Ni mambo gani haramu kwa mtu asiyekuwa na udhu?

Ni mambo gani haramu kwa mtu asiyekuwa na udhu?

Yaliyoharamishwa kwa as iye na udhu



Mtu asiye na udhu haruhusiwi kufanya yafuatayo:
1. Kuswali.
2. Kutufu.



Mtu asiye na udhu anaruhusiwa kuchukua msahafu (Qur-an) na kusoma. Kama tunavyojifunza katika hadith ifuatayo:


Ally (r.a) amesimulia: Mtume (s.a.w) alikuwa akitoka chooni kisha akatusomea Qur-an na hakuna chochote kilichomzuia kusoma Qur-an ila alipokuwa na janaba ”. (Abuu Daud, Nisai, Ibn Majah)




                   


Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Fiqh Main: Dini File: Download PDF Views 1240

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
πŸ‘‰1 Kitau cha Fiqh    πŸ‘‰2 Madrasa kiganjani    πŸ‘‰3 Simulizi za Hadithi Audio    πŸ‘‰4 kitabu cha Simulizi    πŸ‘‰5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    πŸ‘‰6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

Miiko au Mambo yanayoharibu/kubatilisha funga

Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
Zijuwe funga za kafara na jinsi ya kuzigunga

Post hii itakufundisha kuhusu funga za kafara, zinavyotokea na na jinsi ya kuzifunga.

Soma Zaidi...
Namna ya kutawadha hatuwa kwa hatuwa.

Post hii inakwenda kukugundisha jinsi ya kutawadha hatuwa kwa hatuwa.

Soma Zaidi...
Hatua za kinga za ugumba na Utasa.

Ugumba ni Ò€œugonjwa wa mfumo wa uzazi unaofafanuliwa kwa kushindwa kupata ujauzito baada ya miezi 12 au zaidi ya kujamiiana bila kinga mara kwa mara. Utasa  kutoweza kwa kiumbe hai kufanya uzazi wa ngono au kutoweza kupata mimba au kuchangia mimba.

Soma Zaidi...