picha

Muundo wa Dola ya Kiislamu

Muundo wa Dola ya Kiislamu

Muundo wa Dola ya Kiislamu

- Dola ni fani ya sayansi ya siasa yenye mamlaka ya juu ya kuamuru, kuongoza na kudhibiti vyote vilivyo ndani ya mipaka ya eneo, nchi yake.
- Serikali ndiyo taasisi kuu katika Dola ya Kiislamu yenye mgawanyo wa sehemu kuu tatu;



1. Bunge (Shura)

- Kutafsiri na kuweka utekelezaji wa sheria kutokana na Qur’an na

Sunnah.

- Kuainisha na kuidhinisha sheria, tafsiri au fat-wa mbali mbali kutokana na Ijma’a na Qiyaas.
- Kutoa fat-wa au hukumu za kidharura kutokana na hali ya siasa, uchumi, n.k.


2. Urasimu – Uulil’Amr (Adminstration)

- Ni wasimamizi wanaotakiwa kutiiwa katika utekelezaji wa maamrisho na makatazo mbali mbali ya Allah (s.w).
- Kuandaa jamii kupokea na kuyafanyia kazi maamrisho na makatazo yote ya Allah (s.w).
Rejea Qur’an (26:151-152)



3. Mahakama

- Kufafanua, kusimamia na kuhakikisha hukumu na sheria za Allah (s.w) zinatekelezwa ili kulinda haki, uadilifu na kuondoa uovu katika jamii. Rejea Qur’an (5:45-50)


? Uraia Katika Dola ya Kiislamu

- Kuna raia wa aina mbili

i. Waislamu – wote wazawa na wa kuhamia bila kuja tofauti za rangi, taifa,

n.k. wote ni ndugu wa moja. Qur’an (49:10), (8:72).

ii. Dhimmi – wananchi wote wasiokuwa waislamu katika Dola ya Kiislamu watakubaliwa tu iwapo watatii maamrisho ya Dola.




Msonge wa Uongozi Katika Dola ya Kiislamu

Msonge wa Uongozi Katika jamii ya

Kiislamu. Msonge wa Uongozi wa Dola ya Kiislamu

wakati wa Mtume (s.a.w)
1. Allah (s.w) – Qur’an 1. Allah (s.w)


2. Mtume (s.a.w) – Sunnah 2. Mtume Muhammad (s.a.w)
3. Majlis Shura – Bunge 3. Shura – (Sekretariati ya Mtume)
4. Viongozi wa ngazi mbali mbali 4. Viongozi wa Mikoa na wengine
5. Umma wa dola ya Kiislamu 5. Umma (Waislamu na wasio waislamu)




Sifa za Viongozi wa Kiislamu

i. Mjuzi wa Qur’an na Sunnah na kitengo cha anachoongoza.

ii. Mcha – Mungu

iii. Mwenye tabia njema

iv. Mwenye kujipamba na vipengele vya tabia njema. v. Mwenye afya au siha nzuri
vi. Aliyebaleghe.





                   

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2018-08-01 Topic: Fiqh Main: Dini File: Download PDF Views 2860

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 web hosting    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉6 Dua za Mitume na Manabii   

Post zinazofanana:

Nini maana ya kusimamisha swala?

Je kusimamisha swala kuna maana gani kwenye uislamu?

Soma Zaidi...
Mali zinazojuzu kutolewa zaka, nisaab yake na viwango vyake

Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
Funga za Sunnah na umuhimu wake

Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
Jinsi ya kutwaharisha Aina mbalimbali za Najisi katika uislamu

Katika somo hili utakwedna kujifunza jinsi ya kutwaharisha aina mbalimbali za najisi kwa mujibu wa mafundiso ya Mtume Muhammad (s.a.w)

Soma Zaidi...
Zoezi la 6 kusimamisha swala

Zoezi hili linamaswali mbalimbali kuhusiana na swala na masharti ya swala.

Soma Zaidi...
Kutoa zakat

Nguzo za uislamu (EDK form 3:dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
Swala ya jamaa.

Kipengele hiki tutajifunza kusimamisha swala ya jamaa,swala za ijumaa.

Soma Zaidi...
Nafasi ya serikali katika ugawaji

Serikali ina nafasi katika kufanya mgawanyiko katika uchumi.

Soma Zaidi...
Mifano na namna ya kurithisha

Ugawaji wa mirathi-Mume ana nusu (1/2) = 1/2 -Mama ana sudusi.

Soma Zaidi...