MJUE MBU, NA YAJUWE MARADHI MAKUU MATANO (5) HATARI YANAYOAMBUKIZWA NA MBU, malaria kukamata namba moja kwenye maradhi hayo)
Mbu ni katika wadudu ambao husababisja vifo vya maelfu kila mwaka, na mamilioni ya watu wanaathirika na maradhi yaletwayo na mbu.
UTANGULIZI
Mbu ni katika wadudu ambao husababisja vifo vya maelfu kila mwaka, na mamilioni ya watu wanaathirika na maradhi yaletwayo na mbu. Mbu bu katika wadudu wadogo ambao wamechukuwa nafasi kubwa katika tafiti za sayansi. Maeneo mengi ya duniani yamekuwa yakisumbuliwa na maradhi haya.
Mbu hupatikana sana katika maeneo yenye joto. Katika makala hii tutakwenda kueleza maradhi ambayo huletwa na mbu na hususani tutakwenda kuona pia kwa ndani kuhusu ugonjwa wa malaria, na maradhi mengine kama vyanzo vyao, dalili zao na athari zao kiafya.
Makala hii ni katika makala zetu za kiafya ambazo zimeangalia katika yale ambayo yameenea kwenye jamii katika maradhi. Tunatarajia msomaji wetu ukimaliza makala hii utakuwa na ufahamu wa kutosheleza kuhusu mbu, na maradhi ambayo anaambukiza.
Ukiwa na maoni ama mawazo, hakikisha kuwasiliana nasi kwa haraka zaidi kupitia mawasiliano yatu hapo chini. Pia kama unahitaji kutia sauti makala zetu hizi wasiliana nasi:-
Mawasiliano:-
Mwandishi: Rajabu Athuman
Msambazaji: www.bongoclass.com
Phone: +255675255927
Email: admin@bongoclass.com
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 web hosting 👉2 ai web app 👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉4 Dua za Mitume na Manabii 👉5 Madrasa kiganjani 👉6 Simulizi za Hadithi Audio
Post zinazofanana:
Maambukizi kwenye mrija wa mkojo(urethritis )
Posti hii inahusu zaidi maambukizi kwenye mrija wa mkojo, maambukizi haya usababishwa na virusi na bakteria.
Soma Zaidi...Ishara na dalili za saratani ya mdomo.
Posti hii inaonyesha dalili na mabo ya hatari kwenye ugonjwa wa saratani ya mdomon.Saratani ya mdomo inarejelea Kansa inayotokea katika sehemu zozote zinazounda mdomo. Saratani ya mdomo inaweza kutokea kwa: Midomo, Fizi, Lugha, Nd
Soma Zaidi...Vyakula 6 vya Asili Vinavyoongeza Nguvu za Kiume
Muhtasari (Executive Summary) ​Upungufu wa nguvu za kiume ni changamoto inayowasumbua wanaume wengi, mara nyingi ikisababishwa na mtindo wa maisha, msongo wa mawazo, au mzunguko mdogo wa damu. Badala ya kukimbilia dawa za kemikali zenye madhara, makala haya yanachambua vyakula asili vinavyosaidia kuboresha mzunguko wa damu, kuongeza vichocheo vya testosterone, na kurudisha nishati mwilini.
Soma Zaidi...Ugonjwa wa dondakoo
Dondakoo ni ugonjwa mbaya unaosababishwa na sumu inayotengenezwa na bakteria. Husababisha mipako nene nyuma ya pua au koo ambayo inafanya kuwa ngumu kupumua au kumeza. Inaweza kuwa mauti.
Soma Zaidi...Fahamu Ugonjwa wa Brucellosis
Posti hii inazungumzia kuhusiana na Ugonjwa wa Brucellosis ni maambukizi ya bakteria ambayo huenea kutoka kwa wanyama hadi kwa watu mara nyingi kupitia maziwa ambayo hayajasafishwa au kuchemshwa vizuri na bidhaa zingine za maziwa. Mara chache zaidi, ba
Soma Zaidi...Namna ya kuzuia maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo
Posti hii inahusu zaidi namna ya kuzuia maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo, hizi ni njia ambazo zinapaswa kufuatwa ili kutokomeza kabisa maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo.
Soma Zaidi...