Minyoo ni katika parasite, yaani ni viumbe wanaokaa kwenye mwili na kujipatia chakula chake humo. Katika miili yetu minyoo huishi na kula kuzaliana na kukuwa. Kama unahitaji kujuwa wapi hasa wanakaa mwilini mwetu, endelea na makala hii
SWALI
Kwani minyoo hukaa sehem gani ya mwili?
Minyoo ni katika viumbe hatari sana. wanaweza kusababisha athari nyingi za kiafya na hata kudhoofisha mwili. Minyoo ipo katika aina nyingi sana na huweza kusababisha maradhi mengi. Minyoo inapokaa mwilini inaweza kusababisha athari kama maumivu ya tumbo, kodhoofu kwa mwili baada ya kukosa virutubisho, pia inaweza kuathiri afya ya ubongo endapo itakuwa kwenye ubongo.
Maeneo inapokaa minyoo mwilini:-
1. Kwenye tumbo
2. Kwenye damu
3. Kwenye ngozi
4. Kwenye ubongo
5. Kwenye ngozi
Chakula cha minyoo mwilini
1. hula chakula unachokila
2. hunywa damu
3. hula viungo vingine vya mwili kama maini
4. hula tishu nyinginezo.
Je! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1642
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio
👉2 Kitabu cha Afya
👉3 kitabu cha Simulizi
👉4 Madrasa kiganjani
👉5 Kitau cha Fiqh
👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
VIDONDA VYA TUMBO SUGU
VIDONDA VYA TUMBO SUGU Matibabu ya vidonda vya tumbo mara nyingi hufanikiwa, na kusababisha uponyaji wa vidonda. Soma Zaidi...
SABABU ZINAZOPELEKEA KUJAA KWA MATE MDOMONI NA MATIBABU YAKE
Kutokwa na mate mengi mdomoni si ugojwa ni hali inayoweza kutokea kwa mtu yeyote. Mara nyingi hali hii haihitaji matibabu wa dawa, na huondoka yenyewe. Lakini hutokea baadhi ya nyakati ikawa mate yanatoka zaidi mdomoni. Je na wewe ni miongoni mwao? Makala Soma Zaidi...
Dalili za fangasi uken
Posti hii inahusu zaidi dalili za fangasi uken, hizi ni baadhi ya dalili ambazo ujitokeza kwa mtu Mwenye tatizo la fangasi uken. Soma Zaidi...
ninatatizo la miguu kuuma nimepima wanasema seli nyeupe za damu ipo chini Sana sasa nauliza dawa hizi za vitamin k na sindano vinaweza nisaidia?
Upungufu wa damu ni tatizo la kiafya, lakini kupunguwa seli nyeupe za damu ni tatizo zaidi, nikwa sabaabu seli hizi ndizo ambazo hupambana na wadudu shambulizi wanapoingia mwilini. Soma Zaidi...
Dalili za jeraha la kawaida kwenye ubongo
Posti hii inahusu zaidi dalili la jeraha la kawaida kwenye ubongo, jeraha la kawaida utokea kwa sababu mbalimbali kama vile kupata ajali na kugongwa na kitu chochote kichwani, Soma Zaidi...
Mlo kwa wagonjwa wa figo wanaochujwa damu
Posti hii inahusu zaidi mlo kwa wagonjwa wa figo wanaochujwa damu, ni wagonjwa ambao figo zao zimeharibika na zimeshindwa kufanya kazi au pengine kuna uchafu mwingi mwilini ambao uchujwa kwa hiyo kuna vyakula muhimu ambavyo wagonjwa wa figo wanapaswa kutu Soma Zaidi...
Nini husababisha maumivu ya tumbo chini ya kitovu kwa wanawake na wanaume
Somo hili linakwenda kukueleza vitu vinavyosababisha maumivu ya tumbo chini ya kitovu Soma Zaidi...
Aina za vyakula somo la 13: Faida za bamia
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu faida za bamia mwilini Soma Zaidi...
Dalili za minyoo
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za minyoo Soma Zaidi...
Dalili za minyoo na sababu zake
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za minyoo na sababu zake Soma Zaidi...
VIPIMO VYA MINYOO (UTAJUAJE KAMA UNA MINYOO)? fecal test, blood test, colonoscopy tape test X-ray, MRI na CT scan.
VIPIMO VYA MINYOO Haitoshelezi kuwa na dalili pekee ukathibitisha kuwa una minyoo. Soma Zaidi...
Yajue mashambulizi ya bacteria kwenye Ngozi (cellulitis)
Mashambulizi ya bacteria kwenye Ngozi hujitokeza sehemu yenye jeraha pia huonyesha wekundu wenye upele,Uvimbe na malengelenge. Soma Zaidi...