Wafundisheni kuswali watoto wenu
Mtume amemfundisha kuwa watoto wafundishwe kuswali wakiwa na miaka saba na waadhibiwe wakiacha wakiwa na miaka 10
Watoto hao unaowaona hapo kwenye picha wanacheza mchezo mzuri. Unaona hapo kuna imamu akiwaswalisha wenziwe.
Utaona pia kina mtoto wa kike mmoja kwenye kundi hilo akiwa kwenye safu yake. Na hasa huu ndio utaratibu wa jamaa iliyo na mchanganyiko wa wanawake na wanaume.
Allah awape malezi bora watoto hawa
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
๐1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) ๐2 Dua za Mitume na Manabii ๐3 Madrasa kiganjani ๐4 kitabu cha Simulizi ๐5 Simulizi za Hadithi Audio ๐6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina
๐1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) ๐2 Dua za Mitume na Manabii ๐3 Madrasa kiganjani ๐4 kitabu cha Simulizi ๐5 Simulizi za Hadithi Audio ๐6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina
Post zinazofanana:
Maana ya swala
Maana ya Swala Maana ya Swala kilugha(a) Kilugha Katika lugha ya Kiarabu neno ยSwalaatย lina maana ya ยombi au ยdua.
Soma Zaidi...Jinsi ya kujitwaharisha kutokana na najisi
Post hii inakwenda kukufundisha jinsi ya kujitwaharisha kutokana na najisi.
Soma Zaidi...