picha

Dalili za ukimwi, unavyoenezwa na njia za kujikinga

Ukimwi ni upungufu wa kinga mwilini.unasababishwa na virusi ambavyo hutokea kwa mtu mwingine kwa njia mbalimbali

Dalili za Ukimwi

1. Upungufu wa kinga mwilini

2. Homa za mara kwa mara

3. Kupungua uzito

4.kutapika na kuharisha

5. Kuwa na upele kwenye midomo na sehemu mbalimbali za mwili

 

Namna ukimwi unavyoenezwa

1. Kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto wakati wa kujifungua

2. Kutumia vitu vyenye ncha kali vilivyotumiwa na mtu zaidi ya mmoja

3. Kubadilishana damu kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine

4. Ngono zembe

 

Namna ya kuepuka ugonjwa huu

1.Kila mtu atumie kifaa chake hasa vyenye ncha kali

2. Amina mama wote wanapaswa kuhudhulia kliniki na kujifungulia hospitalin

3, kuacha a na ngono zembe

4, kupima damu vizuri wanopompatia mgonjwa.

Kwa ujumla ugonjwa huu hauna dawa tuwe na tahadhari kwa kufuata masharti.

 

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Views 2585

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 web hosting     👉3 Simulizi za Hadithi Audio     👉4 kitabu cha Simulizi     👉5 ai web app     👉6 Bongolite - Game zone - Play free game    

Post zinazofanana:

Dalili za Maambukizi kwa Wanaume

​Makala haya yanatoa mwongozo muhimu kuhusu dalili za maambukizi ya mfumo wa mkojo na uzazi kwa wanaume. Tunasisitiza umuhimu wa utambuzi wa mapema na kutafuta ushauri wa kitaalamu wa kitabibu ili kuepuka matatizo ya muda mrefu ya kiafya.

Soma Zaidi...
Kisonono sugu: Sababu za kutosikia dawa na tiba yake.

​Kisonono (Gonorrhea) ni maambukizi ya zinaa (STI) yanayosababishwa na bakteria aina ya Neisseria gonorrhoeae. Ingawa kimsingi ugonjwa huu hutibika kwa urahisi kwa antibiotics, kuibuka kwa kisonono kisichosikia dawa (drug-resistant gonorrhea) kumegeuka kuwa tishio kubwa la afya ya jamii. Makala haya yanachunguza kwa nini baadhi ya maambukizi huwa sugu, hatari zake, na umuhimu wa kufuata taratibu za kitabibu ili kupata uponyaji kamili.

Soma Zaidi...
Maajabu ya damu na mzunguuko wake mwilini.

Ukistaajabu ya Musa utastaajabu ya Firauni. Haya ni maneno ya wahenga. Sasa hebu njoo u staajabu ya damu

Soma Zaidi...
Namna ya kuangalia Maambukizi kwenye mifupa.

Posti hii inahusu zaidi njia zinazotumika ili kuangalia Maambukizi kwenye mifupa.

Soma Zaidi...
Tabia za kujikosoa kupita kiasi na jinsi ya kujenga upendo

​Katika ulimwengu wa kisasa, shinikizo la kuwa "mkamilifu" mara nyingi husababisha watu wengi kuangukia katika mtego wa kujikosoa kupita kiasi. Makala haya yanachunguza asili ya sauti hii ya ndani (inner critic), madhara yake katika afya ya akili, na kutoa mwongozo wa hatua kwa hatua wa jinsi ya kugeuza mtazamo huo kuwa upendo na huruma kwa nafsi yako (self-compassion).

Soma Zaidi...
Njia za Kuongeza Hamu ya Mapenzi kwa Mwanaume

​Kupungua kwa hamu ya mapenzi kwa mwanaume ni jambo linaloweza kusababishwa na mambo ya kisaikolojia, kimwili, au mtindo wa maisha. Makala haya yatajadili njia madhubuti za kuboresha hamu ya mapenzi kupitia mabadiliko ya afya, lishe, na mawasiliano.

Soma Zaidi...