
Faida za kiafya za nyanya
- ni chanzo kizuri cha virutibisho kama protini, sukari, fat na pia nyanya zinatupatia maji
- Pia ni chanzo cha vitamini C, K1 na B9. Pia tunapata madini ya potassium
- Ni nzuri kwa afya ya moyo
- Huzuia kupata saratani
- Ni nzuri kwa fya ya ngozi
- Ni nzuri kwa afya ya macho
- Huzuia tatizo la kukosa choo
- Ni nzuri kwa wenye kisukari