Ukimwi ni upungufu wa kinga mwilini.unasababishwa na virusi ambavyo hutokea kwa mtu mwingine kwa njia mbalimbali
Dalili za Ukimwi
1. Upungufu wa kinga mwilini
2. Homa za mara kwa mara
3. Kupungua uzito
4.kutapika na kuharisha
5. Kuwa na upele kwenye midomo na sehemu mbalimbali za mwili
Namna ukimwi unavyoenezwa
1. Kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto wakati wa kujifungua
2. Kutumia vitu vyenye ncha kali vilivyotumiwa na mtu zaidi ya mmoja
3. Kubadilishana damu kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine
4. Ngono zembe
Namna ya kuepuka ugonjwa huu
1.Kila mtu atumie kifaa chake hasa vyenye ncha kali
2. Amina mama wote wanapaswa kuhudhulia kliniki na kujifungulia hospitalin
3, kuacha a na ngono zembe
4, kupima damu vizuri wanopompatia mgonjwa.
Kwa ujumla ugonjwa huu hauna dawa tuwe na tahadhari kwa kufuata masharti.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Post hii inahusu zaidi madhara ya kutotibu ugonjwa wa uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo,ni madhara yanayotokea kwenye mfumo mzima wa kupitisha mkojo na via vya uzazi kama ifuayavyo.
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na Saratani ya matiti ya Mwanaume ni Saratani nadra ambayo hutokea katika tishu za matiti za wanaume. Ingawa saratani ya matiti hufikiriwa zaidi kuwa ugonjwa wa wanawake, saratani ya matiti ya mwanaume hutokea. Saratani y
Soma Zaidi...Ugonjwa wa mdomo unaounguaΓΒ ni neno la kimatibabu kwa ajili ya kuungua kinywani kwa mara kwa mara (kwa muda mrefu) bila sababu dhahiri. Usumbufu huo unaweza kuathiri ulimi wako, ufizi, midomo, ndani ya mashavu yako, paa la mdomo wako au maeneo yaliyoenea
Soma Zaidi...Madonda ya tumbo ni ugonjwa unaotokana na kuwepo kwa vidonda kwenye Koo, tumboni na kwenye utumbo mdogo
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi madhara ya fangasi za ukeni kwa kawaida tunajua kubwa fangasi zikiingia kwenye uke usababisha madhara mbalimbali ambayo mengine yanaweza ya kudumu na mengine ya mda kama yametibiwa mapema.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi namna Maambukizi kwenye milija na ovari ambayo yanatokea,Mara nyingi usababisha na bakteria wanaoweza kuingia kupitia sehemu mbalimbali.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea ikiwa Ugonjwa huu wa ukimwi ukishasmbaa kutoka sehemu moja kwenda nyingine na kuleta madhara makubwa kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...Jifunze dalili za gonorrhea na namna inavyoambukiza, zipi athari za gonori kwa wanawae na wanaume
Soma Zaidi...