picha

Dalili za ukimwi, unavyoenezwa na njia za kujikinga

Ukimwi ni upungufu wa kinga mwilini.unasababishwa na virusi ambavyo hutokea kwa mtu mwingine kwa njia mbalimbali

Dalili za Ukimwi

1. Upungufu wa kinga mwilini

2. Homa za mara kwa mara

3. Kupungua uzito

4.kutapika na kuharisha

5. Kuwa na upele kwenye midomo na sehemu mbalimbali za mwili

 

Namna ukimwi unavyoenezwa

1. Kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto wakati wa kujifungua

2. Kutumia vitu vyenye ncha kali vilivyotumiwa na mtu zaidi ya mmoja

3. Kubadilishana damu kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine

4. Ngono zembe

 

Namna ya kuepuka ugonjwa huu

1.Kila mtu atumie kifaa chake hasa vyenye ncha kali

2. Amina mama wote wanapaswa kuhudhulia kliniki na kujifungulia hospitalin

3, kuacha a na ngono zembe

4, kupima damu vizuri wanopompatia mgonjwa.

Kwa ujumla ugonjwa huu hauna dawa tuwe na tahadhari kwa kufuata masharti.

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Views 2290

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 ai web app     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 Dua za Mitume na Manabii     👉4 Kitabu cha Afya     👉5 kitabu cha Simulizi     👉6 Kitau cha Fiqh    

Post zinazofanana:

Fangasi wanaosababisha mapunye dalili zao na jinsi ya kupambana nao

Fangasi hawa ni maarufu sana kwa mapunye ya kichwani ama kwenye ngozi mikononi ama miguuni.

Soma Zaidi...
Dalili za UTI

Somo hili linakwenda kukuletea dalili za UTI

Soma Zaidi...
JE?WAJUA NJIA SAFI NA KANUNI ZA KUWEKA MWILI WAKO KWENYE AFYA NZURI?

Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa usafi katika maisha ya mwanadamu au mwili wa binadamu.

Soma Zaidi...
KISUKARI

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...
ninatatizo la miguu kuuma nimepima wanasema seli nyeupe za damu ipo chini Sana sasa nauliza dawa hizi za vitamin k na sindano vinaweza nisaidia?

Upungufu wa damu ni tatizo la kiafya, lakini kupunguwa seli nyeupe za damu ni tatizo zaidi, nikwa sabaabu seli hizi ndizo ambazo hupambana na wadudu shambulizi wanapoingia mwilini.

Soma Zaidi...