picha

Msaada kwa aliye na uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo.

Posti hii inahusu zaidi msaada kwa aliye na uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo, ni huduma maalumu ambayo utolewa kwa mtu ambaye ana uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo. Zifuatazo ni huduma maalumu kwa mwenye uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo.

1. Kwanza kabisa tunapaswa kupunguza maumivu kwa mgonjwa mwenye uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo. Hii ni hatua ya kwanza kabisa ambapo mgonjwa mwenye tatizo la uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo upewa dawa ya maumivu Ili kupunguza maumivu ambayo anayasikia kwa sababu mwenye uvimbe mkubwa sana na ambao umetumia mda mrefu utokwa na damu na wakati wa kukojoa mkojo uhisi maumivu makali kwa hiyo Tunapaswa kuondoa maumivu kwa mtu Mwenye  tatizo hili na baadae kuendelea na matibabu mengineyo.

 

2. Kuhakikisha kuwa mgonjwa anakojoa sana Ili kuondoa uchafu kwenye kibofu Cha mkojo.

Kwa kumpatia mgonjwa vitu mbalimbali vya kunywa kama vile maji mengi ya kunywa juice na kila kitu ambacho uweza kuingia kama kimiminika ambacho umfanya mgonjwa aweze kukojoa sana kwa Sababu mgonjwa mwenye tatizo kwenye Cha mkojo akikojoa sana na uchafu unatolewa na huduma nyingine zinaweza kuendelea Huku akitumia dawa za maumivu na akiendekea kunywa maji. Kwa hiyo maji na yenyewe utumika kama dawa kwa ajili ya kusafisha uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo Ili kupunguza kiwango Cha maambukizi.

 

3. Kumpatia mgonjwa dawa ambazo zimedhibitidhwa na daktari.

 Baada ya kumpatia dawa za kupunguza maumivu na mgonjwa akiwa anaendelea kunywa maji, vipimo vikimalizika mgonjwa upewa dawa zile alizoagiza daktari.

 

4. Kutoa Elimu ya kutosha kwa jamii kuhusu kuwepo kwa ugonjwa wa uvimbe kwenye kibofu, na kuwa as mbia watu namna ya kuzuia maambukizi ya ugonjwa

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2021/12/18/Saturday - 10:01:26 pm Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 2435

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 web hosting    👉4 ai web app    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 Bongolite - Game zone - Play free game   

Post zinazofanana:

Dalilili za mimba Kuharibika

Kuharibika kwa mimba ni upotevu wa hiari wa ujauzito kabla ya wiki ya 20. Takriban asilimia 10 hadi 20 ya mimba zinazojulikana huisha kwa kuharibika kwa mimba. Lakini idadi halisi labda ni kubwa zaidi kwa sababu mimba nyingi hutokea mapema sana katika u

Soma Zaidi...
Jinsi ya kujilinda na maradhi ya ini

Hapa nitakueleza namna ambavyounaweza kupunguza hatari ya kupata maradhi ya ini. Kwa njia hizi unaweza kujikina wewe na wengineo na maradhi haya hatari ya ini.

Soma Zaidi...
Fahamu Ugonjwa wa hepatitis A

Hepatitis A ni ugonjwa wa kuambukiza wa ini unaosababishwa na virusi vya Hepatitis A. Virusi ni mojawapo ya aina kadhaa za virusi vya Hepatitis vinavyosababisha kuvimba na kuathiri uwezo wa ini wako kufanya kazi.

Soma Zaidi...
je..! naweza kuambukizwa fangasi kwa kujamiiana na mtu mwenye fangasi?

Je ukifanya mapenz na mtu mweny aina hi ya fangasi na akawa anayo maambukizi ya ukimwi.

Soma Zaidi...
Dalili za mtoto Mwenye UTI

Posti hii inahusu zaidi dalili za mtoto Mwenye UTI,ni dalili ambazo uwapata watoto wadogo chini ya umri wa miaka mitano.

Soma Zaidi...
Dalili za saratani ya mapafu

Saratani ya Mapafu ni aina ya Kansa inayoanzia kwenye mapafu. Mapafu yako ni viungo viwili vya sponji kwenye kifua chako ambavyo huchukua oksijeni unapovuta na kutoa kaboni dioksidi unapotoa nje.

Soma Zaidi...
Samaani nilikuwa nauriza ninasumburiwa na fanga ya mdomoni naomba ushauri

Fangasi mdomoni wanaweza kuwa tatizo endapo hawatatibiwa mapema. Wanaweza kuongeza majeraha kwenye kinywa.

Soma Zaidi...
Yaani minasumbuliwa na mgongo kuuma pia kuchoka mgongo na homa zisizo isha

Maumivu ya mgongo yanaweza kuwa ni dalili inayoonyesha tatizo fulani la kiafya ikiwemo magonjwa au majeraha.

Soma Zaidi...
Madhara ya maambukizi kwenye tumbo

Posti hii inahusu zaidi madhara ya maambukizi kwenye tumbo,hasa pale ambapo mgonjwa hakutibiwa

Soma Zaidi...
Dalili na ishara za Ugonjwa wa kuambukiza.

Magonjwa ya kuambukiza ni maradhi yanayosababishwa na vijidudu kama vile bakteria, virusi, fangasi au vimelea. Viumbe vingi vinaishi ndani na kwenye miili yetu. Kwa kawaida hazina madhara au hata kusaidia, lakini chini ya hali fulani, baadhi ya viumbe

Soma Zaidi...