Post ya leo inaenda kufundisha dalili na hatari za presha ya kupanda. Presha ni ugonjwa unaosababishwa na baadhi ya vitu mbalimbali.pressure hujulikana kwa jina lingine ambolo ni hypertension (pressure ya kupanda). presha hugundulika pale ambapo presha ya
Swali;je nitagunduaje kuwa Nina presha ya kupanda?
Dalili za pressure ni
1.mapigo ya moyo kwenda haraka
2.kupumua kwa shida
3.damu kutoka puani
4.kichwa kuuma
5.Kuishiwa nguvu
6.Jashi kutoka kwa wingi
Tuone watu walioko hatari ya kupata presha
1.kuwa na mawazo mengi yasiyoisha
2.unene
3.kufanya mazoezi kupita kiasi
4.umri mkubwa
6.kula vyakula vyenye chumvi nyingi kupita kiasi
7.kuvuta sigara
8.kunywa pombe
9.familia yaan Mara nyingi tunasema Kurithi
10.kuwa na magonjwa sugu Kama kisukari.nk.
Mwisho;presha ni ugonjwa unaotibika Kama ukiwahi hospitali,Kutumia dawa vizuri bila shida na kufata masharti lakini pia ni ugonjwa ambao usipofata mashart unaweza kufa Tena kimya kimya maana ugonjwa huu sio rahisi kujulikana kw haraka.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Nini hasa kinatokea mpaka mtu anakuwa na pumu, ama anashambuliwa na pumu. Makala hii itakwenda kukufundisha jambo hili
Soma Zaidi...Kuzama hufafanuliwa kama mchakato unaosababisha upungufu mkubwa wa kupumua kutokana na kuzamishwa kwenye chombo cha kuogelea (kioevu). Kuzama hurejelea tukio ambalo njia ya hewa ya mtoto huzamishwa kwenye kioevu, na kusababisha kuharibika kwa kupumua.
Soma Zaidi...Posti hii inaonyesha kiufupi kabisa madhara ya minyoo kwenye mwili wa binadamu. Yafuatayo Ni madhara ya minyoo;
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi madhara ya kutotibu magonjwa ya makende kushindwa t, hiki ni tatizo na huleta madhara
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi njia zinazotumika ili kuangalia Maambukizi kwenye mifupa.
Soma Zaidi...Post hii inahusu Zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea Kwa mgonjwa mweye usaha kwenye mapafu.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mambo ambayo unapaswa kufanya kama una tatizo la kiungulia.
Soma Zaidi...Anataka kujuwa dalili za awali za kujuwa kuwa umeathirika na UKIMWI
Soma Zaidi...DAWA MBADALA ZA VIDONDA VYA TUMBO Dawa za kukabiliana na zaidi ambazo zina calcium carbonate (Tums, Rolaids), zinaweza kusaidia kutibu vidonda vya tumbo lakini hazipaswi kutumiwa kama matibabu ya msingi.
Soma Zaidi...