picha

Haki za binadamu kwa ujumla (basic human rights)

Haki na uadilifu katika uislamu (EDK form 3: Dhana ya elimu ya uislamu)

 

Haki za Binaadamu kwa Ujumla (Basic Human Rights).

Uislamu umezingatia, kulinda na kusimamia haki za msingi za kibinaadamu bila kujali tofauti zao. Haki hizo ni pamoja na;

Haki za kuishi (maisha).

Rejea Quran (5:32), (6:151) na (17:33).

 

Haki ya Usalama wa Maisha.

Rejea Quran (5:32).

 

Haki ya kulinda na kuheshimu hadhi na usafi wa mwanamke.

Rejea Quran (17:32) na (24:2).

 

Haki ya kupata mahitaji ya lazima ya maisha.

Rejea Quran (70:24-25).

 

Haki ya Uadilifu na Usawa katika Hukumu (Righ to justice).

Rejea Quran (5:8), (49:13) na (4:135).

 

Haki ya Uhuru (kila mtu kuwa huru).

Uislamu umezingatia kila mtu kuwa huru kifikra na kutomilikiwa kama bidhaa ya baishara.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Fiqh Main: Post File: Download PDF Views 1644

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 web hosting     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 Bongolite - Game zone - Play free game     👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉6 kitabu cha Simulizi    

Post zinazofanana:

Haki za raia katika dola ya kiislamu

Haki na uadilifu katika uislamu (EDK form 3: Dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
Kutoa kati kwa kati

Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...