Mafungu ya urithi yaliyotajwa katika haya sita yafutayo:1.
Mafungu ya urithi yaliyotajwa katika haya sita yafutayo:
1.Nusu (1/2)
        2.Robo (1/4)
        3.Thuluthi. (1/3)
        4.Thuluthi mbili (2/3) 5.Sudusi. (1/6)
        6.Thumuni (1/8)
Mwenye kupewa mafungu
Katika warithi kuna wenye kupata mafungu maalum katika hayo mafungu sita; na kuna wasiokuwa na mafungu maalum ambao hupata kilichobakia baada ya wenye mafungu kuchukua mafungu yao au kupata mali yote ikiwa hapana wenye mafungu. Wasio na mafungu huitwa asaba.
        Wenye mafungu maalum katika urithi ni watu kumi na na mbili (12) wafuatao:
        I .Baba.
        2.Babu.
        3.Binti. 4.Binti wa mtoto mwanamume (mjukuu).
        5.Ndugu wa kwa mama.
        6. Dada wa kwa baba na mama.
        7.Dada wa kwa baba.
        8.Dada wa kwa mama.
        9.Mama.
        1O.Bibi.
        11.Mume.
        12. Mke.
Umeionaje Makala hii.. ?
Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Nguzo za uislamu,umuhimu na msisitizowa zakat na sadaqat katika uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Mambo ya faradh kwa maiti ya muislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukufundisha kuhusu swala ya Istikhara
Soma Zaidi...Post hii itakufundisha kuhusu swala ya kupatwa yaani kupatwa kwa juwa na kupatwa kwa mwezi swalat kusuf na swalat khusuf
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukufundisha kuhusu swala ya jamaa na taratibu zake.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza maana ya twahara katika uislamu. Pia utakwenda kujifunza hukumu za twahara, aina za twahara na mambo mengineyo
Soma Zaidi...