Faida za kiafya za mbegu za mronge (moringa)

  1. mbegu za mronge zina virutubisho kama vitamini A, B na C. Pia zina madini kama madini ya calcium, chuma na pia kuna fata kama amino acid.
  2. Husaidia katika kupata usingizi mwororo
  3. Husaidia katika kuondoa tatizo la kukosa choo
  4. Husaidia katika kuthibiti kiwango cha sukari kwenye damu
  5. Ni chanzo kikubwa cha madini ya chuma
  6. Husaidia katika kuondoa tatizo la kupata maradhi ya anaemia yanayopelekea upungufu wa hewa ya oksijeni mwilini
  7. Hupunguza maumivu ya viungo
  8. Husaidia katika kuuwa seli za saratani mwilini.
  9. Husaidia kuboresha afya ya ngozi
  10. husaidia kulinda afya ya moyo na mishipa ya damu.
  11. Husaidia katika kulinda afya ya ini