Post hii fupi itakwenda kukujulisha utaratibu wa kula daku.
*NI UPI MUDA WA MWISHO KULE DAKU*?
Daku unaweza kula saa yote hadi inapoingia Alfajiri. Hii ni kutoka na kauli ya Allaah (Subhaanahu wa Ta'ala):
((..ูููููููุงู ููุงุดูุฑูุจููุงู ุญูุชููู ููุชูุจูููููู ููููู ู ุงููุฎูููุทู ุงูุฃูุจูููุถู ู ููู ุงููุฎูููุทู ุงูุฃูุณูููุฏู ู ููู ุงููููุฌูุฑู ุซูู ูู ุฃูุชูู ูููุงู ุงูุตููููุงู ู ุฅูููู ุงูููููููู...))
((…Na kuleni na kunyweni mpaka ubainike kwenu weupe wa alfajiri katika weusi wa usiku. Kisha timizeni Swawm mpaka usiku…)) [Al-Baqarah: 187]
Hivyo, unaruhusiwa kula daku hadi Alfajiri ndipo unapoanza kufunga. Na hata Muadhini akiadhini na kama una tonge au fundo la maji mdomoni usiliteme, kamilisha kulimeza kisha ndio uanze kufunga. Haya yamethibiti katika Sunnah kama inavyoonyesha Hadiyth ifuatayo:
ุนู ุงุจู ุนู ุฑ ุฑุถู ุงููู ุนููู ุง ูุงู: ูุงู ูุฑุณูู ุงููู ุตูู ุงููู ุนููู ูุณูู ู ุคุฐูุงู: ุจูุงู ูุงุจู ุฃู ู ูุชูู .ููุงู ุฑุณูู ุงููู ุตูู ุงููู ุนููู ูุณูู ((ุฅู ุจูุงู ูุคุฐู ุจููู ููููุง ูุงุดุฑุจูุง ุญุชู ูุคุฐู ุงุจู ุฃู ู ูุชูู )) ู ุชู ุนููู
Kutoka kwa Ibn 'Umar (Radhiya Allaahu 'anhuma) ambaye amesema: "Mtume (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) alikuwa na waadhini wawili; Bilaal na Ibn Ummi Maktuum. Akasema: ((Hakika Bilaal anaadhini usiku (adhana ya mwanzo), basi kuleni na mnywe hadi aadhini Ibn Ummi Maktuum)) [Al-Bukhaariy na Muslim]
Na Allaah Anajua zaidi
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Uchumi wa uislamu umeweka taratibu mbalimbali katika kuchuma mali.
Soma Zaidi...Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Kuchungaย au kutekelezaย ahadiย ni miongoni mwa vipengele muhimu vya tabia ya muumini wa kweli.
Soma Zaidi...Zaka, kilugha ni kukua; kubariki na kuzidi kheri.
Soma Zaidi...Wajibu wa KufanyakaziUislamu siyo tu unawahimiza watu kufanya kazi na kutokuwa wavivu bali kufanya kazi ni Ibada.
Soma Zaidi...Haya ni madhara ya riba katika jamii. Ni kwa namna gani jamii inadhurika kutokana na riba?
Soma Zaidi...