Nini maana ya najisi, na ni zipi Najisi katika uislamu na aina za najisi

Nini maana ya najisi, na ni zipi Najisi katika uislamu na aina za najisi

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Nini maana ya najisi, na ni zipi Najisi katika uislamu na aina za najisi

NAJISI



Najisi ni uchafu unaohusiana na vitu vifuatavyo:


1. Damu.
2. Usaha.
3. Matapishi.
4. Udenda.
5. Haja ndogo na kubwa ya binaadamu au mnyama.
6.Pombe za aina zote.
7.Mzoga wowote isipokuwa wa binaadamu, samaki na nzige (au jamii ya nzige).
8.Kiungo cha mnyama kilichokatwa naye yu ngali hai
9.Maziwa ya mnyama asiye halali kuliwa kama vile paka, punda wa nyumbani, farasi, n.k.
10.Mbwa na Nguruwe na kila kinachotokana nao.




                   


Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Fiqh Main: Dini File: Download PDF Views 2663

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 Kitabu cha Afya    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

Maana ya hadathi na aina zake
Maana ya hadathi na aina zake

Post hii inakwenda kukugundisha maana ya hadathi pamoja na kutaja aina za hadathi

Soma Zaidi...
Mwenendo wa mwenye kunuia hijjah na umrah
Mwenendo wa mwenye kunuia hijjah na umrah

Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
mambo yanayofungua swaumu
mambo yanayofungua swaumu

post hii ijakwenda kukufundisha mambo yanayoharibu funga

Soma Zaidi...
Jinsi ya kukaa itiqaf na taratibu zake
Jinsi ya kukaa itiqaf na taratibu zake

Hapa utajifunza kuhusu taratibu za ibada ya itiqaf yaani kukaa msikitini kwa ajili ya ibada.

Soma Zaidi...
taratibu na namna ya kutaliki, na mambo ya kuzingatia
taratibu na namna ya kutaliki, na mambo ya kuzingatia

Taratibu za Kutaliki KiislamuKama palivyo na taratibu za kuoa Kiislamu ndivyo hivyo pia ilivyo katika kuvunja ndoa.

Soma Zaidi...
Shart kuu nne za swala
Shart kuu nne za swala

Post hii inakwenda kukufundisha kuhusu masharti ya swala.

Soma Zaidi...