Uume ukiwa unaingia na ukiwa ndani nahic maumivu Kama uke unawaka Moto tafadhali nishauri
Je unasumbuliwa namaumivi wakati wa nlishiriki tendo la ndoa ama baada. Huwenda post hii ikakusaidia.
Swali:
👉 Nna tatizo Kama uliloeleza Yan uume ukiwa unaingia na ukiwa ndani nahic maumivu Kama uke unawaka Moto tafadhali nishauri
Jibu:
âœï¸ Hutokea hali hii hasa kwa wale ambao uke unakuwa mkavu, ama wanakosa maandalizi kabla ya tendo.
âœï¸ Wanawake wanaosumbuliwa na shida ya homoni wapo hatarini pia kuwa na tatizo hilo.
âœï¸ Wenye uvimbe wa kizazi ama maradhi kama PID, fangasi na UTI wanaweza Pia kusumbuliwa na haki hii.
ðŸ¦USHAURI🕊ï¸
Fika kwanza kituo cha afya kwa ajili ya vipimo na matibabu.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 5 |
Unique share links followed: 1
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio 👉2 Madrasa kiganjani 👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉4 Dua za Mitume na Manabii 👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉6 kitabu cha Simulizi
👉1 Simulizi za Hadithi Audio 👉2 Madrasa kiganjani 👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉4 Dua za Mitume na Manabii 👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉6 kitabu cha Simulizi
Post zinazofanana:
NAMNA YA KUBORESHA MBEGU ZA KIUME, NA VYAKULA VYA KUBORESHA NGUVU ZA KIUME
Njoo ujifunze vyakula vya kuboresha mbegu za kiume na nguvu za kiume.
Soma Zaidi...Kuwepo kwa mabonge ya damu wakati wa hedhi
Posti hii inahusu zaidi kuwepo kwa mabonge ya damu wakati wa hedhi, tunajua kabisa wakati wa hedhi damu inapaswa kuwa nyepesi na ya kawaida ila kuna wakati mwingine inakuwa na mabonge zifuatazo ni sababu za kuwepo kwa mabonge ya damu wakati wa hedhi.
Soma Zaidi...Nini kinasababisha uume kutoa maji meupe bila muwasho,na tiba yake ni ipi
Je unasumbuliwa na Majimaji kwenye uume. Je unapata miwasho, ama maumivu wakati wakukojoa.
Soma Zaidi...Sababu za kuharibika kwa ujauzito na dalili zake
Dalili za kuharibika kwa ujauzito na dalili za kuharibika kwa ujauzo
Soma Zaidi...Dalili 10 za kukaribia kujifungua pamoja na uchungu wa kujifungua
Download Kitabu cha elimu ya Ujauzito na malezi ya mimba.
Soma Zaidi...