Ukimwi ni upungufu wa kinga mwilini.unasababishwa na virusi ambavyo hutokea kwa mtu mwingine kwa njia mbalimbali
Dalili za Ukimwi
1. Upungufu wa kinga mwilini
2. Homa za mara kwa mara
3. Kupungua uzito
4.kutapika na kuharisha
5. Kuwa na upele kwenye midomo na sehemu mbalimbali za mwili
Namna ukimwi unavyoenezwa
1. Kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto wakati wa kujifungua
2. Kutumia vitu vyenye ncha kali vilivyotumiwa na mtu zaidi ya mmoja
3. Kubadilishana damu kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine
4. Ngono zembe
Namna ya kuepuka ugonjwa huu
1.Kila mtu atumie kifaa chake hasa vyenye ncha kali
2. Amina mama wote wanapaswa kuhudhulia kliniki na kujifungulia hospitalin
3, kuacha a na ngono zembe
4, kupima damu vizuri wanopompatia mgonjwa.
Kwa ujumla ugonjwa huu hauna dawa tuwe na tahadhari kwa kufuata masharti.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Karibia fangasi wote hawa wanatibika bila ya ugumu wowote maka mgonjwa atakamilisha dozi.
Soma Zaidi...Je na wewe ni katika wanaosumbuka sana kujuwa dalili za kwanza za ukimwi toka siku ya kwanza, ama dalili za ukimwi kwenye ulimi, ama unatakakujuwa ni muda gani ukimwi huonekana, na je ukishiriki ngono zembe ndio utapata ukimwi? Basi makala hii ni kwa ajil
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi vitu ambavyo vinasababisha kuongezeka kwa Ukimwi kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine na baada ya watu kujua Ugonjwa huu na matokeo ila bado ugonjwa unazidi kuongezeka.
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na uvimbe wenye uchungu wa mishipa midogo ya damu kwenye ngozi yako ambayo hutokea kutokana na ongezeko la joto la ghafla kutokana na halijoto ya baridi. Pia inajulikana kama pernio, chilblain inaweza kusababisha kuwasha,
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi Ugonjwa wa ukoma ni Ugonjwa unaosababishwa na bacteria anayejulika kama mycobacterium leprae.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi maambukizi kwenye nephroni, uweza kutokea kwenye figo Moja au zote mbili.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa pre- eclampsia ni Ugonjwa ambao uwapata wanawake wajawazito uwapata pale mimba inapofikisha umri wa wiki ishilini, utokea pale ambapo Mama mjamzito huwa na kiwango kikubwa cha shinikizo la damu na pia kuwepo kwa protini
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi msaada kwa aliye na uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo, ni huduma maalumu ambayo utolewa kwa mtu ambaye ana uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo. Zifuatazo ni huduma maalumu kwa mwenye uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo.
Soma Zaidi...