Haki na uadilifu katika uislamu (EDK form 3: Dhana ya elimu ya uislamu)
Haki za Maadui Katika Vita (mateka wa Kivita).
Uislamu unajali, kusimamia na kulinda haki ya kila mtu hata kwa maadui waliokamatwa katika vita (mateka) walifanyiwa haki na uadilifu kama ifuatavyo;
Kuhurumiwa na kutofanyiwa ukatili wowote maadamu wamedhibitiwa.
Kuwapa mahitaji yao ya lazima ya kibinaadamu na kimaisha pia.
Kulinda uhai na usalama wa maisha yao mpaka mwisho wa uhasama.
Mateka wa kivita walikuwa na haki ya kujikomboa kwa njia zifuatazo;
Kulipa kiasi fulani cha pesa au mali yeyote inayokubalika.
Kubadilishana na mateka Waislamu waliokamatwa na maadui.
Kulipa fidia kwa kufanya jambo fulani lenye manufaa kwa jamii ya waislamu.
Rejea Quran (47:4).
Masuria na mateka wanawake walikuwa na haki ya kulindwa na kuhifadhiwa kwa kupewa wanaume waliokwenda vitani na kuishi nao katika maisha ya ndoa ili kupata mahitaji yao ya msingi.
Haki ya kumiliki mali au uchumi ulio wa halali na usio leta madhara yeyote katika Dola ya Kiislamu.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Kwa nini Lengo la Funga halifikiwi na Wafungaji Wengi?
Soma Zaidi...Yajuwe mambo ambayo yanapendeza kuyafanya wakati ukiwa umefunga Ramadhani.
Soma Zaidi...Je unadhani ni kwa nini waislamu wanaelekea kibla, na jinsi gani utaweza kukipata kibla.
Soma Zaidi...Kustawi kwa Kampeni ya Kudhibiti UzaziMiongoni mwa sababu zilizosaidia kustawi kwa kampeni hii ni matokeo ya mapinduzi ya viwanda (Industrial revolution) ya huko Ulaya.
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukufundisha kuhusu swala ya Istikhara
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukufundisha kuhusu jinsi yavkutayamamu.
Soma Zaidi...Haki na uadilifu katika uislamu (EDK form 3: Dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Jifunze namna ya kuswali, zijuwe aina za swala na ujifunze masharti ya swala, kwa nini swala hazijibiwi? nini kifanyike?
Soma Zaidi...