Muundo wa Dola ya Kiislamu

Muundo wa Dola ya Kiislamu

Muundo wa Dola ya Kiislamu

- Dola ni fani ya sayansi ya siasa yenye mamlaka ya juu ya kuamuru, kuongoza na kudhibiti vyote vilivyo ndani ya mipaka ya eneo, nchi yake.
- Serikali ndiyo taasisi kuu katika Dola ya Kiislamu yenye mgawanyo wa sehemu kuu tatu;



1. Bunge (Shura)

- Kutafsiri na kuweka utekelezaji wa sheria kutokana na Qur’an na

Sunnah.

- Kuainisha na kuidhinisha sheria, tafsiri au fat-wa mbali mbali kutokana na Ijma’a na Qiyaas.
- Kutoa fat-wa au hukumu za kidharura kutokana na hali ya siasa, uchumi, n.k.


2. Urasimu – Uulil’Amr (Adminstration)

- Ni wasimamizi wanaotakiwa kutiiwa katika utekelezaji wa maamrisho na makatazo mbali mbali ya Allah (s.w).
- Kuandaa jamii kupokea na kuyafanyia kazi maamrisho na makatazo yote ya Allah (s.w).
Rejea Qur’an (26:151-152)



3. Mahakama

- Kufafanua, kusimamia na kuhakikisha hukumu na sheria za Allah (s.w) zinatekelezwa ili kulinda haki, uadilifu na kuondoa uovu katika jamii. Rejea Qur’an (5:45-50)


? Uraia Katika Dola ya Kiislamu

- Kuna raia wa aina mbili

i. Waislamu – wote wazawa na wa kuhamia bila kuja tofauti za rangi, taifa,

n.k. wote ni ndugu wa moja. Qur’an (49:10), (8:72).

ii. Dhimmi – wananchi wote wasiokuwa waislamu katika Dola ya Kiislamu watakubaliwa tu iwapo watatii maamrisho ya Dola.




Msonge wa Uongozi Katika Dola ya Kiislamu

Msonge wa Uongozi Katika jamii ya

Kiislamu. Msonge wa Uongozi wa Dola ya Kiislamu

wakati wa Mtume (s.a.w)
1. Allah (s.w) – Qur’an 1. Allah (s.w)


2. Mtume (s.a.w) – Sunnah 2. Mtume Muhammad (s.a.w)
3. Majlis Shura – Bunge 3. Shura – (Sekretariati ya Mtume)
4. Viongozi wa ngazi mbali mbali 4. Viongozi wa Mikoa na wengine
5. Umma wa dola ya Kiislamu 5. Umma (Waislamu na wasio waislamu)




Sifa za Viongozi wa Kiislamu

i. Mjuzi wa Qur’an na Sunnah na kitengo cha anachoongoza.

ii. Mcha – Mungu

iii. Mwenye tabia njema

iv. Mwenye kujipamba na vipengele vya tabia njema. v. Mwenye afya au siha nzuri
vi. Aliyebaleghe.





                   

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Fiqh Main: Dini File: Download PDF Views 2417

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉3 web hosting    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

Hii ndio hutuba ya ndoa ya kiislamu

Hapa utajifunza utaratibu wa hutuba ya ndoa ya kiislamu. Sharti za jutuba ya ndoa na jinsibya kuozesha

Soma Zaidi...
Haki ya kumiliki mali na mipaka yake katika uislamu

Je unaijuwa mipaka yako katika kumiliki mali. Ama unajuwa haki zako katika mali inayomiliki. Endelea na somo

Soma Zaidi...
Sharti za kutoa zaka

Masharti ya Utoaji wa Zakat na Swadaqat Utoaji katika njia ya Allah (s.

Soma Zaidi...
Uislamu unavyokemea tabia ya ombaomba

Uislamu umekataza tabia ya kuombaomba kama ndio njia ya kuendesha maisha. Pia ukaweka suluhisho la kukomesha tabia hiyo

Soma Zaidi...
Zijuwe funga za kafara na jinsi ya kuzigunga

Post hii itakufundisha kuhusu funga za kafara, zinavyotokea na na jinsi ya kuzifunga.

Soma Zaidi...
Haki za binadamu kwa ujumla (basic human rights)

Haki na uadilifu katika uislamu (EDK form 3: Dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
Jinsi ya kutoa zakat al fitiri na umuhimu wa zakat al fitri kwa waislamu

Hapa utajifunza kuhusu zakat al fitiri, kiwango chake, watu wanaostahili kupewa na kutoa, pia umuhimu wake katika jamii.

Soma Zaidi...
Je manii ni twahara au najisi?

Post hii itakwenda kukufundisha hukumu ya manii kuwa ni twahara ama ni najis

Soma Zaidi...
Taratibu za eda ya kufiwa katika uislamu

Hapa utajifunza taratibu za kukaa eda kwa mwanamke ambaye amefiwa na mume.

Soma Zaidi...