Wafundisheni kuswali watoto wenu
Mtume amemfundisha kuwa watoto wafundishwe kuswali wakiwa na miaka saba na waadhibiwe wakiacha wakiwa na miaka 10
Watoto hao unaowaona hapo kwenye picha wanacheza mchezo mzuri. Unaona hapo kuna imamu akiwaswalisha wenziwe.
Utaona pia kina mtoto wa kike mmoja kwenye kundi hilo akiwa kwenye safu yake. Na hasa huu ndio utaratibu wa jamaa iliyo na mchanganyiko wa wanawake na wanaume.
Allah awape malezi bora watoto hawa
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉2 ai web app 👉3 Kitau cha Fiqh 👉4 Simulizi za Hadithi Audio 👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉6 kitabu cha Simulizi
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉2 ai web app 👉3 Kitau cha Fiqh 👉4 Simulizi za Hadithi Audio 👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉6 kitabu cha Simulizi
Post zinazofanana:
Nini maana ya ndoa katia uislamu na ni upi umuhimu wake
Hapa utajifunza maana ya ndoa kulingana na uislamu na umuhimu wake katika jamiii
Soma Zaidi...Taratibu za mahari katika uislamu
Hapa utajifunza taratibu za kutaja mahari katika uislamu.
Soma Zaidi...