Kwenye kipengele hichi titajifunza maana ya uislamu,na maana nyingine tofauti.
Al-Islam - ni jina la Dini ya Allah (s.w) lenye maana zifuatazo:
- Uislamu ni utaratibu wa maisha unaofuata bara bara mwongozo wa Allah (s.w) na Sunnah ya Mitume wake.
Rejea Qur’an (3:83), (30:30).
2.Ni neno lenye maana ya ‘salama’ kwa maana ya amani.
- Uislamu ni dini ya amani.
- Ni utaratibu wa maisha unaoendeshwa kwa kujisalimisha kwa Allah (s.w) kwa kufuata kikamilifu sheria zake.
- Ni utaratibu (mfumo) pekee ndio unaoweza kuleta furaha na amani ya kweli kwa maisha ya binfsi ya kijamii pia.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiw ana App yetu. Bofya liln hapo chini kuweza ku download
Download NowJe! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: Tawhid Main: Post File: Download PDF Share On Facebook or Whatsapp Views 2445
Sponsored links
👉1
Kitabu cha Afya
👉2
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
👉3
Simulizi za Hadithi Audio
👉4
kitabu cha Simulizi
👉5
Kitau cha Fiqh
👉6
Madrasa kiganjani
Nafasi ya Elimu katika uislamu
Je ni ipi nafasi ya Elimukatika dini ya uislamu? Soma Zaidi...
Mtazamo wa uislamu juu ya dini
Kwenye kipengele hichi tutajifunza mitazamo ya kikafiri juu ya dini. Soma Zaidi...
Shahada mbili
Kwenye mada hii tutajifunza shahada mbili,tafsiri ya shahada kstika maisha ya kila siku. Soma Zaidi...
Mgawanyo sahihi wa elimu kwa mtazamo wa uislamu
Ni upi mgawanyo sahihi wa elimu katika uislamu? Nini naana ya elimu ya muongizo. Je elimu ya mazingiravmaana yakeni nini. Ni upi utofauti wa elimu ya muongozo na elimu ya mazingira? Soma Zaidi...
Ni ipi maana ya Imani katika Uislamu, na ni zipi sifa za muumini.
Katika Uislamu imani inanguzo kuu 6.Pia muumini anatakiwa ajipambe na sifa za waumini. Posti hii itakufundisha kuhusu imani katika Uislamu. Soma Zaidi...
njia ya maandishi
Soma Zaidi...
Nafasi ya akili katika kumtambua Allah
Kwa kutumia akili yako unaweza kumtambua Allah bila ya shaka yeyote ile. Postbhii itakufundisha nafasi ya akilonkatika kutambuwa uwepo na Uwezo wa Allah. Soma Zaidi...
mwanadamu hawezi kuishi bila ya Dini
Soma Zaidi...
Kumuamini malaika wa mwenyezi Mungu...
Nguzo za imani (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...
Maadili katika surat luqman
Soma Zaidi...