image

Dalili za Maambukizi kwenye mifupa

Posti hii inahusu zaidi dalili za Maambukizi kwenye mifupa, ni dalili ambazo ukionyesha kwa mtu mwenye Maambukizi kwenye mifupa.

Dalili za Maambukizi kwenye mifupa

1. Maumivu makali wakati wa kutembea.

Ni maumivu ambayo utokea kwa mtu ambaye ana Maambukizi kwenye mifupa, hali hii ya maumivu utokea kwa sababu bakteria wanakuwepo kwenye mifupa usababisha mashambulizi ambayo umfanya mtu kuumia pale anapotembea au pengine bakteria usababisha ute ute ambao upo kwenye mifupa kukauka kabisa na pengine mifupa kusagika na hivyo mtu akiwa anatembea uhisi maumivu makali. Kwa hiyo tunashauriwa kutumia dawa za maumivu ili kupunguza maumivu yanayojitokeza.

 

2. Pengine mgonjwa anaweza kuwa na homa.

Tunajua wazi kuwa kama kuna Maambukizi yoyote kwenye mwili usababisha homa ya mtu kupanda au kushuka kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi ya aina hii homa ya mwili upanda. Kwa hiyo mgonjwa anapotumia dawa za kutibu maambukizi anapaswa pia kutumia dawa za kushusha homa ili kuepuka matatizo mengine hasa kwa watoto kama vile degedege na kuishiwa damu kwa sababu ya joto la mwili kupanda.kwa hiyo tunapaswa kuwa makini kwenye ugonjwa huu wa Maambukizi kwenye mifupa.

 

3. Kushindwa kutembea kwa Mgonjwa.

Pengine kama Maambukizi yamekuwa makali mgonjwa ushindwa kutembea na pengine kuwa mlemavu kabisa, hali hii usababishwa na Maambukizi kwa sababu bakteria uharibifu mifupa na mifupa ushindwa kufanya kazi yake ya kila siku na baada mgonjwa hushindwa kutembea kabisa.kwa hiyo tunapaswa kutumia dawa mbalimbali za mifupa ili ziweze kusaidia kupunguza matatizo yanayoweza kujitokeza.

 

4.kuchechemea wakati wa kutembea.

Pengine mgonjwa mwenye tatizo la Maambukizi kwenye mifupa mara nyingi uonekane anachechemea wakati wa kutembea kwa sababu pengine ya maumivu anayekuwa nayo au wakati mwingine mgonjwa ubadilisha mwondoko na kutembea kusiko kwa kawaida na hali hii usababishwa na maumivu kwa sababu mgonjwa anatafuta jinsi ya kutembea inayofanya kupoteza maumivu.

 

5 . Kwa upande wa watoto utaona wanalia tu iwapo ukimshika sehemu yenye Maambukizi kwa sababu ya kuwepo kwa maumivu, kwa hiyo kwa upande wa watoto hasa wale ambao hawaongei tunapaswa kuwasikiliza ni wapi wanaumia ili tuweze kuwasaidia na kutibu mapema kwa sababu ugonjwa huu usipotibiwa mapema unaweza kusababisha madhara makubwa zaidi.





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1577


Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉4 Kitau cha Fiqh     👉5 Madrasa kiganjani     👉6 Simulizi za Hadithi Audio    

Post zifazofanana:-

Matibabu ya vidonda vya tumbo
Makala hii inakwenda kukufundisha kuhusu matibabu ya vidonda vyatumbo. Pia utajifunza kwa nini kunakuwa na vidonda vya tumbo sugu. Soma Zaidi...

Dalili za maambukizi kwenye milija(fallopian tube)
Post hii inahusu zaidi maambukizi kwenye milija (follapian tube) kwa kitaalamu huitwa salpingitis, ni maambukizi kwenye milija ambayo husababishwa na bakteria. Soma Zaidi...

Maumivu ya tumbo kitomvuni, sababu zake na dalili zake
Hapa utajifunza sababu za kuwepo na maumovu ya tumbe kitomvuni. Soma Zaidi...

NI WATU GANI WALIO HATARINI ZAIDI KUPATA UKIMWI?
Post hii itakwena kukufundisha kuhusu historia fupi ya Ukimwi na matibabu yake. Ni wapi wapo hatarini kupata maambukizi na ni kitu gani wafanye? Soma Zaidi...

vidonda vya tumbo, dalili zake, chanzo chake na tiba yake
Makala hii itakwenda kukupa elimu juu ya vidonda vya tumbo, nini hasa chanzo chake, vipi vinatokea ni zipi dalili zake, ni zipi njia za kujilinda dhidi ya vidonda vya tumbo. Pia tutaangalia matibabu ya kutibi vidonda vya tumbo. Soma Zaidi...

Hernia
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu ugonjwa wa hernia Soma Zaidi...

Dalili za kifua kikuu (tuberculosis)
Kifua kikuu ni ugonjwa sugu wa kuambukiza na anuwai ya magonjwa ya kiafya yanayosababishwa na Mycobacterium tuberculosis complex. Kwa binadamu sababu ya kawaida ni Mycobacterium tuberculosis. Soma Zaidi...

Dalilili za Ngozi kuwa kavu
Posti hii inazungumzia kuhusiana na Ngozi kuwa kavu si mbaya, lakini inaweza kusumbua na isipendeze, ikitengeneza mistari laini na Mikunjo. Soma Zaidi...

nahis miguu pamoja na mikono kuishiwa nguvu ni mgongo kuuma ni dalili za ugonjwa gan ?
mm nahis miguu pamoja na mikono kuishiwa nguvu ni mgongo kuuma ni dalili za ugonjwa gan ? Soma Zaidi...

Vidonda vya tumbo chanzo chake na dalili zake
Katika post hii utajifunz akuhusu vidonda vya tumbo na jinsi vinavyotokea. Utajifunza pia tahadhari anazopasa mtu achukuwe na vyakula salama anavyopaswa kula. Soma Zaidi...

NJIA ZA KUKABILIANA NA PRESHA YA KUSHUKA
1. Soma Zaidi...

Dalili za za kuwepo kwa maambukizi chini ya kitovu
Posti hii inahusu zaidi dalili za kuonyesha kuwa Kuna maambukizi kwenye kitovu hasa hasa chini ya kitovu. Soma Zaidi...