Menu



Nini kinasababisha kizunguzungu?

Posti hii inaelezea kuhusiana na dalili za kizunguzungu zinazotekea katika mwili wa binadamu

    Dalili za kizunguzungu

1.Maumivu ya kichwa; kichwa kinapouma hupelekea kupata kizunguzungu

2.mapigo ya moyo kuenda haraka; moyo unapofanya kazi haraka au kishindwa kufanya kazi hupelekea kizunguzungu .

3.homa Kali; mtu akiwa na homa hupelekea hadi kichwa kuuma mwili kudhohofika na kizunguzungu huweza kutolea.

4.mwili kukosa nguvu(body weakness). Mwili ukikosa nguvu husababishwa na vitu vingi Kama vile njaa, Magonjwa mbalimbali.

5.kukaa mda mrefu bila kula au kunjwa maji ya kutosha; moja kwa moja chakula hujenga mwili na kuupatia mwili nguvu sasa mwili ukikosa chakula na maji kizunguzungu lazima kitokee.

6.magonjwa ;Kuna Magonjwa huja na kizunguzungu 

7.dawa (other drugs) Kila dawa Ina Faida nahasara zake lakini Kuna dawa zikitumiwa lazima kupatwa na kizunguzungu mfano dawa za kutibu moyo,presha,UTI, typhoid na nyinginezo nyingi.

8.baadhi ya magonjwa; Kuna Magonjwa ukiumwa au kuyapata Ni lazima kizunguzungu kuwepo Kama vile vidonda vya tumbo.

9.kutapika na Kuharisha kupita kiasi; kutapika na Kuharisha Sana kunapunguza maji mengi mwili na mwili hukosa nguvu na mwili ukikosa nguvu lazima kizunguzungu kitakuwepo

 

Mwisho; kizunguzungu sio Ugonjwa Ila Ni vyema kuzingatia kupata muda wa kupumzika,kula,kunywa maji ya kutosha pia ukitumia dawa Ni vyema kupumzika kwanza  ili kuepuka kupata kizunguzungu.

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea

Ndio     Hapana     Save post
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Views 2859

Share On:

Facebook WhatsApp

Post zinazofanana:

Je minyoo inaweza kusababisha mmeng'enyo wa chakula kuwa dhaifu?

Mfumo wa chakula unaweza kuwa dhaifu kwa sababu nyingi ikiwepo vyakula vyenyewe, vinywaji ama maradhi. Vipi kuhusu minyoo? Endelea na makala hii utajifunza zaidi.

Soma Zaidi...
Njia za kupambana na saratani

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kupambana na saratani

Soma Zaidi...
Njia za kuzuia uwepo wa ugonjwa wa Bawasili.

Posti hii inahusu zaidi njia au mbinu ambazo zinaweza kutumika ili kuweza kuepuka kuwepo kwa ugonjwa wa Bawasili kwenye jamii, hizi ni njia za awali za kupambana na kuwepo kwa Ugonjwa wa Bawasili.

Soma Zaidi...
Dalili, chanzo, sababu na vmambo hatari kuhusu kifua kikuu

Katika makala hii utajifunza kuhusu kifua kikuu, dalili zake, sababu zake, chanzo chake na mambo hatari kwa mgonjwa.

Soma Zaidi...
Homa ya manjano, dalili za homa ya manjano na namna ya kujikinga na homa ya manjano

HOMA YA MANJANO (yellow fever)Homa ya manjano ni maradhi yanayosababishwa na virusi na husambazwa na mbu.

Soma Zaidi...
Ugonjwa wa Maambukizi ya mfumo wa mkojo kwa watoto chini ya miaka mitano (UTI)

posti hii inazungumzia kuhusiana na Maambukizi kwenye mfumo wa mkojo ambapo kitaalamu hujulikana Kama UTI(Urinary Tract Infection (UTI)) hufafanuliwa kuwa ni maambukizo ya mfumo wa uzazi ambayo yanahusisha urethra. UTI ni maambukizi ya mfumo wa mkojo, m

Soma Zaidi...
Huduma kwa wenye Maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo

Posti hii inahusu zaidi namna ya kuwasaidia Watu wale ambao wana Maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo.

Soma Zaidi...
Watu walio hatarini kupata ugonjwa wa pumu

Kila mtu anaweza kupata ugonjwa wa pumu, hata hivyo kuna ambao wapo hatarini zaidi kupata pumu.

Soma Zaidi...
Maambukizi kwenye mfumo wa usagaji chakula unaotokea kwenye utumbo mkubwa (diverticulitis)

Posti hii inazungumzia kuhusiana na mifuko midogo midogo, iliyobubujika ambayo inaweza kuunda kwenye utando wa mfumo wako wa usagaji chakula. Wao hupatikana mara nyingi katika sehemu ya chini ya utumbo mkubwa (koloni). Hali hiyo inajulikana kama Divert

Soma Zaidi...
Ugonjwa wa mfumo wa kinga ya mwili inavyoshambulia ini.

Ugonjwa huu hupelekea kuvimba kwenye ini yako ambayo hutokea wakati mfumo wa kinga ya mwili wako unaposhambulia ini lako.

Soma Zaidi...