Posti hii inahusu zaidi dalili za Maambukizi kwenye mifupa, ni dalili ambazo ukionyesha kwa mtu mwenye Maambukizi kwenye mifupa.
Dalili za Maambukizi kwenye mifupa
1. Maumivu makali wakati wa kutembea.
Ni maumivu ambayo utokea kwa mtu ambaye ana Maambukizi kwenye mifupa, hali hii ya maumivu utokea kwa sababu bakteria wanakuwepo kwenye mifupa usababisha mashambulizi ambayo umfanya mtu kuumia pale anapotembea au pengine bakteria usababisha ute ute ambao upo kwenye mifupa kukauka kabisa na pengine mifupa kusagika na hivyo mtu akiwa anatembea uhisi maumivu makali. Kwa hiyo tunashauriwa kutumia dawa za maumivu ili kupunguza maumivu yanayojitokeza.
2. Pengine mgonjwa anaweza kuwa na homa.
Tunajua wazi kuwa kama kuna Maambukizi yoyote kwenye mwili usababisha homa ya mtu kupanda au kushuka kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi ya aina hii homa ya mwili upanda. Kwa hiyo mgonjwa anapotumia dawa za kutibu maambukizi anapaswa pia kutumia dawa za kushusha homa ili kuepuka matatizo mengine hasa kwa watoto kama vile degedege na kuishiwa damu kwa sababu ya joto la mwili kupanda.kwa hiyo tunapaswa kuwa makini kwenye ugonjwa huu wa Maambukizi kwenye mifupa.
3. Kushindwa kutembea kwa Mgonjwa.
Pengine kama Maambukizi yamekuwa makali mgonjwa ushindwa kutembea na pengine kuwa mlemavu kabisa, hali hii usababishwa na Maambukizi kwa sababu bakteria uharibifu mifupa na mifupa ushindwa kufanya kazi yake ya kila siku na baada mgonjwa hushindwa kutembea kabisa.kwa hiyo tunapaswa kutumia dawa mbalimbali za mifupa ili ziweze kusaidia kupunguza matatizo yanayoweza kujitokeza.
4.kuchechemea wakati wa kutembea.
Pengine mgonjwa mwenye tatizo la Maambukizi kwenye mifupa mara nyingi uonekane anachechemea wakati wa kutembea kwa sababu pengine ya maumivu anayekuwa nayo au wakati mwingine mgonjwa ubadilisha mwondoko na kutembea kusiko kwa kawaida na hali hii usababishwa na maumivu kwa sababu mgonjwa anatafuta jinsi ya kutembea inayofanya kupoteza maumivu.
5 . Kwa upande wa watoto utaona wanalia tu iwapo ukimshika sehemu yenye Maambukizi kwa sababu ya kuwepo kwa maumivu, kwa hiyo kwa upande wa watoto hasa wale ambao hawaongei tunapaswa kuwasikiliza ni wapi wanaumia ili tuweze kuwasaidia na kutibu mapema kwa sababu ugonjwa huu usipotibiwa mapema unaweza kusababisha madhara makubwa zaidi.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu sana kuhusu ugonjwa wa ebora. Ugonjwa huu usababishwa na virusi.Virusi hivyo husababisha kutokwa na damu nyingi mwilini kutokana na kupasuka kwa mishipa ya damu
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi namna ya kuzuia uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo,ni njia ambazo mtu anaweza kutumia Ili kuzuia uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo.zifuatazo ni njia zinazoweza kutumika kama mtu amepata uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dalili za kuonyesha kuwa Kuna maambukizi kwenye kitovu hasa hasa chini ya kitovu.
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na tatizo la damu kutokufikia tishu baada ya kutokea jeraha kwenye tishu ambao hujulikana Kama gangrene inahusu kifo cha tishu za mwili kutokana na ukosefu wa mtiririko wa damu au maambukizi ya bakteria. Ugonjwa wa gangre
Soma Zaidi...Shinikizo la juu la damu ni hali ya kawaida ambapo nguvu ya muda mrefu ya damu dhidi ya kuta za ateri yako ni kubwa vya kutosha hivi kwamba inaweza kusababisha matatizo ya kiafya, kama vileΓΒ Ugonjwa wa Moyo.
Soma Zaidi...postii hii inazungumzia dalilili za Mtoto mwenye Kuhara. Kuhara maana yake ni kutokwa na kinyesi chenye maji matatu au zaidi, pamoja na au bila damu ndani ya masaa 24. Kuhara kunaweza kusababishwa na maambukizo ya bakteria na virusi, ugonjwa wa matumb
Soma Zaidi...Mngurumo wa moyo ni sauti wakati wa mzunguko wa mapigo ya moyo wako kama vile kutetemeka inayotolewa na damu yenye msukosuko ndani au karibu na moyo wako. Sauti hizi zinaweza kusikika na kifaa kinachojulikana kama stethoscope. Mapigo ya moyo ya kawaida
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu za wanawake kuwa na maumivu kwenye viungo, ni ugonjwa unaowapata na wanaume ila kwa wanaweza unaowapata sana ukilinganisha na wanaume.
Soma Zaidi...joto la mwili wako linapungua, moyo wako, mfumo wa neva na viungo vingine haviwezi kufanya kazi kwa kawaida. Isipopotibiwa, Hypothermia hatimaye inaweza kusababisha moyo wako na mfumo wa upumuaji kushindwa kabisa na hata kifo.
Soma Zaidi...Hapa utajifunza muda mabao dalili za VVU na UKIMWI huonekana, na kwa muda gani mgonjwa ataishi na UKIMWI bila ya kutumia ARV
Soma Zaidi...