Utafanyaje ili blog yako ionekane Google, Big, Yandex ama yahoo?

Utafanyaje ili blog yako ionekane Google, Big, Yandex ama yahoo?

Post hii inakwenda kukufundisha kwa ufupi jinsi ya kuifanya blog yako, ama post za kwenye blog yako ziweze kupatikana kwenye search Engine kama Google, Bong, yandex na yahoo.

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Search Engine zipo nyingi, lakini wengi wetu tunatambuwa Google. Kuna sababu za kutokea hilo.  Google wamewekeza sana klatika search kwani ni njia ambayo imekuwa ikiwaingizia mapato makubwa sana. Mfumo wa Android ambao umeenea sana, ni wa Google, hivyo ni kawaida kuiona Google search Engine kuwa ndio default. Sasa nini ufanye ili blog yako iweze kupatikana google. Endelea na post hii hadi mwisho.

 

Search Ebgine yeyote ni jukumu lake kutafuta post na blog yako popote pale kwenye internrt. kwa ufupi hakuna haja ya kufanya saana kwani search engine ipo kwa ajili yako. Google wataitafuta post yako popote pale na kuiweka kwenye matokeo ya itafutaji. Ila ni pale tu itakapokidhi vigezo vyao.

 

Search Engine hutumia maroboti ambayo hutafuta post popote zilipo. Kisha baada ya kuzipata huzipeleka kwenye database zao na tayari kwa ajili ya kuzipangilia na kuziweka tayari kwa ajili ya mtumiaji. Kitendo cha search engine kuitafuta post hujulikana kama Crawling. na kitendo cha kuzikaguwa na kuziweka kwenye database na tayari kwa ajili ya mtumiaji hutwa indexing. Kuna michakato mingi zaidi hufanyaka.

 

Ikitokea search Engine zimeshinwa kuona post zako ama blog yako, basi kuna mambo machache utayafanya kuhakiksha kuwa post zako zinaonekana. Mambo hayo ni kama:-

1. Unatakiwa ukaisajili post yako kwenye Google search console. Kwa kutumia email yako utalog in kisha utafuata utaratibu,. Baada ya kuisajili kuna machache utayafanya kama kuweka sitemap.

 

2. Unatakiwa kushea Post yako kwenye social media. Shea kwenye facebook group na whatsApp group. Shea na marafiki wengine na kwenye social media nyingine

 

3. Ifanyie promotion post yako ama blog yako. Waambie rafiki zako wakufanyie promotion ya blog yako kwenye blog zao. Hapa lengo ni kupata backlink hizi ni muhimu kwenye maendeleo ya blog yako.

 

4. Ongeza speed ya blog yako. hakikisha blog yako inakuwa simple, na isiwe na vitu vingi. Ondosha plugin ambazo hazina ulazima. Pia matumizi ya mapicha punguza ili ku save time ya ku load.

 

5. Andika post zenye ubora. hakikisha post zako ni unique, na zinatoa ujumbe. uandishi wako uwe wazi na sio kutumia maneno magumu, ama kuchanganyachanganya lugha.

 

Mwiho unatakiwa uwe na ushirikiana na mablog wenzio wengine ili wakupatie mawilinmatatu ambayo yanaweza kkusaidia kukuza blog yako

Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Teknolojia Main: Jifunze File: Download PDF Views 3630

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

Tofauti ya Trojan na virusi
Tofauti ya Trojan na virusi

Posti hii inakwenda kukupa tofauti za trojani na virusi

Soma Zaidi...
 UTUNZAJI WA BETRY YA KIFAA CHAKO
UTUNZAJI WA BETRY YA KIFAA CHAKO

Namna ya kutunza betri yako iweze kudumu kwa muda mrefu

Soma Zaidi...
Njia za kujilinda na malware
Njia za kujilinda na malware

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kujilinda na malware

Soma Zaidi...
Kufungua program nyingi kwa wakati mmoja
Kufungua program nyingi kwa wakati mmoja

Posti hii inakwenda kukuelekeza njia za kufungua program nyingi kwa wakati mmoja

Soma Zaidi...
Kulinda account yako ya Facebook dhidi ya waharifu wa kimtandao
Kulinda account yako ya Facebook dhidi ya waharifu wa kimtandao

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kulinda account yako ya Facebook dhidi ya waharifu wa kimtandao

Soma Zaidi...
OCR
OCR

Jifunze matumizi ya simu yako na namna ya kutatua matatizo mbalimbali kwenye simu na kompyuta..

Soma Zaidi...
Kipi kingine utafanya ukiwa Facebook
Kipi kingine utafanya ukiwa Facebook

Somo hili linakwenda kukueleza Mambo mengne unayoweza kuyafanya ukiwa Facebook

Soma Zaidi...
Utunzaji wa betri la kifaa chako
Utunzaji wa betri la kifaa chako

Posti hii inakwenda kukupa elimu kuhusu utunzaji wa betri la kifaa chako

Soma Zaidi...
Sababu za simu kusumbua mtandao
Sababu za simu kusumbua mtandao

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu sabau za simu kusumbua mtandao

Soma Zaidi...