Dalili za Maambukizi kwenye mifupa


image


Posti hii inahusu zaidi dalili za Maambukizi kwenye mifupa, ni dalili ambazo ukionyesha kwa mtu mwenye Maambukizi kwenye mifupa.


Dalili za Maambukizi kwenye mifupa

1. Maumivu makali wakati wa kutembea.

Ni maumivu ambayo utokea kwa mtu ambaye ana Maambukizi kwenye mifupa, hali hii ya maumivu utokea kwa sababu bakteria wanakuwepo kwenye mifupa usababisha mashambulizi ambayo umfanya mtu kuumia pale anapotembea au pengine bakteria usababisha ute ute ambao upo kwenye mifupa kukauka kabisa na pengine mifupa kusagika na hivyo mtu akiwa anatembea uhisi maumivu makali. Kwa hiyo tunashauriwa kutumia dawa za maumivu ili kupunguza maumivu yanayojitokeza.

 

2. Pengine mgonjwa anaweza kuwa na homa.

Tunajua wazi kuwa kama kuna Maambukizi yoyote kwenye mwili usababisha homa ya mtu kupanda au kushuka kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi ya aina hii homa ya mwili upanda. Kwa hiyo mgonjwa anapotumia dawa za kutibu maambukizi anapaswa pia kutumia dawa za kushusha homa ili kuepuka matatizo mengine hasa kwa watoto kama vile degedege na kuishiwa damu kwa sababu ya joto la mwili kupanda.kwa hiyo tunapaswa kuwa makini kwenye ugonjwa huu wa Maambukizi kwenye mifupa.

 

3. Kushindwa kutembea kwa Mgonjwa.

Pengine kama Maambukizi yamekuwa makali mgonjwa ushindwa kutembea na pengine kuwa mlemavu kabisa, hali hii usababishwa na Maambukizi kwa sababu bakteria uharibifu mifupa na mifupa ushindwa kufanya kazi yake ya kila siku na baada mgonjwa hushindwa kutembea kabisa.kwa hiyo tunapaswa kutumia dawa mbalimbali za mifupa ili ziweze kusaidia kupunguza matatizo yanayoweza kujitokeza.

 

4.kuchechemea wakati wa kutembea.

Pengine mgonjwa mwenye tatizo la Maambukizi kwenye mifupa mara nyingi uonekane anachechemea wakati wa kutembea kwa sababu pengine ya maumivu anayekuwa nayo au wakati mwingine mgonjwa ubadilisha mwondoko na kutembea kusiko kwa kawaida na hali hii usababishwa na maumivu kwa sababu mgonjwa anatafuta jinsi ya kutembea inayofanya kupoteza maumivu.

 

5 . Kwa upande wa watoto utaona wanalia tu iwapo ukimshika sehemu yenye Maambukizi kwa sababu ya kuwepo kwa maumivu, kwa hiyo kwa upande wa watoto hasa wale ambao hawaongei tunapaswa kuwasikiliza ni wapi wanaumia ili tuweze kuwasaidia na kutibu mapema kwa sababu ugonjwa huu usipotibiwa mapema unaweza kusababisha madhara makubwa zaidi.



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Jifunze Fiqh       ðŸ‘‰    2 Madrasa kiganjani offline       ðŸ‘‰    3 Download App zetu hapa ujifunze zaidi       ðŸ‘‰    4 Tunakukaribisha kwenye Maktaba yetu    


Je una maswali, maoni ama ushauri, tutumie sms ✉ bofya hapa hapa, ama wasiliana nasi kwa WhatsApp bofya hapa



Post Nyingine


image Dalili za mwanzo za HIV/UKIMWI
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za mwanzo za HIV/UKIMWI Soma Zaidi...

image Madhara ya gonorrhea endapo haitotibiwa
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu madhara ya gonorrhea endapo haitotibiwa Soma Zaidi...

image Faida na hasara za Kufunga kizazi kwa wanawake.
Posti hii inazungumzia kuhusiana na Kufunga kizazi kwa wanawake. Soma Zaidi...

image Utaratibu wa lishe kwa wazee
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu utaratibu wa lishe kwa wazee Soma Zaidi...

image Huwezi kuambukizwa Ukimwi kwa mambo yafuatayo
Posti hii inahusu zaidi au inapinga Imani potofu ambayo utokea kwenye jamii kwamba unaweza kuambukizwa Ukimwi kwa vitu ambavyo haviusiani na namna mtu anavyoweza kuambukizwa Ukimwi,Ila mapendekezo kuwa watu wanapaswa kujua kuwa huwezi kuambukizwa Ukimwi kwa njia zifuatazo. Soma Zaidi...

image Fahamu Ugonjwa wa kipindupindu.
Kipindupindu ni ugonjwa wa bakteria ambao kawaida huenezwa kupitia maji machafu. Kipindupindu husababisha Kuhara na Upungufu wa maji mwilini. Soma Zaidi...

image Vyakula na ugonjwa wa kisukari
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu baadhi ya vyakula vimpasavyo mgonjwa wa kisukari Soma Zaidi...

image Jinsi ya kuepuka minyoo
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kuiepuka minyoo Soma Zaidi...

image Dawa ya UTI
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa ya UTI Soma Zaidi...

image Maumivu ya tumbo kitovuni
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu maumivu ya tumbo kitovuni Soma Zaidi...