Kwenye kipengele hichi titajifunza maana ya uislamu,na maana nyingine tofauti.
Al-Islam - ni jina la Dini ya Allah (s.w) lenye maana zifuatazo:
- Uislamu ni utaratibu wa maisha unaofuata bara bara mwongozo wa Allah (s.w) na Sunnah ya Mitume wake.
Rejea Qur’an (3:83), (30:30).
2.Ni neno lenye maana ya ‘salama’ kwa maana ya amani.
- Uislamu ni dini ya amani.
- Ni utaratibu wa maisha unaoendeshwa kwa kujisalimisha kwa Allah (s.w) kwa kufuata kikamilifu sheria zake.
- Ni utaratibu (mfumo) pekee ndio unaoweza kuleta furaha na amani ya kweli kwa maisha ya binfsi ya kijamii pia.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Ni upi mgawanyo sahihi wa elimu katika uislamu? Nini naana ya elimu ya muongizo. Je elimu ya mazingiravmaana yakeni nini. Ni upi utofauti wa elimu ya muongozo na elimu ya mazingira?
Soma Zaidi...Katika Uislamu elimu imegawanyika katika Elimu ya muongozo na elimu ya mazingira.
Soma Zaidi...عَنْ عُمَرَ رَضِيَ اللهُ عَنْهُ أَيْضًا قَالَ: " بَيْنَمَا نَحْنُ جُلُوسٌ عِنْدَ رَسُولِ اللَّهِ صلى الله عليه و سلم ذَاتَ يَوْمٍ، إذْ ?...
Soma Zaidi...Si zinaa tu iliyoharamishwa bali hata yale yote yanayotengeneza mazingira na kuchochea kufanyika kwa zinaa nayo pia yameharamishwa.
Soma Zaidi...Haki ya ElimuKatika Uislamu kujielimisha ni faradhi inayowahusu Waislamu wote, wanaume na wanawake: "Soma kwa jina ?
Soma Zaidi...Waumini wa kweli wa Mitume wa Allah (s.
Soma Zaidi...