Hii ni orodha ya watu ambao wanaweza kurithi malibya marehrmu.
Wanaume wenye kurithi ni kumi na tano (15)
I .Mtoto mwanamume.
2.Mtoto mwanamume wa mtoto mwanamume (mjukuu).
3. Baba.
4.Babu wa kwa baba.
5.Ndugu mwanamume wa kwa baba na mama.6.Ndugu mwanamume wa kwa baba tu.
7.Ndugu mwanamume wa kwa mama tu.
8.Mtoto mwanamume wa kwa ndugu mwanamume wa kwa baba na mama.
9.Mtoto mwanamume wa ndugu mwanamume wa kwa baba tu.
I 0.Ami (baba mdogo) wa kwa baba na mama (ndugu yake baba na mama).
11.Ami wa kwa baba tu.
12. Mtoto mwanamume wa Ami wa kwa baba na mama.
13.Kijana mwanamume waAmi wa kwa baba.
14.Mume.
15.Bwana mwenye kumwacha mtumwa huru.
Wanawake wenye kurithi ni kumi (10)
1.Binti (mtoto wa kike).
2.Binti wa mtoto mwanamume (mjukuu).
3.Mama.
4.Dada wa kwa baba na mama.
5.Dada wa kwa baba.
6.Dada wa kwa mama. 7.Bibi mzaa baba.
8.Bibi mzaa mama.
9. Mke.
10.Bibi mwenye kuacha mtumwa huru.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
- Riba ni kipato chochote kile cha ziada kutokana na mkopo au mtaji bila kushiriki katika faida au hasara.
Soma Zaidi...Endapo mke na mume wameachana na hali ya kuwa mke ana watoto wachanga. Je uislamu unasemaje kuhusu taratibu za malezi?
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukufundisha jinsi ya kuoga josho kisheria.
Soma Zaidi...Hapa nitakujulisha kuhusu swala ya kuomba mvia, na taratibu za kuiswali.
Soma Zaidi...Post hii itakufundisha taratibu za kuzika maiti wa kiislamu hatuwa kwa hatuwa.
Soma Zaidi...Mambo ya faradh kwa maiti ya muislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...