Majimaji yanayitoka kwenye uke yanafungamana na taarifa nyingi kuhusu afya vya mwanamke. Ujauzito, maradhi, mabadiliko ya homoni na zaidi.
Swali:
👉Haya maji meupe hutokea wakat mimba ishatungwa au ukifanya tendo la ndoa lazima utokee?
👉 Kam ni mabadiliko ya homon Huwa yanachukua mda gan mpaka kulud hali ya kawaid
👉Ukikamuwa maziwa yanatok maj je nayo inaweza kuingia kwenye mabadiliko ya homon
Jibu:
ðŸ”Kwa mjamzito yatakuwa meupe yanayofanana na maziwa, ilasiovlazima yanaweza kuwa na utofautivhuu pia. Belichick haiwezivkuonekana baada yavtendo, Lamda baada yavmwili kaka mbili nakuebdelea. Pia kuna wengine hawataona mabadiliko haya
🕊ï¸Kama ni ujauzito Majimaji yataendelea hivyovyo kama yatabadilika kuwa mepesi ama kupata kuwa kaka zamani uke ulivyo hapo tutasema kweli ilikuwa na mabadiliko ya homoni na sivujauzito
ðŸ¦Maziwa kutoka sio mimba changa ni homoni, maziwa kuona ni ujauzito. Siku zote mimba na mabadiliko ya homoni hukaribiana, bila vipimo hatuwezi kuthibitisha
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea kwa wale wenye tabia ya kutoa mimba mara Kwa mara .
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu mbalimbali ambazo zinafanya wajawazito kupata ugonjwa wa Bawasili, kwa sababu tatizo hili linawapa wakina mama wajawazito, kwa hiyo tutaona kwa nini wajawazito wanapatwa na tatizo hili sana.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kuondoa tatizo la nguvu za kiume
Soma Zaidi...SIKU YA KUPATA UJAUZITO Mimba hutokea pindi mbegu ya kiume (sperm) inapokutana na yai la mwanamke (ova) na kuungana kwa pamoja kutengeneza selli moja iitwayo zygote.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi namna ya kutibu tatizo la ugumba kwa Mwanaume, ni njia ambazo utumiwa na wataalam mbalimbali Ili kuweza kutibu tatizo la ugumba kwa wanaume.
Soma Zaidi...Katika post hii utakwenda kujifunza jinsi ambavyo utaweza kujiepusha na maradhi ya ini
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi namna ya kuongea na Mama mjamzito ili kuweza kugundua tatizo lake na kutoa msaada pale penye uhitaji.
Soma Zaidi...Post huu inahusu zaidi utaratibu wa chakula kwa Mama mjamzito, ni chakula anachopaswa kutumia na ambavyo hapaswi kutumia kwa Mama mjamzito mzito, kwa sababu Mama mjamzito anapaswa kuwa makini katika matumizi ya chakula ili kuweza kuongeza vitu muhimu mwil
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi njia mbalimbali ambazo mtoa huduma anaweza kuzitumia kuangalia kama mtoto amevunjika baada ya kuzaliwa.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu mimba iliyotunga nje na madhara yake kiafya
Soma Zaidi...