Kwenye kipengele hichi titajifunza maana ya uislamu,na maana nyingine tofauti.
Al-Islam - ni jina la Dini ya Allah (s.w) lenye maana zifuatazo:
- Uislamu ni utaratibu wa maisha unaofuata bara bara mwongozo wa Allah (s.w) na Sunnah ya Mitume wake.
Rejea Qur’an (3:83), (30:30).
2.Ni neno lenye maana ya ‘salama’ kwa maana ya amani.
- Uislamu ni dini ya amani.
- Ni utaratibu wa maisha unaoendeshwa kwa kujisalimisha kwa Allah (s.w) kwa kufuata kikamilifu sheria zake.
- Ni utaratibu (mfumo) pekee ndio unaoweza kuleta furaha na amani ya kweli kwa maisha ya binfsi ya kijamii pia.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowJe umeipenda post hii ?
Haki ya ElimuKatika Uislamu kujielimisha ni faradhi inayowahusu Waislamu wote, wanaume na wanawake: "Soma kwa jina ?
Soma Zaidi...Kwa nini katika uislamu elimu imepewa nafasi ya kwanza ( EDK form 1 Dahana ya elimu)
Soma Zaidi...Nguzo za Imani (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...