Sifa za uchumi wa kiislamu na njia halali za uchumi na umiliki mali katika uislamu

Sifa za uchumi wa kiislamu na njia halali za uchumi na umiliki mali katika uislamu

Sifa za uchumi wa kiislamu na njia halali za uchumi na umiliki mali katika uislamu

Uchumi Katika Uislamu

Maana ya Uchumi

- Ni uzalishaji, usambazaji na utumiaji wa mali, rasilimali na huduma mbalimbali katika jamii ili kujenga mahusiano kati ya binaadamu na Allah (s.w).


Sifa za Uchumi wa Kiislamu

1. Dhana ya mafanikio

Huzingatia hatima yake ambayo ni kupata radhi za Allah (s.w) pekee.


2. Dhana ya umilikaji mali

Mmiliki hakika wa pekee wa mali na rasilimali zote ni Allah (s.w).


3. Dhana ya bidhaa

Ni kitu kilicho safi, kizuri, twahara, halali, n.k.



4. Dhana ya matumizi

Haifai kufuja au kutumia mali au rasilimali kwa njia za haramu.



5. Mizani ya wakati katika kutumia

Ni kujiuliza, nini matokeo ya mali au rasilimali hiyo baada ya muda fulani?


Njia na Misingi ya Uchumi Halali Katika Uislamu

i. Pasiwe na udanganyifu wowote katika uuzaji na ununuzi wa bidhaa au mali.

Rejea Qurโ€™an (17:35), (26:181-183), (83:1-4)



ii. Pasiwe na viapo katika kuuza au kununua bidha, kwani ni miongoni mwa kuuza kwa ujanja-ujanja.
Abu Qatada ameeleza kuwa Mtume wa Allah amesema:

โ€œKuwa mwangalifu na viapo vingi katika uuzaji, kwa sababu japo

kunarahisisha uuzaji, kuna punguza barakaโ€ (Muslim).



iii. Pawe na uhuru kamili kwa mnunuzi kuikataa au kuikubali bidhaa baada ya kuiangalia.
iv. Bidhaa yenyewe iwe halali na iwe imechumwa kwa misingi ya halali pia.

v. Kuwepo na maelewano kati ya muuzaji na mnunuzi bila masharti. Dosari yeyote ya bidhaa ijulikane kabla ya manunuzi kufanyika.
vi. Muuzaji awe na uhuru wa kuuza bidhaa yake kwa bei yenye maslahi kwake na isiwe ya kumnyonya mnunuzi.



                   

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea


Je umeipenda post hii ?

Ndio            Hapana            Save post
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Fiqh Main: Dini File: Download PDF Views 1388

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
๐Ÿ‘‰1 Simulizi za Hadithi Audio    ๐Ÿ‘‰2 Madrasa kiganjani    ๐Ÿ‘‰3 Kitau cha Fiqh    ๐Ÿ‘‰4 Kitabu cha Afya    ๐Ÿ‘‰5 kitabu cha Simulizi    ๐Ÿ‘‰6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

Maana ya uadilifu na usawa na tofauti zao

Posti hii itakwenda kukufunza utofauti kati ya uadilifu na usawa

Soma Zaidi...
Nguzo za swala ya maiti

Mambo ya faradh kwa maiti ya muislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
Kutoa vilivyo halali

Nguzo za uislamu (EDK form 2:dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
JIFUNZE FIQH

Fahamu darsa mbalimbali za fiqh kama swala, twahara, zaka pamoja na funga. Zijuwe sharti za swala, funga na zaka.

Soma Zaidi...
Kuenea kwa dhana ya udhibiti uzazi na uzazi wa mpango

Kustawi kwa Kampeni ya Kudhibiti UzaziMiongoni mwa sababu zilizosaidia kustawi kwa kampeni hii ni matokeo ya mapinduzi ya viwanda (Industrial revolution) ya huko Ulaya.

Soma Zaidi...
Sera ya uchumi katika uislamu

Hapa utajifunza sera za kiuchumi katika uchumi wa kiislamu. Hapa utajifunza sera kuu tatu za uchumi wa kiislamu.

Soma Zaidi...