Dalili za ukimwi, unavyoenezwa na njia za kujikinga
Ukimwi ni upungufu wa kinga mwilini.unasababishwa na virusi ambavyo hutokea kwa mtu mwingine kwa njia mbalimbali
Dalili za Ukimwi
1. Upungufu wa kinga mwilini
2. Homa za mara kwa mara
3. Kupungua uzito
4.kutapika na kuharisha
5. Kuwa na upele kwenye midomo na sehemu mbalimbali za mwili
Namna ukimwi unavyoenezwa
1. Kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto wakati wa kujifungua
2. Kutumia vitu vyenye ncha kali vilivyotumiwa na mtu zaidi ya mmoja
3. Kubadilishana damu kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine
4. Ngono zembe
Namna ya kuepuka ugonjwa huu
1.Kila mtu atumie kifaa chake hasa vyenye ncha kali
2. Amina mama wote wanapaswa kuhudhulia kliniki na kujifungulia hospitalin
3, kuacha a na ngono zembe
4, kupima damu vizuri wanopompatia mgonjwa.
Kwa ujumla ugonjwa huu hauna dawa tuwe na tahadhari kwa kufuata masharti.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉2 Simulizi za Hadithi Audio 👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉4 ai web app 👉5 Kitabu cha Afya 👉6 Dua za Mitume na Manabii
Post zinazofanana:
Fahamu Ugonjwa unaosababisha madhara kwenye mapafu
Posti hii inaelezea kuhusiana na Magonjwa yanayosababisha madhara kwenye mapafu na kitaalamu hujulikana Ugonjwa wa Acute Respiratory Distress Syndrome (ARDS) hutokea wakati Majimaji yanapojaa kwenye vifuko vidogo vya hewa nyororo (alveoli) kwenye mapafu
Soma Zaidi...Maumivu ya tumbo kitomvuni, sababu zake na dalili zake
Hapa utajifunza sababu za kuwepo na maumovu ya tumbe kitomvuni.
Soma Zaidi...Dalilili za pepopunda
postii hii inshusiana na dalili na matatizo ya pepopunda. Pepopunda ni ugonjwa hatari wa kutishia maisha unaosababishwa na sumu ya tetanospasmin inayozalishwa katika majeraha yaliyoambukizwa na kizuizi cha bacillus clostridia. Bakteria ya pepopunda hu
Soma Zaidi...Zifahamu sofa za seli
Seli ni chembechembe hai ambazo zimo ndani ya mwili wa binadamu na hufanya kazi mbalimbali kwenye mwili, binadamu hawezi kuishi bila seli.
Soma Zaidi...Mambo ya kuzingatia kabla ya upasuaji,
Upasuaji ni kundi la ki medical linalohusu kutoa kiungo kisichohitajika kwenye mwili.
Soma Zaidi...Dalili za kifua kikuu kwa watoto.
Posti hii inahusu zaidi dalili za kifua kikuu kwa watoto,ni Dalili ambazo ujitokeza kwa watoto pindi wanapopata Maambukizi ya kifua kikuu.
Soma Zaidi...