Post hii inahusu zaidi imani potofu kuhusu uzazi wa mpango, ni imani walizonazo Watu kuhusu matumizi ya uzazi wa mpango.
Imani potofu kuhusu uzazi wa mpango.
1.watu wengi wanaamini juwa njia za uzazi wa mpango ni kwa ajili ya wanawake kwa hiyo wanaume hawapaswi kuingilia ndoa maana unakuta wanawake ndio wanaenda kwenye uzazi wa mpango hali hiyo inamfanya mwanamke peke yake kupanga mwenyewe idadi ya watoto anaiwapenda bila kushirikisha mwanaume
2.Watu wanaamini kubwa uzazi wa mpango inapoteza hamu ya tendo la ndoa na hivyo Watu wengi wameacha kutumia kondomu uingiliana hivyo hivyo hivyo na kusababisha maambukizi ya virus vya ukimwi na Magonjwa ya ngono kwa sababu ya kuwepo kwa imani potofu.
3. Kuna wengine wanadhibiti kusema kwamba uzazi wa mpango usababisha ugumba kitu ambacho si kweli kwa sababu wapo watu wengi wametumia uzazi wa mpango na bado wanaendelea kupata watoto kwa kadiri wanavyotaka.
4. Kwamba kondomu inaweza kupotea kwenye via vya uzazi wa mama, hiki ni kitu ambacho hakiwezejani kwa sababu ukiangalia maumbile ya mama kondomu haiwezi kupotea kwa kiwango hicho .
5.Kuna wengine wanaamini kubwa njia za uzazi wa mpango zinaweza kuleta madhara makubwa na kusababisha vifo kwa akina Mama , ni sawa madhara yapo ila hayawezi kufikia kiasi cha kutoa uhai wa mama.
6.Njia za uzazi wa mpango usababisha kupata mtoto mfu kwa hiyo kupata mtoto mfu sio kwa sababu ya uzazi wa mpango bali ni sababu nyingine nyingi ambazo zinaweza kuchangia hilo sio kweli.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu maumivu ya uume baada ya tendo la ndoa
Soma Zaidi...Nitakujulisha siku ya kupata mimba na sifa zake, na namna ya kuweza kuitafuta
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mambo muhimu kwa wanawake kabla ya kubeba mimba,Ni mambo ya kuzingatia ili mama akija kubeba mimba awe mzima kimwili, ki afya na kisaikolojia na hivyo hivyo Mtoto atakayezaliwa atakuwa salama.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi uchafu unaotoka ukeni na rangi zake, kwa kawaida ukeni utolewa uchafu, uchafu huo unaweza kuwa kawaida na unaweza kuwa na rangi mbalimbali kutokana na kuwepo kwa Maambukizi.
Soma Zaidi...kama pumbu moja ni kubwa uliko jingine post hii ni kwa ajili yako. Hapa tutakwend akuangalia vinavyoweza kusababisha korodani moja kuw akubwa zaidi ya lingine
Soma Zaidi...Ujauzito unaweza kutoka kwa sababu nyingi kama maradhi, madawa, vyakula na ajali. Unawezakutoa mimba bila kujuwa amakwakujuwa. Damu kutoka ni moja ya dalili za kutoka kwa mimba hata hivyo maumivu ya tumbo huweza kuandamana na damu hii.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa uzazi wa mpango kwa watoto, sio akina Mama peke yao wanaofaidika na uzazi wa mpango vile vile na watoto wanafaidika na uzazi wa mpango kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dalili ambazo zilijitokeza zinaweza kusababisha ugumba hasa kwa wanawake, kwa hiyo ni vizuri kabisa kuwa makini kwa Dalili hizi hasa kwa wadada, kama kuna uwezekano wa matibabu tibu mapema ili kuepuka tatizo la kuwa mgumba.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu kushiriki tendo la ndoa wakati wa ujauzito faida na hasara zake
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi Ute unaotoka wakati wa ujauzito, kwa kawaida wakati wa ujauzito Kuna Ute ambao utoka na ni tofauti na kawaida pale mwanamke akiwa Hana mimba.
Soma Zaidi...