Dalili za ugonjwa wa macho.

Posti hii inahusu zaidi dalili za ugonjwa wa macho, ugonjwa huu kwa kawaida una dalili kuu tano kadri ya maambukizi yanavyoongezeka na madhara yake kwa hiyo tunapaswa kujua dalili hizo Kama ifuatavyo.

Dalili za ugonjwa wa macho.

1. Dalili ya kwanza ni pale mdudu anapotua kwenye jicho na jicho hilo kwa kawaida uanza kuwa jekundu,kuwashwa, kuwa maji maji yanayotoka kwenye jicho yanaweza kuwa yote mawili au Moja na pengine kadri siku zinavyoenda jicho linaweza kuwa na mayongo to go kila mara , kwa hiyo kama ni mtoto mdogo wazazi wanapaswa kuwa macho Ili kuweza kumsaidi kwa kumpatia matibabu mapema.

 

2. Dalili ya pili ni pale maambukizi yanavyozidi ndivyo yanaendelea kuwa na uvimbe kwenye jicho ambao kwa kitaalamu huitwa oedema, uvimbe huh unaweza kuwa juu ya jicho na pengine unatoa usaha au maji maji kwa hiyo ikitokea uvimbe huu ukapsuliwa na maji maji yakagusa kwenye jicho la mtu ambaye Hana maambukizi ndio mwanzo wa maambukizi kuanza 

 

3. Katika hatua hii ya tatu maambukizi uzidi na kusababisha uvimbe ulipokuwa kwenye jicho kutengeneza kofu kwenye jicho na kukaribia kufunika jicho Ilo kovu kwa upande mwingine linaweza kuwa na maumivu au kutokuwepo kwa maumivu kwa hiyo kwenye hatua hii ugonjwa unaweza kutibika ni vizuri kabisa kutibu maana ukizidi hapa ni hatari.

 

4. Hatua hii ya nne ni pale maambukizi yakizidi zaidi ambapo kovu lililotengenezwa kuwa kubwa na kuongezeka kwenye jicho na kukaribia kufunika jicho na sehemu mbalimbali za jicho ubadilika kwa hatua hii mtu uanza kuona kwa shida, hatua hii upasuaji ni wa lazima kwa sababu kupona ni vigumu.

 

5. Hatua ya tano na ya mwisho ni pale ambapo mtu anashindwa kuona kabisa yaani makovu yanafunika jicho na pia kabla ya hapo mtu uanza kuona maluwe luwe hatimaye jicho Linaziba kabisa ndo upofu unatokea, kwa hiyo tunapaswa kuelewa kuwa ugonjwa huu unatibika sana na dawa zipo kwa wingi hospitalini kwa hiyo tunapaswa kuwapeleka wagonjwa wetu hospital Ili waweze kupata huduma inayofaa.

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Author Tarehe 2022/04/23/Saturday - 06:18:39 pm     Share On Facebook or WhatsApp Imesomwa mara 1619

Post zifazofanana:-

Hatua mbili kuu za kushuka kwa Quran
Quran (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

Dawa za kutibu kiungulia
Somo hili linakwenda kukueleza baadhi ya dawa za kutibu kiungulia Soma Zaidi...

Vyakula kwa wagonjwa wa sukari na utaratibu wao wa lishe
Post hii inakwenda kukufundisha utaratibu wa lishe kwa wagonjwa wenye kisukari pamoja na vyakula salamakwao. Soma Zaidi...

Namna ya kuzuia maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo
Posti hii inahusu zaidi namna ya kuzuia maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo, hizi ni njia ambazo zinapaswa kufuatwa ili kutokomeza kabisa maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo. Soma Zaidi...

Huduma ya Kwanza kwa mtu aliyezimia
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyezimia Soma Zaidi...

Yajue magonjwa ya jicho
Posti hii inahusu zaidi Magonjwa ya jicho,ni Magonjwa ambayo ushambulia sehemu mbalimbali za jicho kwa mfano kwenye retina,kuaribu mishipa ya retina ,macho kuwa makavu na pia mtoto wa jicho, hali hii ya magonjwa ya macho Usababisha madhara mbalimbali kama vile kushindwa kuona vizuri, kushindwa kuona mbali au karibu,na hata Magonjwa haya yasipotibiwa uweza kuleta upofu. Soma Zaidi...

Mabadiliko yanayotokea wakati wa kubarehe kwa wsichana
Post hii inahusu zaidi mabadiliko katika umri wa kubarehe kwa wsichana, ni kipindi ambacho watoto huelekea ujana, utokea Kati ya miaka kuanzia Kumi na kuendelea. Soma Zaidi...

Ugonjwa wa kupoteza kumbukumbu.
Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa kupoteza kumbukumbu ambao kwa kitaalamu huitwa Dementia ugonjwa huu uwapata wale ambao umri umekwenda lakini kwa wakati mwingine Usababishwa na vitu mbalimbali kama tutakavyoona. Soma Zaidi...

Dalili za Maambukizi kwenye mifupa
Posti hii inahusu zaidi dalili za Maambukizi kwenye mifupa, ni dalili ambazo ukionyesha kwa mtu mwenye Maambukizi kwenye mifupa. Soma Zaidi...

Huduma za msingi kwa mama mjamzito na mtoto.
Posti hii inahusu zaidi huduma muhimu anazopaswa kupewa mama mjamzito wakati akiwa na mimba, wakati wa kujifungua na baada ya kujifungua yaani ndani ya masaa ishirini na manne, tunajua wazi kuwa Mama akiwa mjamzito anaweza kupata matatizo mbalimbali kwa hiyo anapaswa kupewa huduma muhimu kama ifuatavyo. Soma Zaidi...

Huduma ya Kwanza kwa mtu aliyeng'atwa na nyoka
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyeng'atwa na nyoka Soma Zaidi...

Mambo yanayochangia katika makuzi ya mtoto
Post hii inahusu zaidi mambo yanayochangia katika makuzi ya mtoto, mtoto katika makuzi yake anahitaji kutunzwa vizuri Ili akue kwa afya nzuri bila magonjwa Soma Zaidi...