Kwenye kipengele hichi titajifunza maana ya uislamu,na maana nyingine tofauti.
Al-Islam - ni jina la Dini ya Allah (s.w) lenye maana zifuatazo:
- Uislamu ni utaratibu wa maisha unaofuata bara bara mwongozo wa Allah (s.w) na Sunnah ya Mitume wake.
Rejea Qur’an (3:83), (30:30).
2.Ni neno lenye maana ya ‘salama’ kwa maana ya amani.
- Uislamu ni dini ya amani.
- Ni utaratibu wa maisha unaoendeshwa kwa kujisalimisha kwa Allah (s.w) kwa kufuata kikamilifu sheria zake.
- Ni utaratibu (mfumo) pekee ndio unaoweza kuleta furaha na amani ya kweli kwa maisha ya binfsi ya kijamii pia.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Hawamuogopi au kumtegemea yeyote kinyume na Mwenyezi Mungu.
Soma Zaidi...(i) Kutiishiwa Upepo Qur'an inatufahamisha kuwa Nabii Sulaiman alitiishiwa upepo akaweza kuutumia apendavyo kwa amri yake.
Soma Zaidi...Nguzo za imani (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Elimu imepewa nafasi kubwa sana katika uislamu.
Soma Zaidi...Mitume wameletwa kuwa Waalimu na viongozi wa kuwafundisha watu Uislamu na kuwaelekeza kuusimamisha Uislamu katika jamii kinadharia na kimatendo kama tunavyojifunza katika Qur-an:“Kwa hakika Tuliwapeleka Mitume wetu kwa dalili wazi wazi na Tukavitere..
Soma Zaidi...