Haki na uadilifu katika uislamu (EDK form 3: Dhana ya elimu ya uislamu)
Haki za Binaadamu kwa Ujumla (Basic Human Rights).
Uislamu umezingatia, kulinda na kusimamia haki za msingi za kibinaadamu bila kujali tofauti zao. Haki hizo ni pamoja na;
Haki za kuishi (maisha).
Rejea Quran (5:32), (6:151) na (17:33).
Haki ya Usalama wa Maisha.
Rejea Quran (5:32).
Haki ya kulinda na kuheshimu hadhi na usafi wa mwanamke.
Rejea Quran (17:32) na (24:2).
Haki ya kupata mahitaji ya lazima ya maisha.
Rejea Quran (70:24-25).
Haki ya Uadilifu na Usawa katika Hukumu (Righ to justice).
Rejea Quran (5:8), (49:13) na (4:135).
Haki ya Uhuru (kila mtu kuwa huru).
Uislamu umezingatia kila mtu kuwa huru kifikra na kutomilikiwa kama bidhaa ya baishara.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Masharti ya Utoaji wa Zakat na Swadaqat Utoaji katika njia ya Allah (s.
Soma Zaidi...Nguzo za uislamu (EDK form 3:dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Unadhani mwanamke kupewa mahari kitendo hiki kinaweza kushusha hadhi yake?
Soma Zaidi...Hapa utajifunza taratibu za kukaa eda kwa mwanamke ambaye amefiwa na mume.
Soma Zaidi...Muislamu aliyetoa shahada ya kweli hanabudiย kumfanya Mtume (s.
Soma Zaidi...