Dalili ya pressure ya kupanda
Post ya leo inaenda kufundisha dalili na hatari za presha ya kupanda. Presha ni ugonjwa unaosababishwa na baadhi ya vitu mbalimbali.pressure hujulikana kwa jina lingine ambolo ni hypertension (pressure ya kupanda). presha hugundulika pale ambapo presha ya
Swali;je nitagunduaje kuwa Nina presha ya kupanda?
Dalili za pressure ni
1.mapigo ya moyo kwenda haraka
2.kupumua kwa shida
3.damu kutoka puani
4.kichwa kuuma
5.Kuishiwa nguvu
6.Jashi kutoka kwa wingi
Tuone watu walioko hatari ya kupata presha
1.kuwa na mawazo mengi yasiyoisha
2.unene
3.kufanya mazoezi kupita kiasi
4.umri mkubwa
6.kula vyakula vyenye chumvi nyingi kupita kiasi
7.kuvuta sigara
8.kunywa pombe
9.familia yaan Mara nyingi tunasema Kurithi
10.kuwa na magonjwa sugu Kama kisukari.nk.
Mwisho;presha ni ugonjwa unaotibika Kama ukiwahi hospitali,Kutumia dawa vizuri bila shida na kufata masharti lakini pia ni ugonjwa ambao usipofata mashart unaweza kufa Tena kimya kimya maana ugonjwa huu sio rahisi kujulikana kw haraka.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 web hosting 👉2 Dua za Mitume na Manabii 👉3 Simulizi za Hadithi Audio 👉4 Bongolite - Game zone - Play free game 👉5 kitabu cha Simulizi 👉6 Madrasa kiganjani
Post zinazofanana:
Namna ya kutoa huduma kwa mgonjwa wa Dengue.
Posti hii inahusu zaidi huduma anayopaswa kupata mgonjwa wa ndengue, kwa sababu tunafahamu wazi Ugonjwa huu hauna dawa ila kuna huduma muhimu ambayo anaweza kupata na akaendelea vizuri.
Soma Zaidi...NINI CHANZO CHA UGONJWA WA MALARIA? NI YUPI MBU ANAYESAMBAZA MALARIA
Malaria husababishwa na vimelea (parasite) ambavyo husambazwa ama kubebwa na mbu aina ya anopheles.
Soma Zaidi...Ugonjwa wa vidonda vya kitanda (bed sores)
Posti hii inaonyesha dalili za ugonjwa wa Vidonda vya kitanda (bed sores)mara nyingi hukua kwenye ngozi ambayo hufunika sehemu za mifupa ya mwili, kama vile visigino, vifundoni, viuno. Vidonda vya kitanda vinaweza kukua haraka na mara nyingi ni vigumu
Soma Zaidi...Huduma kwa wanawake wenye mahitaji maalum.
Posti hii inahusu huduma kwa wanawake wenye mahitaji maalum, ni wanawake ambao wana shida ya akili, walionyanyaswa kijinsia, wakimbizi na wote wenye matatizo mbalimbali.
Soma Zaidi...Dalili za Ugonjwa wa mapigo ya moyo
Mapigo ya moyo ni hisia za kuwa na moyo wa haraka, Kupepesuka au kudunda. Mapigo ya moyo yanaweza kuchochewa na mafadhaiko, mazoezi, dawa au, mara chache, hali ya kiafya. Ingawa mapigo ya moyo yanaweza kuwa ya kutisha, kwa kawaida hayana madhara. Katik
Soma Zaidi...