Makundi ya dini za wanaadamu
Kwenye kipengele hichi tutajifunza makundi ya dini za watu. Na makundi hayo ni matatu.
- Makundi ya Dini za wanaadamu (watu):
Dini za wanaadamu zimegawanyika makundi makuu matatu;
- Dini ya Ukafiri
– Ni utaratibu wa maisha ulioundwa katika misingi ya kukanusha muongozo wa Allah (s.w) na Mitume wake.
2.Dini ya Ushirikina
– Ni utaratibu wa maisha uliofumwa katika misingi ya kumshirikisha Allah (s.w) na miungu wengine.
3.Dini ya Utawa
– Ni utaratibu wa maisha ambao wafuasi wake hujitenga mbali vitu vizuri na harakati za kumletea mwanaadamu maendeleo hapa ulimwenguni.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
π1 Kitabu cha Afya π2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) π3 web hosting π4 Simulizi za Hadithi Audio π5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina π6 Kitau cha Fiqh
Post zinazofanana:
Maswali juu ya dini anayostahiki kufuata mwanadamu
Dini anayostahiki kufuata mwanadamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Sifa za waumini zilizotajwa katika surat ash-Shuura
βBasi vyote hivi mlivyopewa ni starehe ya maisha ya dunia tu, lakini kilicho kwa Mwenyezi Mungu ni bora na cha kudumu (milele).
Soma Zaidi...Kujiepusha na maringo na majivuno
Maringo, majivuno, majigambo, dharau ni vipengele vya kibri.
Soma Zaidi...