Hawa ndio wanaoruhusiwa kurithi

Hii ni orodha ya watu ambao wanaweza kurithi malibya marehrmu.

Wanaume wenye kurithi ni kumi na tano (15)

 

I .Mtoto mwanamume.
2.Mtoto mwanamume wa mtoto mwanamume (mjukuu).
3. Baba.
4.Babu wa kwa baba.
5.Ndugu mwanamume wa kwa baba na mama.6.Ndugu mwanamume wa kwa baba tu.
7.Ndugu mwanamume wa kwa mama tu.
8.Mtoto mwanamume wa kwa ndugu mwanamume wa kwa baba na mama.
9.Mtoto mwanamume wa ndugu mwanamume wa kwa baba tu.
I 0.Ami (baba mdogo) wa kwa baba na mama (ndugu yake baba na mama).
11.Ami wa kwa baba tu.
12. Mtoto mwanamume wa Ami wa kwa baba na mama.
13.Kijana mwanamume waAmi wa kwa baba.
14.Mume.
15.Bwana mwenye kumwacha mtumwa huru.

 


Wanawake wenye kurithi ni kumi (10)
1.Binti (mtoto wa kike).
2.Binti wa mtoto mwanamume (mjukuu).
3.Mama.
4.Dada wa kwa baba na mama.
5.Dada wa kwa baba.
6.Dada wa kwa mama. 7.Bibi mzaa baba.
8.Bibi mzaa mama.
9. Mke.
10.Bibi mwenye kuacha mtumwa huru.

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Fiqh Main: Dini File: Download PDF Views 1322

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

Kuenea kwa dhana ya udhibiti uzazi na uzazi wa mpango

Kustawi kwa Kampeni ya Kudhibiti UzaziMiongoni mwa sababu zilizosaidia kustawi kwa kampeni hii ni matokeo ya mapinduzi ya viwanda (Industrial revolution) ya huko Ulaya.

Soma Zaidi...
Wanaostahiki kupewa zakat

Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
Maana ya Funga ya ramadhani kisheria na Aina za funga

Amesema mtume (s.a.w) kuwa Allah (s.w) amesema: kila amali ya mwanaadamu ni kwa ajili yake isipokuwa funga.

Soma Zaidi...
Zijuwe aina kuu 6 za talaka katika uislamu

Talaka zimegawanyika katika makundi mengi. Katika somo hili utakwenda kukifunza aina kuu za talaka katika uislamu.

Soma Zaidi...
Faida za funga

Nguzo za uislamu (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
Njia za kudhibiti riba

Ufumbuzi wa tatizo la ribaRiba imeenea na kuzoeleka duniani kwa kiasi ambacho watu wengi wanadhani kuwa bila riba hakuna shughuli yoyote ya uchumi inayowezekana.

Soma Zaidi...