Mbu ni katika wadudu ambao husababisja vifo vya maelfu kila mwaka, na mamilioni ya watu wanaathirika na maradhi yaletwayo na mbu.
Mbu ni katika wadudu ambao husababisja vifo vya maelfu kila mwaka, na mamilioni ya watu wanaathirika na maradhi yaletwayo na mbu. Mbu bu katika wadudu wadogo ambao wamechukuwa nafasi kubwa katika tafiti za sayansi. Maeneo mengi ya duniani yamekuwa yakisumbuliwa na maradhi haya.
Mbu hupatikana sana katika maeneo yenye joto. Katika makala hii tutakwenda kueleza maradhi ambayo huletwa na mbu na hususani tutakwenda kuona pia kwa ndani kuhusu ugonjwa wa malaria, na maradhi mengine kama vyanzo vyao, dalili zao na athari zao kiafya.
Makala hii ni katika makala zetu za kiafya ambazo zimeangalia katika yale ambayo yameenea kwenye jamii katika maradhi. Tunatarajia msomaji wetu ukimaliza makala hii utakuwa na ufahamu wa kutosheleza kuhusu mbu, na maradhi ambayo anaambukiza.
Ukiwa na maoni ama mawazo, hakikisha kuwasiliana nasi kwa haraka zaidi kupitia mawasiliano yatu hapo chini. Pia kama unahitaji kutia sauti makala zetu hizi wasiliana nasi:-
Mawasiliano:-
Mwandishi: Rajabu Athuman
Msambazaji: www.bongoclass.com
Phone: +255675255927
Email: admin@bongoclass.com
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Muda ambao maambukizi ya virusi vya ukimwi kuonyesha dalili unaweza kutofautiana kutika mtu hadi mwingine.
Soma Zaidi...VIPIMO VYA MINYOO Haitoshelezi kuwa na dalili pekee ukathibitisha kuwa una minyoo.
Soma Zaidi...Anataka kujuwa dalili za awali za kujuwa kuwa umeathirika na UKIMWI
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na Ugonjwa wa Brucellosis ni maambukizi ya bakteria ambayo huenea kutoka kwa wanyama hadi kwa watu mara nyingi kupitia maziwa ambayo hayajasafishwa au kuchemshwa vizuri na bidhaa zingine za maziwa. Mara chache zaidi, ba
Soma Zaidi...Je unasumbuliwa na tatizo la kukosa nguvu, kuchoka ama kuhisi viungi vinelegea. Endelea na post hii.
Soma Zaidi...Coma ni hali ya kupoteza fahamu kwa muda mrefu ambayo inaweza kusababishwa na matatizo mbalimbali Jeraha la Kichwa, Kiharusi, Uvimbe kwenye ubongo, ulevi wa dawa za kulevya au pombe, au hata ugonjwa wa msingi,
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali ambazo zinaweza kutumika ili kuweza kuepuka Ugonjwa wa raundi.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa vericose veini, hili ni tatizo ambalo utokea katika mzunguko wa damu hasa kwenye miguu.
Soma Zaidi...