Malaria ni ugonjwa unaosababishwa na mdudu kwa kitaalamu anaitwa Anopheles.na anasambazwa na mbu jike pale anapotafuta chakula hasa wakati akiwa na mimba. Mbu hawa hupenda kuishi kwenye mnyasi, madibwi haswa kwenye maji yaliyo simama.
Zifuatazo ni dalili za malaria;
-kuumwa kichwa
-homa za mara kwa mara
-kichefuchefu na kitapika
-kukosa hamu ya kula
-degedege hasa kwa watoto wadogo
-kurukwa na akili(mental health) hasa pale ambapo maleria imekuwa sugu na huingia kichwa na mtu huchanganyikiwa
Njia za kujikinga na malaria ni;
-kufukia madibwi
-kufanya usafi kwenye mazingira yaliyo tuzunguka
-kupunguza majani au nyasi ili kuziia mbu wasizaliane
-kuweka dawa kwenye madimbwi au sehemu mbalimbali Ili kuzuia mbu wasiishi na kuzaliana
-Kutumia neti wakati unapolala usiku
-Unaweza kutumia dawa za kujipaka Ili kujikinga na mbu.
Matibabu yanayoweza kutibu ugonjwa wa malaria
-Dawa ; Kuna baadhi ya dawa ambazo zipo mahospitalini na hutibu ugonjwa huu na hupelekea mtu kupona .
Mwisho; ukipata dalili kama hizi ni vyema kwenda hospital kwaajili ya matibabu na malaria ni ugonjwa hatari na Unaweza kuua kwahiyo ni vyema kuwahi hospitali kwaajili ya ushauri na matibabu zaidi.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inaonyesha dalili na mabo ya hatari kwenye ugonjwa wa saratani ya mdomon.Saratani ya mdomo inarejelea Kansa inayotokea katika sehemu zozote zinazounda mdomo. Saratani ya mdomo inaweza kutokea kwa: Midomo, Fizi, Lugha, Nd
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi matibabu ya vidonda vya tumbo nyumbani, ni njia ya kawaida ya kujitibu vidonda vya tumbo kama tulivyoona.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi madhara ya Tiba homoni, ni madhara- ambayo utokea kwa mgonjwa anayetumia homoni kama Tiba kwenye kutibu saratani.
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za maumivu ya tumbo baada ya tendo la ndoa
Soma Zaidi...NJIA ZA KUKABILIANA NA MINYOO Kwa kuwa tumekwisha kuona namna ambavyo minyoo huenezwa, hivyo basi ni rahisi sasa kutaja namna ya kubambana na minyoo.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi upungufu wa damu unaosababishwa na minyoo dalili zake na namna ya kumsaidia mgonjwa mwenye tatizo hilo.
Soma Zaidi...Shinikizo la juu la damu ni hali ya kawaida ambapo nguvu ya muda mrefu ya damu dhidi ya kuta za ateri yako ni kubwa vya kutosha hivi kwamba inaweza kusababisha matatizo ya kiafya, kama vileรย Ugonjwa wa Moyo.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi juu ya ugonjwa wa kipindupindu.Ni dalili zinzojitokeza kwa magonjwa wa kipindupindu.
Soma Zaidi...Makala hii itakwenda kukupa elimu juu ya maradhi haya ya ukimwi, dalili zake, tiba na kinga zake na mengineyo zaidi.
Soma Zaidi...