Posti hii inahusu zaidi njia au mbinu mbalimbali ambazo zinaweza kutumika ili kuweza kuepukana na tatizo la ugonjwa wa homa ya uti wa mgongo.
1. Kwanza kabisa tunapaswa kutoa elimu kwa watu ili kuweza kuwajulisha watu kuwepo kwa ugonjwa huu, namna unavyoweza kuenea kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine jinsi unavyoweza kutibiwa na mbinu au njia za kuzuia Ugonjwa huu ili usiendelee kusambaa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine.
2. Pia kama kuna Dalili za kuwepo kwa Ugonjwa huu kwenye jamii, jamii inapaswa kuepukana na mikusanyiko isiyo ya lazima ili kuepuka madhara makubwa ambayo yanaweza kutokea kama mtu mmoja ana Ugonjwa huu kwenye mkusanyiko anaweza kusambaza kwa wengine na kusababisha kuendelea kuwepo kwa Maambukizi.
3. Kuwaelimisha watu kuacha tabia za kugusana moja kwa moja ambazo zinaweza kusababisha kuenea kwa Ugonjwa huu kwa mfano kubusiana, na pia kwa wale wenye tatizo hili hawapaswi kutema tena mate ovyo wawe na sehemu maalum kwa ajili ya kuweka mate siyo kuyasambaza hali ambayo Usababisha kuendelea kuenea kwa ugonjwa na kuweza kuongeza namba ya waathirika wa Ugonjwa wa homa ya uti wa mgongo.
4. Pia madawa ya kutibu Ugonjwa huu yanapaswa kuwepo na pia kila aina ya kipimo inapaswa kuwepo ili kuweza kutambua visababishi mbalimbali,na pia kwa upande wa watoto wadogo wanapaswa kutolewa chanjo mapema ili kuweza kuwa na kinga ya kupambana na ugonjwa huu endapo utatokea .
5. Kwa wale wenye imani tofauti au potofu kuhusu Ugonjwa huu ni lazima waache ili kuweza kuwapeleka wagonjwa hospitalini na kupata matibabu mapema ili kuokoa maisha kwa sababu Ugonjwa huu bila matibabu yoyote hali inaweza kuwa mbaya na hatimaye kuwapoteza wapendwa wetu.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Pumu ni ugonjwa wa njia ya upumuaji unaojulikana na kizuizi cha muda mrefu cha njia ya upumuaji. Inahusisha mfumo wa upumuaji unaobana njia ya hewa, Inaweza kuwa ya nje (hii hutokea kwa vijana kutokana na mizio) au ya ndani (hutokea kwa wazee)
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dalili za mtu aliyegongwa na nyoka, nyoka ni kiumbe ambacho Kina sumu kali na sumu ikiingia mwilini mtu huwa na dalili mbalimbali
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dalili za uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo, ni dalili ambazo ujitokeza kwa mtu Mwenye tatizo la uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo, ingawa sio watu wote wenye dalili kama hizi Wana uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo Ila zikitokea mtu anapaswa
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na Ugonjwa wa kisukari unaopelekea kukosa fahamu ni tatizo linalohatarisha maisha kisukari ambalo husababisha kupoteza fahamu. Ikiwa una kisukari, sukari ya juu ya damu (hyperglycemia) au sukari iliyopungua sana (hypoglyc
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi namna ya magonjwa ya koo yanavyosambaa, magonjwa haya usambaa kutoka sehemu Moja kwenda nyingine kwa njia tofauti kama ifuayavyo
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa tauni ambao kwa kitaalamu huitwa plague ni Ugonjwa unaosababishwa na wadudu ambao huitwa kitaalamu huitwa yersinia pestis ambao ukaa ndani ya panya.
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na sababu zinazopelekea kukosa choo ,yaani kinyesi kuwa kigumu au kukosa kabisa choo.
Soma Zaidi...Vidonda vya tumbo no tatizo linalotokea baada ya kuta za tumbo au utumbo mdogo kuwa na vidonda,hutokea baada ya ukuta wenye ute unaozuia kemikali za kuyeyusha chakula unaitwa mucus kuharibika. Vidonda vya tumbo (peptic ulcers) imegawanyika katika ma
Soma Zaidi...Manung'uniko ya moyo ni sauti wakati wa mzunguko wa mapigo ya moyo wako kama vile kutetemeka inayotolewa na damu yenye msukosuko ndani au karibu na moyo wako.
Soma Zaidi...