Dalili za ugonjwa wa macho.


image


Posti hii inahusu zaidi dalili za ugonjwa wa macho, ugonjwa huu kwa kawaida una dalili kuu tano kadri ya maambukizi yanavyoongezeka na madhara yake kwa hiyo tunapaswa kujua dalili hizo Kama ifuatavyo.


Dalili za ugonjwa wa macho.

1. Dalili ya kwanza ni pale mdudu anapotua kwenye jicho na jicho hilo kwa kawaida uanza kuwa jekundu,kuwashwa, kuwa maji maji yanayotoka kwenye jicho yanaweza kuwa yote mawili au Moja na pengine kadri siku zinavyoenda jicho linaweza kuwa na mayongo to go kila mara , kwa hiyo kama ni mtoto mdogo wazazi wanapaswa kuwa macho Ili kuweza kumsaidi kwa kumpatia matibabu mapema.

 

2. Dalili ya pili ni pale maambukizi yanavyozidi ndivyo yanaendelea kuwa na uvimbe kwenye jicho ambao kwa kitaalamu huitwa oedema, uvimbe huh unaweza kuwa juu ya jicho na pengine unatoa usaha au maji maji kwa hiyo ikitokea uvimbe huu ukapsuliwa na maji maji yakagusa kwenye jicho la mtu ambaye Hana maambukizi ndio mwanzo wa maambukizi kuanza 

 

3. Katika hatua hii ya tatu maambukizi uzidi na kusababisha uvimbe ulipokuwa kwenye jicho kutengeneza kofu kwenye jicho na kukaribia kufunika jicho Ilo kovu kwa upande mwingine linaweza kuwa na maumivu au kutokuwepo kwa maumivu kwa hiyo kwenye hatua hii ugonjwa unaweza kutibika ni vizuri kabisa kutibu maana ukizidi hapa ni hatari.

 

4. Hatua hii ya nne ni pale maambukizi yakizidi zaidi ambapo kovu lililotengenezwa kuwa kubwa na kuongezeka kwenye jicho na kukaribia kufunika jicho na sehemu mbalimbali za jicho ubadilika kwa hatua hii mtu uanza kuona kwa shida, hatua hii upasuaji ni wa lazima kwa sababu kupona ni vigumu.

 

5. Hatua ya tano na ya mwisho ni pale ambapo mtu anashindwa kuona kabisa yaani makovu yanafunika jicho na pia kabla ya hapo mtu uanza kuona maluwe luwe hatimaye jicho Linaziba kabisa ndo upofu unatokea, kwa hiyo tunapaswa kuelewa kuwa ugonjwa huu unatibika sana na dawa zipo kwa wingi hospitalini kwa hiyo tunapaswa kuwapeleka wagonjwa wetu hospital Ili waweze kupata huduma inayofaa.



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Madrasa kiganjani offline       ðŸ‘‰    2 Tunakukaribisha kwenye Maktaba yetu       ðŸ‘‰    3 Jifunze Fiqh       ðŸ‘‰    4 Download App zetu hapa ujifunze zaidi    


Je una maswali, maoni ama ushauri, tutumie sms ✉ bofya hapa hapa, ama wasiliana nasi kwa WhatsApp bofya hapa



Post Nyingine


image Namna ya kuzuia Ugonjwa wa ini
Posti hii inaelezea namna na jinsi ya kujikinga au kuzuia Ugonjwa wa ini. Soma Zaidi...

image Mbinu za kutoa huduma ya kwanza kwa wagonjwa walio na majeraha ya macho.
Posti hii inaelezea kuhusiana na mbinu za kutoa huduma ya kwanza kwa walio na majeraha ya macho kutokana na aina mbalimbali ya jeraha Soma Zaidi...

image Upungufu wa damu wa madini (anemia ya upungufu wa madini)
upungufu wa damu wa madini ya chuma ni aina ya kawaida ya upungufu wa damu hali ambayo damu haina chembe nyekundu za damu zenye afya. Seli nyekundu za damu hubeba oksijeni kwa tishu za mwili. Bila chuma cha kutosha, mwili wako hauwezi kutoa dutu ya kutosha katika seli nyekundu za damu ambazo huziwezesha kubeba oksijeni (hemoglobin). Kwa hivyo, Anemia ya Upungufu wa madini huenda ikakufanya uchoke na kukosa pumzi. Soma Zaidi...

image Dawa ya UTI
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa ya UTI Soma Zaidi...

image Madhara ya kushindwa kupitisha mkojo.
Posti hii inahusu zaidi madhara ya kushindwa kupitisha mkojo, ni madhara makubwa yanayotokea kwa mtu iwapo akishindwa kupitisha mkojo. Soma Zaidi...

image Sababu za zinazosababisha kuwepo kwa vidonda
Posti hii inahusu zaidi sababu za kuwepo kwa vidonda, kwa sababu tunaona vidonda vinashambulia sehemu mbalimbali za mwili ila tunakuwa hatuna sababu kwa hiyo zifuatazo ni sababu za kuwepo kwa vidonda. Soma Zaidi...

image Namna ya kuzuia virusi vya ukimwi
Posti hii inaelezea kuhusiana na kujikinga au kuzuia virusi vya ukimwi. Soma Zaidi...

image Aina kuu tatu za mvunjiko wa viuno vya mwilini na mifupa
Posti hii inahusu zaidi Aina kuu tatu za mvunjiko ni Aina za kuvunjika ambazo uwakumba watu mbalimbali na watu ushindwa kutambua hizi Aina tatu za mvunjiko, zifuatazo ni Aina za mvunjiko. Soma Zaidi...

image Mabadiliko yanayotokea wakati wa kubarehe kwa wsichana
Post hii inahusu zaidi mabadiliko katika umri wa kubarehe kwa wsichana, ni kipindi ambacho watoto huelekea ujana, utokea Kati ya miaka kuanzia Kumi na kuendelea. Soma Zaidi...

image Faida za tangawizi
Somo Hili linakwenda kukuletea faida za tangawizi Soma Zaidi...