Dalili za Maambukizi kwenye mifupa

Posti hii inahusu zaidi dalili za Maambukizi kwenye mifupa, ni dalili ambazo ukionyesha kwa mtu mwenye Maambukizi kwenye mifupa.

Dalili za Maambukizi kwenye mifupa

1. Maumivu makali wakati wa kutembea.

Ni maumivu ambayo utokea kwa mtu ambaye ana Maambukizi kwenye mifupa, hali hii ya maumivu utokea kwa sababu bakteria wanakuwepo kwenye mifupa usababisha mashambulizi ambayo umfanya mtu kuumia pale anapotembea au pengine bakteria usababisha ute ute ambao upo kwenye mifupa kukauka kabisa na pengine mifupa kusagika na hivyo mtu akiwa anatembea uhisi maumivu makali. Kwa hiyo tunashauriwa kutumia dawa za maumivu ili kupunguza maumivu yanayojitokeza.

 

2. Pengine mgonjwa anaweza kuwa na homa.

Tunajua wazi kuwa kama kuna Maambukizi yoyote kwenye mwili usababisha homa ya mtu kupanda au kushuka kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi ya aina hii homa ya mwili upanda. Kwa hiyo mgonjwa anapotumia dawa za kutibu maambukizi anapaswa pia kutumia dawa za kushusha homa ili kuepuka matatizo mengine hasa kwa watoto kama vile degedege na kuishiwa damu kwa sababu ya joto la mwili kupanda.kwa hiyo tunapaswa kuwa makini kwenye ugonjwa huu wa Maambukizi kwenye mifupa.

 

3. Kushindwa kutembea kwa Mgonjwa.

Pengine kama Maambukizi yamekuwa makali mgonjwa ushindwa kutembea na pengine kuwa mlemavu kabisa, hali hii usababishwa na Maambukizi kwa sababu bakteria uharibifu mifupa na mifupa ushindwa kufanya kazi yake ya kila siku na baada mgonjwa hushindwa kutembea kabisa.kwa hiyo tunapaswa kutumia dawa mbalimbali za mifupa ili ziweze kusaidia kupunguza matatizo yanayoweza kujitokeza.

 

4.kuchechemea wakati wa kutembea.

Pengine mgonjwa mwenye tatizo la Maambukizi kwenye mifupa mara nyingi uonekane anachechemea wakati wa kutembea kwa sababu pengine ya maumivu anayekuwa nayo au wakati mwingine mgonjwa ubadilisha mwondoko na kutembea kusiko kwa kawaida na hali hii usababishwa na maumivu kwa sababu mgonjwa anatafuta jinsi ya kutembea inayofanya kupoteza maumivu.

 

5 . Kwa upande wa watoto utaona wanalia tu iwapo ukimshika sehemu yenye Maambukizi kwa sababu ya kuwepo kwa maumivu, kwa hiyo kwa upande wa watoto hasa wale ambao hawaongei tunapaswa kuwasikiliza ni wapi wanaumia ili tuweze kuwasaidia na kutibu mapema kwa sababu ugonjwa huu usipotibiwa mapema unaweza kusababisha madhara makubwa zaidi.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 1861

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
๐Ÿ‘‰1 Bongolite - Game zone - Play free game    ๐Ÿ‘‰2 Kitabu cha Afya    ๐Ÿ‘‰3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    ๐Ÿ‘‰4 Madrasa kiganjani    ๐Ÿ‘‰5 Kitau cha Fiqh    ๐Ÿ‘‰6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

Madhara ya utapia mlo (marasmus)

Utapiamlo Mkali sana (Marasmus) hufafanuliwa kama aina kali ya utapiamlo ambayo ina sifa ya kupoteza. Utapiamlo uliokithiri umeainishwa katika Utapiamlo Mkali sana (SAM) na Utapiamlo Uliokithiri wa Wastani (MAM), kulingana na kiwango cha kupoteza na kuw

Soma Zaidi...
Dalili za ugonjwa wa kaswende

Post hii inahusu zaidi dalili za ugonjwa wa kaswende kwa wajawazito, hizi ni dalili ambazo ujitokeza kwa watu wote, kwa sababu ugonjwa huu una dalili ambazo upitia kwa hatua mbalimbali kama tutakavyoona.

Soma Zaidi...
Dalili za kuvunjika kwa nyonga

Kuvunjika kwa nyonga ni jeraha kubwa, na matatizo ambayo yanaweza kuhatarisha maisha. Hatari ya kupasuka kwa nyonga huongezeka na umri.

Soma Zaidi...
Dalili za Ugonjwa wa kula kupindukia

Ugonjwa wa kula kupindukia ni ugonjwa mbaya wa ulaji ambapo mara kwa mara unatumia kiasi kikubwa cha chakula na kuhisi huwezi kuacha kula.

Soma Zaidi...
Je na kwa upande wa mwanaume kuumwa upande wa kushoto wa tumbo kuna shida gani?

Maumivu ya tumbo upande wa kushoti, kwa mwanamke huwenda ikawa ni ujauzito ama shida nyingine za kiafya kama tumbo kujaa gesi, kukosa choo na kadhalika. Sasa vipi kwa wanaume ni ipi hasa sababuรขยโ€

Soma Zaidi...
Sababu za kuwepo kwa saratani ya inni.

Posti hii inahusu zaidi sababu mbalimbali za kuwepo kwa saratani ya ini, saratani hii imekuwa tishio kwa wengi ila ni vizuri kujua baadhi ya sababu ambazo uchangia sana kuwepo kwa tatizo hili la saratani ya inni.

Soma Zaidi...
Maumivu ya tumbo kitovuni

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu maumivu ya tumbo kitovuni

Soma Zaidi...
Dalili za vidonda vya tumbo

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za vidonda vya tumbo

Soma Zaidi...
Fahamu Ugonjwa wa uti wa mgongo kwa watoto uitwao poliomyelitis

Poliomyelitis ni kuvimba kwa suala la kijivu la uti wa mgongo na wakati mwingine sehemu ya chini ya ubongo

Soma Zaidi...
Dalili za HIV na UKIMWI kwenye Ulimi na Mdomo

Dalili za HIV na UKIMWI kwenye mdomo na ulimi utaziomna hapa. hizi zinaweza kuwa ndio za kwanza kwa ambaye hajapima HIV

Soma Zaidi...