Malaria ni ugonjwa unaosababishwa na mdudu kwa kitaalamu anaitwa Anopheles.na anasambazwa na mbu jike pale anapotafuta chakula hasa wakati akiwa na mimba. Mbu hawa hupenda kuishi kwenye mnyasi, madibwi haswa kwenye maji yaliyo simama.
Zifuatazo ni dalili za malaria;
-kuumwa kichwa
-homa za mara kwa mara
-kichefuchefu na kitapika
-kukosa hamu ya kula
-degedege hasa kwa watoto wadogo
-kurukwa na akili(mental health) hasa pale ambapo maleria imekuwa sugu na huingia kichwa na mtu huchanganyikiwa
Njia za kujikinga na malaria ni;
-kufukia madibwi
-kufanya usafi kwenye mazingira yaliyo tuzunguka
-kupunguza majani au nyasi ili kuziia mbu wasizaliane
-kuweka dawa kwenye madimbwi au sehemu mbalimbali Ili kuzuia mbu wasiishi na kuzaliana
-Kutumia neti wakati unapolala usiku
-Unaweza kutumia dawa za kujipaka Ili kujikinga na mbu.
Matibabu yanayoweza kutibu ugonjwa wa malaria
-Dawa ; Kuna baadhi ya dawa ambazo zipo mahospitalini na hutibu ugonjwa huu na hupelekea mtu kupona .
Mwisho; ukipata dalili kama hizi ni vyema kwenda hospital kwaajili ya matibabu na malaria ni ugonjwa hatari na Unaweza kuua kwahiyo ni vyema kuwahi hospitali kwaajili ya ushauri na matibabu zaidi.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukuletea orodha ya makunfi ya watu walio hatarini kupata UTI
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu namna ya kuishi na vidonda vya tumbo
Soma Zaidi...posti hii inazungumzia kuhusiana na ugonjwa wa kuvimba kwa mishipa ya damu katika mwili wako wote. Kuvimba kwa Mishipa ya Damu hujulikana Kama Behcet amboyo husababisha dalili nyingi ambazo hapo awali zinaweza kuonekana kuwa hazihusiani. Dalili na ish
Soma Zaidi...Poliomyelitis ni kuvimba kwa suala la kijivu la uti wa mgongo na wakati mwingine sehemu ya chini ya ubongo
Soma Zaidi...Post hii inahusu Zaidi dalili za kuwepo Kwa usaha kwenye mapafu, ni dalili ambazo zinaweza kujitokeza Kwa mgonjwa,Kwa hiyo baada ya kuona dalili hizi mgonjwa anapaswa kuwahi hospital mara moja Kwa ajili ya matibabu.
Soma Zaidi...Hivi umeshawahi kuwazakuwa jekipimo cha HIV ni sahihi kwa kiasi gani. Unadhani huwa kinakoseaga kutoa majibu?
Soma Zaidi...Posti hii inaelezea kuhusiana na Ugonjwa wa kuvimba kwa mishipa yako ya damu. Inasababisha mabadiliko katika kuta za mishipa ya damu, ikiwa ni pamoja na kuimarisha, kudhoofisha, kupungua na kupungua. Mabadiliko haya huzuia mtiririko wa damu, na kusababi
Soma Zaidi...Saratani ya uke ni Saratani adimu inayotokea kwenye uke wako mrija wa misuli unaounganisha uterasi na sehemu zako za siri. Saratani ya uke mara nyingi hutokea katika seli zilizo kwenye uso wa uke wako, ambao wakati mwingine huitwa njia ya uzazi. Wan
Soma Zaidi...Pumu ni ugonjwa wa njia ya upumuaji unaojulikana na kizuizi cha muda mrefu cha njia ya upumuaji. Inahusisha mfumo wa upumuaji unaobana njia ya hewa, Inaweza kuwa ya nje (hii hutokea kwa vijana kutokana na mizio) au ya ndani (hutokea kwa wazee)
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu maradhi ya macho,dalili na matibabu yake
Soma Zaidi...