Maumivu wakati wa hedhi.

Posti hii inahusu zaidi maumivu wakati wa hedhi, haya ni maumivu ambayo utokea wakati wa hedhi kwa wanawake walio wengi, wengine huwa hawayapati kabisa na wengine hutapata na kwa kiwango kikubwa kutegemea na matatizo mbalimbali kama tutakavyoona.

Maumivu wakati wa hedhi 

1.Haya ni maumivu ambayo uwapata wanawake walio wengi na wasichana kwa kawaida huwa katika makundi mawili, kuna maumivu ambayo utokea wakati wa hedhi na maumivu haya huwa hayaambatani na magonjwa yoyote ila kuna aina ya pili ambapo maumivu utokea ni kwa sababu ya kuwepo kwa magonjwa kwenye via vya uzazi.

 

2.kuna sababu za kuwepo kwa maumivu wakati wa hedhi ni pamoja na matatizo kwenye mfuko wa kizazi kwa sababu kama kuna Maambukizi kwenye mfumo wa kizazi lazima Maumivu yatakuwepo au pengine panakuwepo na uvimbe kwenye mfuko wa kizazi ambao usababisha maumivu wakati wa hedhi.

 

3.Pengine maumivu kwenye mfuko wa uzazi Usababishwa na msongo wa mawazo  kwa sababu unakuta kuna wanawake wengine wanaishi mazingira magumu na kusababisha maumivu makali wakati wa hedhi kwa hiyo tunapaswa kupunguza msongo wa mawazo ili kuepuka mawazo mbalimbali Ambayo yanaweza kusababisha maumivu wakati wa hedhi.

 

4.Maambukizi kwenye mlango wa kizazi.

Kwenye mlango wa kizazi panaweza kuwepo kwa Maambukizi kama kuna Maambukizi kuna Maambukizi ndiyo usababisha maumivu wakati wa hedhi mara nyingine panaweza kuwepo viashiria vya kansa ya mlango wa kizazi au pengine Maambukizi kutokana na ngono zembe kwa hiyo kama kuna mambo kama hayo Maumivu wakati wa hedhi ni kawaida.

 

5.Kwa hiyo tunapaswa kujua kubwa kwa wale wenye maumivu makali wakati wa hedhi wanapaswa kwenda hospitalini kupima ili kuangalia shida ni nini ambayo inafanya kuwepo kwa maumivu hayo kwa hiyo tunapaswa kuepuka na msongo wa mawazo ili tuweze kuepuka matatizo ya kuwa na maumivu wakati wa hedhi.

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Mwandhishi Tarehe 2022/02/16/Wednesday - 01:18:06 pm     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 637

Post zifazofanana:-

Dalili za fangasi wa kucha.
Posti hii inazungumzia kuhusiana na dalili,sababu za Hatari,na namna ya kujizuia na fangasi wa kucha. Soma Zaidi...

Dalili za mimba ya siku 4
Unaweza kutaka kujuwa je naweza kupata dalili za mimba baada ya siku nne toka ujauzito kutungwa? ama baada ya siku nne toka kushiriki tendo la ndoa. Makala hii itakwenda kujibu maswali haya na mengineyo. Soma Zaidi...

Walio kwenye hatari ya kupata UTI
Posti hii inahusu zaidi watu walio kwenye hatari ya kupata UTI, ni watu ambao wako kwenye hatari ya kupata ugonjwa wa UTI kwa sababu ya mazingira mbalimbali kama ifuayavyo. Soma Zaidi...

Faida za kunywa maji kabla ya kula chochote.
Posti hii inahusu faida za kunywa maji kabla hujula kitu chochote,tunajua kabisa kabla ujala au kunywa chochote sumu nyingi mwilini zinakuwa hazijachanganyikana na chochote kwa hiyo tunapaswa kujua kuwa kuna faida kubwa nyingi za kunywa maji kama ifuatavy Soma Zaidi...

Sababu za uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo.
Post hii inahusu zaidi Sababu za uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo, hali hii uwatokea sana wanawake zaidi ya wanaume, kwa kitaalamu hali hii ya kuwa na uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo huitwa cystitis. Soma Zaidi...

Mahusiano ya vijana wawili
Posti hii inahusu zaidi mahusiano yaliyotokea kati ya vijana wawili ila yanafika baadae mmoja akamsaliti mwenzake. Soma Zaidi...

Ujuwevmv ugonjwa Nimonia na dalili zake
Nimonia ni Hali ya kuvimba pafu inayoathiri hasa vifuko vya hewa viitwavyo Alveoli, husababishwa na Maambukizi ya virusi Soma Zaidi...

Huduma ya Kwanza kwa aliyekazwa na misuli
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyekazwa na misuli Soma Zaidi...

Sababu za mngurumo wa moyo
Mngurumo wa moyo ni sauti wakati wa mzunguko wa mapigo ya moyo wako kama vile kutetemeka inayotolewa na damu yenye msukosuko ndani au karibu na moyo wako. Sauti hizi zinaweza kusikika na kifaa kinachojulikana kama stethoscope. Mapigo ya moyo ya kawaida Soma Zaidi...

Madhara ya fangasi.
Posti hii inahusu zaidi madhara ya fangasi za ukeni kwa kawaida tunajua kubwa fangasi zikiingia kwenye uke usababisha madhara mbalimbali ambayo mengine yanaweza ya kudumu na mengine ya mda kama yametibiwa mapema. Soma Zaidi...

Nafasi ya Elimu katika uislamu
Je ni ipi nafasi ya Elimukatika dini ya uislamu? Soma Zaidi...

Mafunzo yatokanayo na maandalizi haya ya ki ilhamu
Bara arabu zama za jahiliyyah (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...