Faida za kiafya za kula karanga

Faida za kiafya za kula karanga



Faida za kiafya za kula karanga

  1. karanga zina virutubisho kama protini, fati, vitamini B1, B2, B6, madini ya calcium, phosphorus, magnesium na sodium
  2. Husaidia katika kudhibiti kisukari
  3. Husaidia kuzuia saratani
  4. Husaidia katika kutunza kumbukumbu na kuboresha afya ya ubongo
  5. Huzuia unyonyokaji ama ukatikaji wa nywele
  6. Husaidia katika kupunguza uzito
  7. Husaidia katika ukuaji mzuri wa watoto
  8. Huboresha afya ya ngozi
  9. Ni nzuri kwa afya ya moyo


                   



Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Mwandhishi Tarehe 2018-08-01     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 510


Download our Apps
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Kitabu cha Afya    

Post zifazofanana:-