Imani potofu kuhusu uzazi wa mpango
Post hii inahusu zaidi imani potofu kuhusu uzazi wa mpango, ni imani walizonazo Watu kuhusu matumizi ya uzazi wa mpango.
Imani potofu kuhusu uzazi wa mpango.
1.watu wengi wanaamini juwa njia za uzazi wa mpango ni kwa ajili ya wanawake kwa hiyo wanaume hawapaswi kuingilia ndoa maana unakuta wanawake ndio wanaenda kwenye uzazi wa mpango hali hiyo inamfanya mwanamke peke yake kupanga mwenyewe idadi ya watoto anaiwapenda bila kushirikisha mwanaume
2.Watu wanaamini kubwa uzazi wa mpango inapoteza hamu ya tendo la ndoa na hivyo Watu wengi wameacha kutumia kondomu uingiliana hivyo hivyo hivyo na kusababisha maambukizi ya virus vya ukimwi na Magonjwa ya ngono kwa sababu ya kuwepo kwa imani potofu.
3. Kuna wengine wanadhibiti kusema kwamba uzazi wa mpango usababisha ugumba kitu ambacho si kweli kwa sababu wapo watu wengi wametumia uzazi wa mpango na bado wanaendelea kupata watoto kwa kadiri wanavyotaka.
4. Kwamba kondomu inaweza kupotea kwenye via vya uzazi wa mama, hiki ni kitu ambacho hakiwezejani kwa sababu ukiangalia maumbile ya mama kondomu haiwezi kupotea kwa kiwango hicho .
5.Kuna wengine wanaamini kubwa njia za uzazi wa mpango zinaweza kuleta madhara makubwa na kusababisha vifo kwa akina Mama , ni sawa madhara yapo ila hayawezi kufikia kiasi cha kutoa uhai wa mama.
6.Njia za uzazi wa mpango usababisha kupata mtoto mfu kwa hiyo kupata mtoto mfu sio kwa sababu ya uzazi wa mpango bali ni sababu nyingine nyingi ambazo zinaweza kuchangia hilo sio kweli.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 kitabu cha Simulizi 👉2 Madrasa kiganjani 👉3 Bongolite - Game zone - Play free game 👉4 Kitau cha Fiqh 👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina
Post zinazofanana:
Chanzo cha tatizo la mvurugiko wa hedhi.
Posti hii inahusu zaidi chanzo cha mvurugiko wa hedhi, Kuna kipindi hedhi uvurugika kabisa, pengine unaweza kupata hedhi mara mbili kwa mwezi au kukosa au pengine siku kuwa zaidi ya tano mpaka Saba au kuwa chache, hali hii utokea kwa sababu mbalimbali tut
Soma Zaidi...Mishipa ya machozi kufunga kwa mtoto.
Posti inahusu nzaidi kufunga kwa mishipa ya machozi ya mtoto kwa kawaida mishipa ya mtoto inapaswa kufunguka baada ya mwaka mmoja lakini kwa wengine ubaki imefungwa hata baada ya mwaka mmoja na kusababisha madhara mbalimbali kwa mtoto.
Soma Zaidi...Upungufu wa homoni ya cortisol
Posti hii inahusu zaidi upungufu wa homoni hii ya cortisol,hii ni homoni ambayo utokana na tezi glang(adrenal gland) kufanya kazi kupitiliza hali ambayo mara nyingi husababishwa na msongo wa mawazo wa mda mrefu, yaani wale watu ambao mda mwingi huwa wenye
Soma Zaidi...NAMNA YA KUITAMBUA SIKU HATARI YA KUPATA MIMBA (UJAUZITO)
SIKU YA KUPATA UJAUZITO Mimba hutokea pindi mbegu ya kiume (sperm) inapokutana na yai la mwanamke (ova) na kuungana kwa pamoja kutengeneza selli moja iitwayo zygote.
Soma Zaidi...Zijue mbegu za kiume zilizo bora.
Posti hii inahusu zaidi mbegu ambazo ni nzima na ambazo zina sifa ya kutungisha mimba kwa hiyo mbegu hizi utazigundua kwa kuwa na sifa zifuatazo.
Soma Zaidi...Fahamu dawa ya tetracycline katika kupambana na bakteria
Post hii inahusu zaidi dawa ya tetracycline katika kupambana na bakteria,ni mojawapo ya antibiotics au anti bacteria ambayo upambana na bakteria kama tutakavyoona hapo mbeleni.
Soma Zaidi...