image

Utafanyaje ili blog yako ionekane Google, Big, Yandex ama yahoo?

Post hii inakwenda kukufundisha kwa ufupi jinsi ya kuifanya blog yako, ama post za kwenye blog yako ziweze kupatikana kwenye search Engine kama Google, Bong, yandex na yahoo.

Search Engine zipo nyingi, lakini wengi wetu tunatambuwa Google. Kuna sababu za kutokea hilo.  Google wamewekeza sana klatika search kwani ni njia ambayo imekuwa ikiwaingizia mapato makubwa sana. Mfumo wa Android ambao umeenea sana, ni wa Google, hivyo ni kawaida kuiona Google search Engine kuwa ndio default. Sasa nini ufanye ili blog yako iweze kupatikana google. Endelea na post hii hadi mwisho.

 

Search Ebgine yeyote ni jukumu lake kutafuta post na blog yako popote pale kwenye internrt. kwa ufupi hakuna haja ya kufanya saana kwani search engine ipo kwa ajili yako. Google wataitafuta post yako popote pale na kuiweka kwenye matokeo ya itafutaji. Ila ni pale tu itakapokidhi vigezo vyao.

 

Search Engine hutumia maroboti ambayo hutafuta post popote zilipo. Kisha baada ya kuzipata huzipeleka kwenye database zao na tayari kwa ajili ya kuzipangilia na kuziweka tayari kwa ajili ya mtumiaji. Kitendo cha search engine kuitafuta post hujulikana kama Crawling. na kitendo cha kuzikaguwa na kuziweka kwenye database na tayari kwa ajili ya mtumiaji hutwa indexing. Kuna michakato mingi zaidi hufanyaka.

 

Ikitokea search Engine zimeshinwa kuona post zako ama blog yako, basi kuna mambo machache utayafanya kuhakiksha kuwa post zako zinaonekana. Mambo hayo ni kama:-

1. Unatakiwa ukaisajili post yako kwenye Google search console. Kwa kutumia email yako utalog in kisha utafuata utaratibu,. Baada ya kuisajili kuna machache utayafanya kama kuweka sitemap.

 

2. Unatakiwa kushea Post yako kwenye social media. Shea kwenye facebook group na whatsApp group. Shea na marafiki wengine na kwenye social media nyingine

 

3. Ifanyie promotion post yako ama blog yako. Waambie rafiki zako wakufanyie promotion ya blog yako kwenye blog zao. Hapa lengo ni kupata backlink hizi ni muhimu kwenye maendeleo ya blog yako.

 

4. Ongeza speed ya blog yako. hakikisha blog yako inakuwa simple, na isiwe na vitu vingi. Ondosha plugin ambazo hazina ulazima. Pia matumizi ya mapicha punguza ili ku save time ya ku load.

 

5. Andika post zenye ubora. hakikisha post zako ni unique, na zinatoa ujumbe. uandishi wako uwe wazi na sio kutumia maneno magumu, ama kuchanganyachanganya lugha.

 

Mwiho unatakiwa uwe na ushirikiana na mablog wenzio wengine ili wakupatie mawilinmatatu ambayo yanaweza kkusaidia kukuza blog yako





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 3396


Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 kitabu cha Simulizi     👉3 Madrasa kiganjani     👉4 Kitabu cha Afya    

Post zifazofanana:-

yanayoathiri betri ya kifaa chako
makala hii itakuelezea mambo makuu ambayo ni hatari kwa usalama wa betri ya kifaa chako Soma Zaidi...

Kujaa kwa memory au hard disc
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vitu vya kufanya endapo memory au hard disk itajaa Soma Zaidi...

Jinsi ya kutoa pesa ClipClaps kwa Tanzania
Njia za kutoa pesa ClipClaps Soma Zaidi...

Matatizo katika hard disk
Posti hii inakwenda kukupa baadhi ya matatizo katika hard disk Soma Zaidi...

Matumizi ya OCR katika simu yako
Somo Hili linakuleteq mafunzo ya OCR katika simu yako Soma Zaidi...

SIRI
Hii ni game ya maandishi bila ya kutumia vioneshi (graphics). Soma Zaidi...

Maana ya legacy contact katika Facebook
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu maana ya legacy contact katika facebook Soma Zaidi...

Muda wa kuchaji simu yako
Posti hii itakwenda kukujuza juu ya kuda mzuri wa kuchaji simu yako Soma Zaidi...

JINSI YA KUDOWNLOAD VIDEO YOUTUBE
NJIA RAHISI YA KUDOWNLOAD VIDEO YOUTUBE Teknolojia ya mawasiliano ni muhimu katika kuhakikisha kuwa ulimwengu unafikika kama kijiji kimoja na hapa ndipo unapata maana halisi ya neno UTANDAWAZA yaani kwa lugha ya kimombo ni globalization. Soma Zaidi...

NIJUZE KUHUSU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
1. Soma Zaidi...

Je nitumie simu yangu wakati inachaji?
Somo hili linakwenda kujibu swali la je nitumie simu yangu wakati inachaji Soma Zaidi...

Yanayoathiri betri yako
Somo hili linakwenda kukuletea mambo yanayo athiri betri lako Soma Zaidi...