Posti hii inahusu zaidi dalili za jeraha kali kwenye ubongo, ni majeraha ambayo utokea kwenye ubongo pale ambapo mtu anapata ajali au amepigwa na kitu chochote kigumu kichwni, zifuatazo ni dalili za jeraha kali kwenye ubongo
1. Maumivu makali ya kichwa utokea ambayo ni tofauti na ya jeraha la kawaida, maumivu hayo uweza kudumu zaidi ya maasaa ishilini na manne ingawa bado mgonjwa anakuwa abatumia madawa ya kupunguza maumivu, mabadiliko katika kuona pengine mgonjwa uona kwa shida kubwa na hata kushindwa kufungua macho, na pengine mgonjwa anashindwa kabisa kusimama hali hii usababishwa na kushindwa kufanya kazi kwa mfumo wa nevu unaoelekea kwenye ubongo.
2.Kubadilika kwa mapigo ya moyo.
Kwa sababu ya neva za kwenye ubongo zinakuwa hazifanyi kazi vizuri Kuna mabadiliko yanaweza kutokea kwa mgonjwa ambayo yanahusiana na mapigo ya moyo, pengine mapigo ya moyo uenda mbio sana, pengine uenda taratibu sana kwa hiyo mapigo hayo yanakuwa hayopo kwenye mfumo mmoja wa kwenye mbio au taratibu Bali uchanganya mgonjwa wa namna hii anapaswa kumpelekwa hospitalin mara Moja kwa huduma zaidi.
3.Vile vile na upumuaji wa mgonjwa ubadilika.
Upumuaji ubadilika kwa Sababu mgonjwa upumua haraka haraka na kwa mda fulani mgonjwa upumua pole pole au pumzi huwa fupi na pengine huwa ndefu ,kama una mgonjwa wako na amepata hali ya namna hii unapaswa kumpeleka hospitalini mara Moja Ili kuweza kupatiwa matibabu zaidi, hali hii usababishwa na mshutuko kwenye ubongo ambao ufanya na mifumo mingine mwilini kubadilika kwa hiyo mgonjwa huyu asibakizwae nyumbani.
4.Damu au maji maji yasiyo na rangi kutoka masikioni au puani.
Hali hii utokea hasa kwa wagonjwa wenye majeraha makali kwenye ubongo kwa Sababu Kuna sehemu ambazo zinakuwa zimearibika kwa ndani ambazo upelekea kutoa maji ambayo utokeazea kupitia kwenye masikio au pengine kwenye pua, kwa hiyo baada ya kuona dalili kama hii tutambue kuwa jeraha kwenye ubongo ni kali na mgonjwa anapaswa kupata matibabu ya haraka.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi sababu mbalimbali,za miguu kufa ganzi,ni tatizo ambalo uwakumba watu wengi na walio wengi hawafahamu kabisa ni sababu zipi ambazo uleta tatizo hili.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mambo ambayo unapaswa kufanya kama una tatizo la kiungulia.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi ugonjwa wa kaswende wakati wa ujauzito, kaswende inaweza kukaa kwa mtu zaidi ya miaka mingi bila kuleta madhara ya moja kwa moja lakini kadiri ya siku zinavyokwenda madhara utokea hasa wakati wa ujauzito, madhara hayo umwadhiri mtot
Soma Zaidi...Posti hii inaelezea kuhusiana na Ugonjwa wa uchovu sugu ni ugonjwa tata unaoonyeshwa na uchovu mwingi ambao hauwezi kuelezewa na hali yoyote ya matibabu. Uchovu unaweza kuwa mbaya zaidi kwa shughuli za kimwili au kiakili, lakini haiboresha kwa kupumzika
Soma Zaidi...Afya ya akili ni hali ya mtu kuwa na akili timamu kiroho,kimwili ,na Kwa mazingira yake yote yaliyomzunguka na anaweza kuamua kitu akiwa katika ukamilifu, zifuatazo ni sababu za kuwa na Afya ya akili.
Soma Zaidi...Watu wengi wamekuwa na mawazo kuwa ili nipate ukimwi ninatakiwa nishiriki ngono zembe na aliyeathirika mara ngapi? Majibu ya swali hili ni mafupi tu, ni kuwa unaweza kuathirika kwa ngono zembe ya siku moja tu ndani ya dakika chache. Lakini jambo la kuzing
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi watu walio kwenye hatari ya kupata UTI, ni watu ambao wako kwenye hatari ya kupata ugonjwa wa UTI kwa sababu ya mazingira mbalimbali kama ifuayavyo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi maambukizi kwenye mrija wa mkojo, maambukizi haya usababishwa na virusi na bakteria.
Soma Zaidi...Posti hii inakwenda kukuletea dalili za fangasi wa sehemu za Siri kwa wanaume
Soma Zaidi...