picha

Muundo wa Dola ya Kiislamu

Muundo wa Dola ya Kiislamu

Muundo wa Dola ya Kiislamu

- Dola ni fani ya sayansi ya siasa yenye mamlaka ya juu ya kuamuru, kuongoza na kudhibiti vyote vilivyo ndani ya mipaka ya eneo, nchi yake.
- Serikali ndiyo taasisi kuu katika Dola ya Kiislamu yenye mgawanyo wa sehemu kuu tatu;



1. Bunge (Shura)

- Kutafsiri na kuweka utekelezaji wa sheria kutokana na Qur’an na

Sunnah.

- Kuainisha na kuidhinisha sheria, tafsiri au fat-wa mbali mbali kutokana na Ijma’a na Qiyaas.
- Kutoa fat-wa au hukumu za kidharura kutokana na hali ya siasa, uchumi, n.k.


2. Urasimu – Uulil’Amr (Adminstration)

- Ni wasimamizi wanaotakiwa kutiiwa katika utekelezaji wa maamrisho na makatazo mbali mbali ya Allah (s.w).
- Kuandaa jamii kupokea na kuyafanyia kazi maamrisho na makatazo yote ya Allah (s.w).
Rejea Qur’an (26:151-152)



3. Mahakama

- Kufafanua, kusimamia na kuhakikisha hukumu na sheria za Allah (s.w) zinatekelezwa ili kulinda haki, uadilifu na kuondoa uovu katika jamii. Rejea Qur’an (5:45-50)


? Uraia Katika Dola ya Kiislamu

- Kuna raia wa aina mbili

i. Waislamu – wote wazawa na wa kuhamia bila kuja tofauti za rangi, taifa,

n.k. wote ni ndugu wa moja. Qur’an (49:10), (8:72).

ii. Dhimmi – wananchi wote wasiokuwa waislamu katika Dola ya Kiislamu watakubaliwa tu iwapo watatii maamrisho ya Dola.




Msonge wa Uongozi Katika Dola ya Kiislamu

Msonge wa Uongozi Katika jamii ya

Kiislamu. Msonge wa Uongozi wa Dola ya Kiislamu

wakati wa Mtume (s.a.w)
1. Allah (s.w) – Qur’an 1. Allah (s.w)


2. Mtume (s.a.w) – Sunnah 2. Mtume Muhammad (s.a.w)
3. Majlis Shura – Bunge 3. Shura – (Sekretariati ya Mtume)
4. Viongozi wa ngazi mbali mbali 4. Viongozi wa Mikoa na wengine
5. Umma wa dola ya Kiislamu 5. Umma (Waislamu na wasio waislamu)




Sifa za Viongozi wa Kiislamu

i. Mjuzi wa Qur’an na Sunnah na kitengo cha anachoongoza.

ii. Mcha – Mungu

iii. Mwenye tabia njema

iv. Mwenye kujipamba na vipengele vya tabia njema. v. Mwenye afya au siha nzuri
vi. Aliyebaleghe.





                   

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Fiqh Main: Dini File: Download PDF Views 2513

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 web hosting    👉2 Dua za Mitume na Manabii    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina   

Post zinazofanana:

Tarstibu za kulipa swaumu ya Ramadhani

Hapa utajifunza namna ambayo utatakiwa kulipa funga ya Ramadhani kwa siku ambazo hukufunga

Soma Zaidi...
Kwanini wengi wanaoswali hawafikii lengo la swala zao

Nguzo za uislamu (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
Ni nini maana ya twahara na kujitwaharisha?

Posti hii inakwendabkukujiulisha maana ya twahara na jinsi ya kujitwaharisha.

Soma Zaidi...
Hadhi na Haki za Mwanamke katika jamii mbalimbali hapo zamani

Utangulizi:Uislamu unamuelekeza mwanaadamu namna nzuri ya kuendesha maisha yake katika kila kipengele cha maisha akiwa binafsi, katika familia na katika jamii.

Soma Zaidi...
Utaratibu wa kuzuru makaburi na dua zinazosomwa wakati wa kuzuru kaburi

Post hii itakufundisha taratibu zinazofanyika katika kuzuru kaburi la muislamu.

Soma Zaidi...
Jinsi ya kusherehekea siku ya idi katika uislamu

Uislamu umeweka taratibu maalumu za kuzifata katika kusherehekea siku ya idi.

Soma Zaidi...
Namna ya kuosha maiti hatua kwa hatua

Mambo ya faradh kwa maiti ya muislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
Hutuba ya Ndoa - Khutbat nikah

Hii ni hutuba ya ndoa kwa ufupi, Imekusanya mambo ya msingi yanayohitajika katika hutuba ya ndoa

Soma Zaidi...