picha

Maana ya uislamu.

Kwenye kipengele hichi titajifunza maana ya uislamu,na maana nyingine tofauti.

Al-Islam - ni jina la Dini ya Allah (s.w) lenye maana zifuatazo:

  1. Mwenendo mwema au kujisalimisha moja kwa moja au kutii kwa unyenyekevu sheria, maagizo au maamrisho ya Muumba.

 

- Uislamu ni utaratibu wa maisha unaofuata bara bara mwongozo wa Allah (s.w)  na Sunnah ya Mitume wake.

Rejea Qur’an (3:83), (30:30).

 

2.Ni neno lenye maana ya ‘salama’ kwa maana ya amani.

-  Uislamu ni dini ya amani.

-  Ni utaratibu wa maisha unaoendeshwa kwa kujisalimisha kwa Allah (s.w) kwa kufuata kikamilifu sheria zake.

 

-  Ni utaratibu (mfumo) pekee ndio unaoweza kuleta furaha na amani ya kweli kwa maisha ya binfsi ya kijamii pia.

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Tawhid Main: Post File: Download PDF Views 3600

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 ai web app     👉2 Simulizi za Hadithi Audio     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 Dua za Mitume na Manabii     👉5 web hosting     👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    

Post zinazofanana:

Mgawanyo wa Elimu Usiokubalika katika uislamu.

Kipengele hichi kinahusu mgawanyiko wa elimu usiokubalika katika uislamu.sababu za mgawanyiko wa elimu udio sahihi katika uislamu.

Soma Zaidi...
Maana ya Elimu katika uislamu na nani aliye elimika?

Hili ni swali kutoka katika maarifa ya elimu ya dini ya kiislamu kidato cha kwanza (EDK FORM 1)

Soma Zaidi...
Dhana ya ibada kwa mtazamo wa uislamu..

Mtazamo wa uislamu juu ya ibada (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
Udhaifu wa mtazamo wa makafiri juu ya dini dhidi ya mtazamo wa uislamu

Somo Hili linaeleza kuhusu mtazamo wa uislamu juu ya dini (EDK form2: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
Kujiepusha na kula mali ya Yatima

Waumini wanawajibika kuwatunzia mayatima mali zao na kuwakabidhi wanapofikia baleghe yao baada ya kuwajaribu na kuthibitisha kuwa wanao uwezo wa kutunza mali zao - Rejea Qur-an (4:5-6).

Soma Zaidi...
Nafasi ya Elimu katika uislamu

Elimu imepewa kipaumbele kikubwa kwenye uislamu. Post hii inakwenda kukufundisha kuhusu nafasi ya Elimu katika uislamu.

Soma Zaidi...