Mambo yanayosababisha nguvu za kiume kupungua


image


Posti hii inazungumzia kuhusiana na Dalili pamoja na mambo yanayosababisha nguvu za kiume kupungua kwa Wanaume


 Dalili

Moja kwa moja Kuna Dalili zinazoonesha kuwa unatatizo la upungufu wa nguvu za kiume na Dalili hizo huweza kuonekana wakati unapofanya tendo la ndoa au muda wa kujamiina.

 

1.kuhisi maumivu wakati wa tendo la ndoa au baada ya kumaliza kujamiina. Hii Ni Dalili ambayo unaweza kuona na kuifahamj mapema wakati utakapoona umefanya tendo la ndoa na kuhisi maumivu.

2.kuwahi kumaliza tendo kwasababu nguvu za kiume zinakuwa zimelegea hivyo hushindwa kistahimili kukaa mda mrefu na kuwahi kutoka.

3.kushindwa kurudia tendo Mara ya pili; ukimaliza kutoa tendo nguvu zinaisha na kulegea kabisa hivyo kushindwa kurudia tendo Hilo na pia uume unasinyaa.

4.uume kusimama kwa ulegevu au kushindwa kusimama . Kutokana na nguvu kupungua kwasababu nguvu za kiume zikiwa kidogo unashindwa ata kusimamisha uume .

 

5.kuchoka Sana baada ya manii na hata kukinai tendo kutokana na nguvu za kiume kutokuwepo za kutosha. Na nguvu za kiume zikiwa pungufu lazima utakinai tendo .

 

6.mwili kuuma na kukosa pumzi wakati wa kufanya tendo.kwa sababu nguvu za kiume zipo chache au hazipo kabisa.

 

7.uume kusinyaa Ndani ya uke. Mara baada ya kishiriki tendo la ndoa na kupata maumivu au kukinai tendo uume unaweza kusimama Ndani ya uuke kwasababu ya kuchoka .

 

8.kutoa manii kabla ya kuanza tendo la ndoa. Pia nguvu za kiume zikipungua mwanaume huanza kutoa manii Aya kabla hajaanza kishiriki au kufanya tendo.

 

  Mambo ya hatari

  Yafuatayo Ni Mambo ya hatari yanayosababisha nguvu za kiume kupungua Ni pamoja na;

1.ugonjwa wa kisukari; Ugonjwa huu Ni hatari endapo usipozi gatia matibabu lakin pia Ugonjwa huu unaweza kumfanya mwanaume kupungua kwa nguvu zake za kiume.

2.Uzito mkubwa kupita kiasi; watu hupuuzia uzito lakini uzito Ni Ugonjwa ambao unaweza kukusababishia hatari nyingi za mwili na pia hupunguza nguvu za kiume.

3.Tabia ya kuangalia filamu au video za ngono (sex) hii pia Ni hatari kubwa ambayo humpelekea mwanaume kupoyeza au kupunguza nguvu za kiume.

4.tatizo la presha pia Ugonjwa huu husababishwa nguvu za kiume kupungua.

5.kujicchua wakati ukiwa kijana na hata ukubwani; kitendo Hilo Cha kujichua Ni kibaya Sana na hupelekea madhara ya maumivu ya mgongo pamoja na kiuno na pia kusababisha nguvu za kiume kupungua.

6.kujisaidi Damu na maumivu makali wakati wa kwenda haha kubwa (bawasili) Ugonjwa huu wa kujisaidia Damu nao Ni chanzo Cha kupunguza nguvu za kiume.

 

Mwisho;  ukiona Dalili Kama hizo zinajitokeza kwako Ni vuema kujua zaidi afya yako na pia Ni vizuri kuepuka kuangalia filamu au video za ngono, kuacha kujichua hasa kwa vijana wanakuwa, na mambo mengine mengi ambayo unajua kwamba yanaweza kukusababishia wewe kupungua kwa nguvu za kiume.



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Download App zetu hapa ujifunze zaidi       ðŸ‘‰    2 Tunakukaribisha kwenye Maktaba yetu       ðŸ‘‰    3 Madrasa kiganjani offline       ðŸ‘‰    4 Jifunze Fiqh    


Je una maswali, maoni ama ushauri, tutumie sms ✉ bofya hapa hapa, ama wasiliana nasi kwa WhatsApp bofya hapa



Post Nyingine


image Sababu za mimba kutoka
Post hii inahusu zaidi sababu za mimba kutoka, hili ni tatizo ambalo linawakumba wanawake wengi ambapo mimba utoka kabla ya kumfikisha mda wake, kwa kawaida Ili kawaida mimba nyingi utoka zikiwa na miezi chini ya Saba au wengine wanaweza kusema kwamba mimba utoka zikiwa na wiki ishilini na nne. Kwa hiyo zifuatazo ni baadhi ya sababu zinazochangia mimba kutoka. Soma Zaidi...

image Fahamu Ute unaotoka wakati wa ujauzito
Posti hii inahusu zaidi Ute unaotoka wakati wa ujauzito, kwa kawaida wakati wa ujauzito Kuna Ute ambao utoka na ni tofauti na kawaida pale mwanamke akiwa Hana mimba. Soma Zaidi...

image Mambo yanayosababisha nguvu za kiume kupungua
Posti hii inazungumzia kuhusiana na Dalili pamoja na mambo yanayosababisha nguvu za kiume kupungua kwa Wanaume Soma Zaidi...

image Sababu za mama kutokwa na damu nyingi baada ya kujifungua.
Posti hii inahusu zaidi sababu za mama kutokwa na damu nyingi baada ya kujifungua, hili ni tatizo ambalo uwapata akina Mama wengi wanapomaliza kujifungua kwa hiyo tutaweza kuziona sababu zinazosababishwa na tatizo hili. Soma Zaidi...

image Dalili za mimba katika mwezi wa kwanza
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za mimba katika mwezi was kwanza Soma Zaidi...

image Tabia za Ute wa siku za hatari kupata mimba au ovulation
Posti hii inahusu zaidi tabia mbalimbali za Ute wa ovulation kwa sababu Ute huu huwa tofauti na Ute mwingine kwa sababu ya kuwepo kwa tabia zake za kipekee kama tutakavyoona. Soma Zaidi...

image Dalili za kupasuka kwa mfuko wa uzazi.
Posti hii inahusu zaidi dalili za kupasuka kwa mfuko wa uzazi,ni Dalili ambazo ujitokeza kwa Mama ambaye anakuwa amepasuka mfuko wa kizazi. Soma Zaidi...

image Fahamu mtoto aliyetanguliza matako wakati wa kuzaliwa
Posti hii inahusu zaidi mtoto aliyetanguliza matako wakati wa kuzaliwa, kwa kawaida tunajua kwamba mtoto wakati wa kuzaliwa ni lazima atangulize kichwa ila Kuna kipindi mtoto anatanguliza matako, kuna aina nne za mtoto kutanguliza matako. Soma Zaidi...

image Kuwepo kwa maziwa wakati wa ujauzito.
Posti hii inahusu zaidi kuwepo kwa maziwa kwa akina Mama wakati wa ujauzito ni kawaida kwa sababu ya kuzaliwa kwa homoni ambayo usaidia kutoa maziwa. Soma Zaidi...

image Njia za kiasili zilizotumika zamani kqtika kupima ujauzito
Somo hili linakwenda kukuletea njia za asili walizotumia zamani katika kupima ujauzito Soma Zaidi...