratani.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dalili za ugonjwa wa upele, ni dalili au mwonekano wa mgonjwa wa upele.
Soma Zaidi...Posti inahusu zaidi madhara ya kaswende kwa mama mjamzito na mtoto, Ni ugonjwa unaopatikana hasa kwa njia ya kujamiiana na utoka kwa mwenye Ugonjwa kwenda kwa mtu ambaye hana ugonjwa, kwa hiyo tunapaswa kujua madhara ya ugonjwa huu kwa mama mjamzito na mt
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za maumivu ya tumbo kitovuni na dalili zake
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi aina mbalimbali za michubuko,kwa Sababu michubuko utokea sehemu tofauti tofauti na pia Kuna aina mbalimbali kama tutakavyoona hapo mbeleni.
Soma Zaidi...Ugonjwa wa kuharibika kwa mwili ni aina ya ugonjwa sugu wa Akili ambao huwezi kuacha kufikiria kuhusu kasoro katika mwonekano wako au ya kuwaziwa. Lakini kwako, mwonekano wako unaonekana kuwa wa aibu sana hivi kwamba hutaki kuonekana na mtu yeyote
Soma Zaidi...Posti hii inaonyesha kiufupi kabisa madhara ya minyoo kwenye mwili wa binadamu. Yafuatayo Ni madhara ya minyoo;
Soma Zaidi...