Kwenye kipengele hichi tutajifunza makundi ya dini za watu. Na makundi hayo ni matatu.
Dini za wanaadamu zimegawanyika makundi makuu matatu;
– Ni utaratibu wa maisha ulioundwa katika misingi ya kukanusha muongozo wa Allah (s.w) na Mitume wake.
2.Dini ya Ushirikina
– Ni utaratibu wa maisha uliofumwa katika misingi ya kumshirikisha Allah (s.w) na miungu wengine.
3.Dini ya Utawa
– Ni utaratibu wa maisha ambao wafuasi wake hujitenga mbali vitu vizuri na harakati za kumletea mwanaadamu maendeleo hapa ulimwenguni.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Mwanadamu hawezi kuishi bila dini, kwani dini imekusanya mfumo mzima wa maisha yake.
Soma Zaidi...Nguzo za Imani (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Nguzo za Imani (EDK form 2:. Dhana ya elimu ya uislamu
Soma Zaidi...Kuua nafsi bila ya Haki, ni kuiua nafsi isiyo na kosa linalostahiki hukumu ya kifo.
Soma Zaidi...Je unamjuwq ni nani muumini, na ni zipi sifa za muumini?
Soma Zaidi...Na waliposema wanafiki na wale wenye maradhi nyoyoni mwao, "Mwenyezi Mungu na Mtume wake hawakutuahidi ila udanganyifu tu.
Soma Zaidi...