Dalili za ukimwi, unavyoenezwa na njia za kujikinga
Ukimwi ni upungufu wa kinga mwilini.unasababishwa na virusi ambavyo hutokea kwa mtu mwingine kwa njia mbalimbali
Dalili za Ukimwi
1. Upungufu wa kinga mwilini
2. Homa za mara kwa mara
3. Kupungua uzito
4.kutapika na kuharisha
5. Kuwa na upele kwenye midomo na sehemu mbalimbali za mwili
Namna ukimwi unavyoenezwa
1. Kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto wakati wa kujifungua
2. Kutumia vitu vyenye ncha kali vilivyotumiwa na mtu zaidi ya mmoja
3. Kubadilishana damu kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine
4. Ngono zembe
Namna ya kuepuka ugonjwa huu
1.Kila mtu atumie kifaa chake hasa vyenye ncha kali
2. Amina mama wote wanapaswa kuhudhulia kliniki na kujifungulia hospitalin
3, kuacha a na ngono zembe
4, kupima damu vizuri wanopompatia mgonjwa.
Kwa ujumla ugonjwa huu hauna dawa tuwe na tahadhari kwa kufuata masharti.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 kitabu cha Simulizi 👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉3 Madrasa kiganjani 👉4 ai web app 👉5 Kitabu cha Afya 👉6 Bongolite - Game zone - Play free game
Post zinazofanana:
Dalili za vidonda vya tumbo, matibabu na dawa zake, sababu za kutokea kwake
Utajifunza chanzo cha vidonda vya tumbo, dalili zake, dawa na matibabu yake pamoja na njia za kujilinda na vidonda vya tumbo
Soma Zaidi...Dalili za mtoto Mwenye UTI
Posti hii inahusu zaidi dalili za mtoto Mwenye UTI,ni dalili ambazo uwapata watoto wadogo chini ya umri wa miaka mitano.
Soma Zaidi...Ugonjwa wa homa ya uti wa mgongo
Posti hii inahusu zaidi Ugonjwa wa uti wa mgongo, ni ugonjwa unaoshambulia sehemu inayofunika ubongo na pia sehemu ya spinal cord
Soma Zaidi...Zijue sababu za kushindwa kushuka kwa makende (testicle))
Posti hii inahusu zaidi tatizo la kushindwa kushuka kwa makende kutoka kwenye tumbo kwenda kwenye skolatumu(scrotum).
Soma Zaidi...Dalili za ugonjwa wa UTI
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za ugonjwa wa UTI
Soma Zaidi...