Dalili za malaria

Malaria ni ugonjwa unaosababishwa na mdudu kwa kitaalamu anaitwa Anopheles.na anasambazwa na mbu jike pale anapotafuta chakula hasa wakati akiwa na mimba. Mbu hawa hupenda kuishi kwenye mnyasi, madibwi haswa kwenye maji yaliyo simama.

     Zifuatazo ni dalili za malaria;

-kuumwa kichwa 

-homa za mara kwa mara 

-kichefuchefu na kitapika 

-kukosa hamu ya kula 

-degedege hasa kwa watoto wadogo 

-kurukwa na akili(mental health) hasa pale ambapo maleria imekuwa sugu na huingia kichwa na mtu huchanganyikiwa 

    Njia za kujikinga na malaria ni; 

-kufukia madibwi 

-kufanya usafi kwenye mazingira yaliyo tuzunguka 

-kupunguza majani au nyasi ili kuziia mbu wasizaliane 

-kuweka dawa kwenye madimbwi au sehemu mbalimbali Ili kuzuia mbu wasiishi na kuzaliana 

-Kutumia neti wakati unapolala usiku 

-Unaweza kutumia dawa za kujipaka Ili kujikinga na mbu.

 Matibabu yanayoweza kutibu ugonjwa wa malaria

-Dawa ; Kuna baadhi ya dawa ambazo zipo mahospitalini na hutibu ugonjwa huu na hupelekea mtu kupona .

       Mwisho; ukipata dalili kama hizi ni vyema kwenda hospital kwaajili ya matibabu na malaria ni ugonjwa hatari na Unaweza kuua kwahiyo ni vyema kuwahi hospitali kwaajili ya ushauri na matibabu zaidi.

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 2204

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
๐Ÿ‘‰1 Madrasa kiganjani    ๐Ÿ‘‰2 Simulizi za Hadithi Audio    ๐Ÿ‘‰3 kitabu cha Simulizi    ๐Ÿ‘‰4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    ๐Ÿ‘‰5 Bongolite - Game zone - Play free game    ๐Ÿ‘‰6 Dua za Mitume na Manabii   

Post zinazofanana:

Dalili za ugonjwa wa kichaa cha mbwa

Posti hii inahusu zaidi dalili za ugonjwa wa kichaa cha mbwa ,kwa kawaida Ugonjwa huu utokea kuanzia kwenye wiki ya pili mpaka mwaka mmoja na hapo Ugonjwa unakuwa bado haujaonesha Dalili na Dalili zikishaonekana ni vigumu kutibika.

Soma Zaidi...
Aina mbalimbali za michubuko

Post hii inahusu zaidi aina mbalimbali za michubuko,kwa Sababu michubuko utokea sehemu tofauti tofauti na pia Kuna aina mbalimbali kama tutakavyoona hapo mbeleni.

Soma Zaidi...
AFYA NA MAGONJWA

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...
Huduma kwa mtoto mwenye Maambukizi kwenye mifupa

Posti hii inahusu zaidi msaada kwa mtoto mwenye Maambukizi kwenye mifupa, ni huduma anayopewa mtoto mwenye Maambukizi kwenye mifupa.

Soma Zaidi...
Je na kwa upande wa mwanaume kuumwa upande wa kushoto wa tumbo kuna shida gani?

Maumivu ya tumbo upande wa kushoti, kwa mwanamke huwenda ikawa ni ujauzito ama shida nyingine za kiafya kama tumbo kujaa gesi, kukosa choo na kadhalika. Sasa vipi kwa wanaume ni ipi hasa sababuรขยโ€

Soma Zaidi...
Dalili za minyoo na sababu zake

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za minyoo na sababu zake

Soma Zaidi...
Dalili za Ugonjwa wa pombe wakati Mtoto akiwa tumboni

Ugonjwa wa ulevi wakati Mtoto akiwa tumboni (fetasi) ni hali ya mtoto inayotokana na unywaji pombe wakati wa ujauzito wa mama. Ugonjwa wa pombe wa fetasi husababisha uharibifu wa ubongo na matatizo ya ukuaji.

Soma Zaidi...
Madhara ya kushindwa kupitisha mkojo.

Posti hii inahusu zaidi madhara ya kushindwa kupitisha mkojo, ni madhara makubwa yanayotokea kwa mtu iwapo akishindwa kupitisha mkojo.

Soma Zaidi...
Heti kama mtu kafany mapenzi na mtu mwe ukimwi siku hihiyo akenda hospitali kapewa dawa kweli hataweza kuwabukizwa

Swali hili limeulizwa na mdau mmoja. Kuwa endapo mtu atafanya ngono zembe na akapata virusi je ataweza kuambukiza.

Soma Zaidi...
je..! naweza kuambukizwa fangasi kwa kujamiiana na mtu mwenye fangasi?

Je ukifanya mapenz na mtu mweny aina hi ya fangasi na akawa anayo maambukizi ya ukimwi.

Soma Zaidi...