Haki na uadilifu katika uislamu (EDK form 3: Dhana ya elimu ya uislamu)
Haki za Raia katika Dola ya Kiislamu.
Haki za msingi za raia waislamu na wasiokuwa waislamu katika Dola ya Kiislamu ni pamoja na;
Haki ya kuendesha maisha binafsi bila kuingiliwa na mtu yeyote.
Haki na uhuru wa kutoa maoni na kuamrisha mema na kukataza mabaya.
Rejea Quran (3:104), (9:71), (9:67).
Haki na Uhuru katika kufuata na kuabudu dini yeyote aipendayo mtu.
Rejea Quran (2:256), (6:108), (29:46) na (16:125).
Haki ya Kuwashtaki Viongozi wa juu wa Dola bila upendeleo na ubaguzi wowote.
Haki ya kumiliki mali au rasilimali zozote za halali na zisizoleta madhara kwa raia na Dola kwa ujumla.
Rejea Quran (2:262), (2:267) na (18:32-43).
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Mambo ya faradh kwa maiti ya muislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Endapo mtu atamuacha mke pasi na ridhaa yake yaani amelazimishwa ama amemuwacha wakati amerukwa na akili. Je ni ipo hukumu yake.
Soma Zaidi...Endapo muislamu hatafunga mwezi wa Ramadhani bila ya ruhusa je atatakiwa afanye nini. Je ataweza kuilipa funga hiyo?
Soma Zaidi...Swala iliyosimamishwa vilivyo ndiyo nyenzo kuu ya kumtakasa Muislamu na kumpa sifa zinazomuwezesha kustahiki kufanya kazi takatifu ya kusimamisha Uislamu katika jamii.
Soma Zaidi...Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...