Menu



Msaada kwa aliye na uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo.

Posti hii inahusu zaidi msaada kwa aliye na uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo, ni huduma maalumu ambayo utolewa kwa mtu ambaye ana uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo. Zifuatazo ni huduma maalumu kwa mwenye uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo.

1. Kwanza kabisa tunapaswa kupunguza maumivu kwa mgonjwa mwenye uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo. Hii ni hatua ya kwanza kabisa ambapo mgonjwa mwenye tatizo la uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo upewa dawa ya maumivu Ili kupunguza maumivu ambayo anayasikia kwa sababu mwenye uvimbe mkubwa sana na ambao umetumia mda mrefu utokwa na damu na wakati wa kukojoa mkojo uhisi maumivu makali kwa hiyo Tunapaswa kuondoa maumivu kwa mtu Mwenye  tatizo hili na baadae kuendelea na matibabu mengineyo.

 

2. Kuhakikisha kuwa mgonjwa anakojoa sana Ili kuondoa uchafu kwenye kibofu Cha mkojo.

Kwa kumpatia mgonjwa vitu mbalimbali vya kunywa kama vile maji mengi ya kunywa juice na kila kitu ambacho uweza kuingia kama kimiminika ambacho umfanya mgonjwa aweze kukojoa sana kwa Sababu mgonjwa mwenye tatizo kwenye Cha mkojo akikojoa sana na uchafu unatolewa na huduma nyingine zinaweza kuendelea Huku akitumia dawa za maumivu na akiendekea kunywa maji. Kwa hiyo maji na yenyewe utumika kama dawa kwa ajili ya kusafisha uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo Ili kupunguza kiwango Cha maambukizi.

 

3. Kumpatia mgonjwa dawa ambazo zimedhibitidhwa na daktari.

 Baada ya kumpatia dawa za kupunguza maumivu na mgonjwa akiwa anaendelea kunywa maji, vipimo vikimalizika mgonjwa upewa dawa zile alizoagiza daktari.

 

4. Kutoa Elimu ya kutosha kwa jamii kuhusu kuwepo kwa ugonjwa wa uvimbe kwenye kibofu, na kuwa as mbia watu namna ya kuzuia maambukizi ya ugonjwa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea

Ndio     Hapana     Save post
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Views 1699

Share On:

Facebook WhatsApp

Post zinazofanana:

Sababu za kuvimba na maumivu kwenye korodani moja au zote mbili

Post yetu ya Leo inaenda kutufundisha kuhusiana na uvimbe wa korodani moja au ambayo kitaalamu huitwa EPIDIDYMITIS. EPIDIDYMITIS ni ugonjwa unaoathiri mfumo wa kiume wa uzazi. Epididymis ni mrija (tube) uliyoko nyuma ya korodani ambayo mbegu za kiume

Soma Zaidi...
Sababu za Maumivu ya shingo

Posti hii inazungumzia kuhusiana na maumivu ya shingo na ndani yake kunasababu zinazopelekea shingo kupata maumivu.

Soma Zaidi...
Ugonjwa wa kiseyeye na dalili zake

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu ugonjwa wa kiseyeye na dalili zake

Soma Zaidi...
Ukiwa na aleji , afu kupata muwasho korodani unapo jikuna unga kutoka nayo fangasi?

Swali langu: Ukiwa na areji , afu kupata muwasho korodani unapo jikuna unga kutoka nayo fangasi?

Soma Zaidi...
Maradhi ya Pumu yanatokeaje?

Nini hasa kinatokea mpaka mtu anakuwa na pumu, ama anashambuliwa na pumu. Makala hii itakwenda kukufundisha jambo hili

Soma Zaidi...
Sababu za mdomo kuwa mchungu

Hapa utajifunza sababu zinzopelekea mdomo kubadilika ladha na kuwa mchungu, ama mchachu.

Soma Zaidi...
VIDONDA VYA TUMBO SUGU

VIDONDA VYA TUMBO SUGU Matibabu ya vidonda vya tumbo mara nyingi hufanikiwa, na kusababisha uponyaji wa vidonda.

Soma Zaidi...
dalili za mwanzo za ukimwi kwa mwanamke

Katika makala hii utakwenda kuzijuwa baadhi ya dalili za ukimwi ama HIV kwa mwanamke

Soma Zaidi...
Maradhi yatokanayo na fangasi

Somo hili linakwenda kukuletea baadhi ya maradhi yatokanayo na fangasi

Soma Zaidi...
Sababu za kutokea kwa maumivu ya jino

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za kutokea kwa maumivu ya jino

Soma Zaidi...