image

Dalili za fangasi kwenye mapafu

Posti hii inaonyesha dalili za fangasi kwenye mapafu.

   Dalili za fangasi kwenye mapafu Ni Kama ifuatavyo;

1.kushindwa au kupumua kwa shida (difficult in breathing); Ugonjwa wowote wa mapafu huweza kupelekea kishindwa kupumua vizuri.

2.kukohoa; fangasi ya mapafu pia husababishwa kikohozi na makohozi haya hutoa makamasi (mucus) .

3.maumivu kwenye kifua (chest pain) ; pia mapafu yanapopata shida kifua huanza kupata maumivi taratibutaratibu na Kama usipowahi kupata matibabu huzidi kuwa sugu (chronic or severe).

4.kukosa oksijeni (lack of oxygen); fangasi ikitokea kwenye mapafu oxygen lazima itapungua au kushuka kiwango chake kutokana na infection zilizopo kwenye mapafu.

5.maumivu ya kichwa pamoja na kizunguzungu ; hutokana na homa Kali pamona na mwili ukikosa nguvu kwa sababu ya mapafu yatakuwa yameshashambuliwa na bacteria.

6.kukosa hamu ya kula (lack of appetite) mapafu yakipata( inflammation ) michubuko hupelekea maumivu kwenye kifua na pia mtu anaweza kukoksa kabisa hamu ya kula.

7.homa; fangasi ya mapafu lazima isababishe homa Tena Kali na mwili lazima ukose nguvu

8.kutumia Sana dawa Kama vile anibiotic kwa sababu huenda kuuwa zile bacteria zinazolinda mwili (normal Flora) pia hizi dawa zikitumiwa Sana hupelekea fangasi.

9.kutoa makohozi yenye makamasi yaliyochanganyikan na mate.

 

  Mwisho ;fangasi ya mapafu Ni mbaya isipopata matibabu kwa haraka pia inaweza kusababisha kifua kikuu ,mapafu kujaa maji,usaha kwenye mapafu na Magonjwa mengine mengi hivyo basi Ni vyema Kama ukiona dalili za hivi uwahi hospital kupata matibabu ,piakujua Nini haswa zaidi kilichoingilia mapafu kuwa na uhakika zaidi na kupata ushauri mzuri kutoka kwa dactari.



           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Mwandhishi Tarehe 2021/12/05/Sunday - 10:53:04 am     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 2469


Download our Apps
👉1 kitabu cha Simulizi     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 Kitau cha Fiqh     👉4 Madrasa kiganjani    

Post zifazofanana:-

YAJUE MARADHI YA KISUKARI
Posti hii itakwenda kuelezea mambo machache kuhusu ugonjwa wa kisukari Soma Zaidi...

Fangasi wanaojulikana kama Blastomyces
Fangasi wanaojulikana kama Blastomyces, hawa ni fangasi wanaosababisha maradhi yajulikanayo kama blastomycosis. Soma Zaidi...

Dalili za kuvimbiwa kwa watoto.
Kuvimbiwa kwa watoto ni shida ya kawaida. Kuvimbiwa kwa watoto mara nyingi huonyeshwa na kinyesi kisicho kawaida au kinyesi ngumu na kavu. Soma Zaidi...

Vitu vinavyochochea kuwepo kwa Ugonjwa wa ukimwi.
Posti hii inahusu zaidi vitu ambavyo vinasababisha kuongezeka kwa Ukimwi kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine na baada ya watu kujua Ugonjwa huu na matokeo ila bado ugonjwa unazidi kuongezeka. Soma Zaidi...

Fahamu Ugonjwa wa hepatitis A
Hepatitis A ni ugonjwa wa kuambukiza wa ini unaosababishwa na virusi vya Hepatitis A. Virusi ni mojawapo ya aina kadhaa za virusi vya Hepatitis vinavyosababisha kuvimba na kuathiri uwezo wa ini wako kufanya kazi. Soma Zaidi...

Fahamu Magonjwa yanayowapata watoto chini ya miaka mitano
Posti hii inaelezea kuhusiana na Magonjwa mbalimbali ambayo watoto chini ya miaka wanaweza kuyapata kiurahi. Soma Zaidi...

MALARIA NI NINI? NI WATU WANGAPI WANAKUFA KWA MALARIA DUNIANI
Malaria ni katika maradhi yanayosumbua sana na kusababisha maradhi ya watu wengi sana duniani. Soma Zaidi...

Aina za saratani ( cancer)
Posti hii inahusu zaidi Aina za kansa, Kansa ni Aina ya ugonjwa unaosababishwa na kuzaliana kwa seli ambazo sio za kawaida. Soma Zaidi...

VIDONDA VYA TUMBO: DALILI ZAKE, SABABU ZAKE, TIBA YAKE, VIDONDA VYA TUMBO SUGU
Soma Zaidi...

Dalili za sukari kupungua mwilini (Hypoglycemia)
sukari kupungua mwilini (Hypoglycemia) huhusishwa kwa kawaida na matibabu ya Kisukari. Hata hivyo, hali mbalimbali, nyingi zikiwa nadra, zinaweza kusababisha sukari ya chini ya damu kwa watu wasio na Kisukari. Kama vile Homa, Hy Soma Zaidi...

Dalili za tezi dume ambayo hazijashuka (cryptorchidism)
Tezi dume ambayo haijashuka si ya kawaida kwa ujumla, lakini ni ya kawaida kwa wavulana waliozaliwa kabla ya wakati.na muda mwingine zikipanda tumboni huwa hazishuki kabisa kwenye korodani. Soma Zaidi...

Elimu kuhusu HIV na UKIMWI
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu elimu ya kuhusu HIV na UKIMWI Soma Zaidi...