Posti hii inahusu zaidi msaada kwa aliye na uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo, ni huduma maalumu ambayo utolewa kwa mtu ambaye ana uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo. Zifuatazo ni huduma maalumu kwa mwenye uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo.
1. Kwanza kabisa tunapaswa kupunguza maumivu kwa mgonjwa mwenye uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo. Hii ni hatua ya kwanza kabisa ambapo mgonjwa mwenye tatizo la uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo upewa dawa ya maumivu Ili kupunguza maumivu ambayo anayasikia kwa sababu mwenye uvimbe mkubwa sana na ambao umetumia mda mrefu utokwa na damu na wakati wa kukojoa mkojo uhisi maumivu makali kwa hiyo Tunapaswa kuondoa maumivu kwa mtu Mwenye tatizo hili na baadae kuendelea na matibabu mengineyo.
2. Kuhakikisha kuwa mgonjwa anakojoa sana Ili kuondoa uchafu kwenye kibofu Cha mkojo.
Kwa kumpatia mgonjwa vitu mbalimbali vya kunywa kama vile maji mengi ya kunywa juice na kila kitu ambacho uweza kuingia kama kimiminika ambacho umfanya mgonjwa aweze kukojoa sana kwa Sababu mgonjwa mwenye tatizo kwenye Cha mkojo akikojoa sana na uchafu unatolewa na huduma nyingine zinaweza kuendelea Huku akitumia dawa za maumivu na akiendekea kunywa maji. Kwa hiyo maji na yenyewe utumika kama dawa kwa ajili ya kusafisha uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo Ili kupunguza kiwango Cha maambukizi.
3. Kumpatia mgonjwa dawa ambazo zimedhibitidhwa na daktari.
Baada ya kumpatia dawa za kupunguza maumivu na mgonjwa akiwa anaendelea kunywa maji, vipimo vikimalizika mgonjwa upewa dawa zile alizoagiza daktari.
4. Kutoa Elimu ya kutosha kwa jamii kuhusu kuwepo kwa ugonjwa wa uvimbe kwenye kibofu, na kuwa as mbia watu namna ya kuzuia maambukizi ya ugonjwa
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inazungumzia kuhusiana na Ugonjwa wa kisukari unaopelekea kukosa fahamu ni tatizo linalohatarisha maisha kisukari ambalo husababisha kupoteza fahamu. Ikiwa una kisukari, sukari ya juu ya damu (hyperglycemia) au sukari iliyopungua sana (hypoglyc
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali za kuweza kupambana na fangasi za ukeni ili kuweza kujiepusha na madhara mbalimbali kwenye maisha ambayo ni pamoja na ugumba na Maambukizi kwenye via vya uzazi.
Soma Zaidi...Huu ni ugonjwa wa fangasi wanaosababishwa na mashambulizi ya fangani aia ya yeast waitwao candida.
Soma Zaidi...posti hii inazungumziaTetekuwanga . Tetekwanga(varisela) ni maambukizi ya virusi ambayo husababisha kuwasha, kama vile upele. Tetekuwanga huambukiza sana watu ambao hawajapata ugonjwa huo wala kupewa chanjo dhidi yake. Kabla ya chanjo ya mara kwa mara
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi maambukizi kwenye mrija wa mkojo, maambukizi haya usababishwa na virusi na bakteria.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi magonjwa ya moyo, kwa kawaida watu wakisikia habari za magonjwa ya moyo huwa hawaelewi yanakuwaje kuwaje, Leo nataka niwafahamishe kuhusu magonjwa ya moyo na sehemu mbalimbali zinazoathirika.
Soma Zaidi...Malaria inaweza kumpata mtu yeyote bila ya kujali mri.
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na was Uharibifu wa seli nyekundu za damu ambapo hujulikana Kama Ugonjwa wa Hemolytic uremic (HUS) ni hali inayotokana na uharibifu usio wa kawaida wa seli nyekundu za damu mapema. Mara tu mchakato huu unapoanza, seli nye
Soma Zaidi...Mashambulizi ya bacteria kwenye Ngozi hujitokeza sehemu yenye jeraha pia huonyesha wekundu wenye upele,Uvimbe na malengelenge.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi Ugonjwa wa uti wa mgongo, ni ugonjwa unaoshambulia sehemu inayofunika ubongo na pia sehemu ya spinal cord
Soma Zaidi...