picha

Faida za kiafya za kula maharagwe, njegere, kund na mbaazi

Faida za kiafya za kula maharagwe, njegere, kund na mbaazi



Faida za kiafya za kula kunde, maharage, njegere mbaazi na njugumawe

  1. Tunapata virutubisho kama protini, vitamini B, A na K madini ya shaba, chuma, na manganese.
  2. Husaidia kushusha sukari na kuboresha kiwango cha insulini
  3. Hupunguza uwezekano wa kupata kisukari
  4. Hupunguza cholesterol mbaya mwilini
  5. Husaidia katika kupunguza uzito
  6. Husaidia hatari ya kupata saratani
  7. Hupunguza uwezekano wa kupata presha
  8. Huboresha afya ya mifupa


                   

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF Views 2209

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 Bongolite - Game zone - Play free game     👉4 web hosting     👉5 Kitau cha Fiqh     👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    

Post zinazofanana:

Umuhimu wa kutumia maembe kiafya.

Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kutumia maembe kiafya, tunajua wazi kuwa maembe ni tunda ambalo lina umuhimu kwenye afya na uwa na vitamini C kwa hiyo tunapaswa kujua faida zake kama ifuatavyo.

Soma Zaidi...
KITABU CHA MATUNDA

Jifunze sifa na aina za matunda, vijuwe viruturubisho

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula bamia/okra

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula bamia

Soma Zaidi...
KITABU HA MATUNDA

Jifunze sifa na aina za matunda, vijuwe viruturubisho

Soma Zaidi...
Vitamini C ni nini, na vipo kwenye nini?

Hapa utajifunza maana ya Vitamini C, mwaka vilipogunduliwa na aliyegundua vitamini C

Soma Zaidi...