Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kuondoa tatizo la nguvu za kiume
JE BADO UNASUMBULIWA NA NGUVU ZA KIKUME?
Kama njia za hapo juu bado hazijakusaidia, sasa ni muda wa kutumia dawa na kuonana na mtaalamu wa afya ya mahusiano. Kama bado umejaribu njia zilizotajwa hapo juu bado hali haina matumaini tu,ia tena njia hi hapa chini:
1.Punguza usito wako
2.Punguza kitambi
3.Kama unasumbuliwa na presha tafuta njia za kudhibiti presha
4.Kama ni mgonjwa wa kisukari tumia dawa vyema ili kudhibiti kisukari
5.Ongea na mshauri wa afya ya mahusiano
6.Punguza kula vyakula vyenye mafuta kwa wingi
7.Punguza stress na misongo ya mawazo
8.Kama unapiga punyeto wacha kabisa
9.Wacha kuangalia picha za uchi kama unaangaliaga.
10.Ongea na daktari kuusu swala la homoni huwenda kusna shida katika mfumo wa homoni
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
 Posti hii inazungumzia kuhusiana na kuvimba kwa ovari kunakosababishwa na maambukizo ya bakteria na kawaida huweza kusababishwa na magonjwa sugu katika Maambukizi ya mfumo wa Uzazi wa mwanamke.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa ugumu wa choo na tiba yake kwa wajawazito, ni ugonjwa unaowapata sana akina mama wajawazito na uisha tu pale Mama anapojifungua kwa hiyo tunapaswa kujua wazi sababu za ugumu wa choo na tiba yake kwa wajawazito.
Soma Zaidi...Inatakiwa angalau nafasivkati ya mtoto na mtoto wapishane miaka miwili.
Soma Zaidi...Ujauzito unaweza kutoka kwa sababu nyingi kama maradhi, madawa, vyakula na ajali. Unawezakutoa mimba bila kujuwa amakwakujuwa. Damu kutoka ni moja ya dalili za kutoka kwa mimba hata hivyo maumivu ya tumbo huweza kuandamana na damu hii.
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na huduma kwa mama wajawazito na waliojifungua.
Soma Zaidi...PEP Ni dawa ambazo utumiwa na watu wanaojamiiana na watu wenye virus vya ukimwi ila wenyewe hawawezi kupata kwa sababu ya kutumia dawa hizo.
Soma Zaidi...Miongoni mwa dalili zamwanzo za ujauzito ni maumivu ya tumbo ama kupatwa na damu kidogo. Mabadiliko ya ute ute sehemu za siri ni katika baadhi ya dalili. Endelea na makala hii utajifunza zaidi.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi huduma kwa mama ambaye mimba imetoka moja kwa moja, aina hiyo ya mimba kwa kitaalamu huitwa complete abortion.
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukutania madhara ya kuoiga punyeto kwa afya yako.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sifa za Ute wa ovulation, ni Ute ambao utokea siku za ovulation yaani siku ambazo ni tayari kwa kubeba mimba, yaani siku za upevishaji wa yai.
Soma Zaidi...