Posti hii inahusu Maambukizi kwenye tumbo na kwenye utumbo mdogo,ni Maambukizi ambayo uwa kwenye tumbo na utumbo mdogo.
Maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo.
1.kwanza kabisa utumbo mdogo na tumbo kama kuna Maambukizi mgonjwa uhisi kichefuchefu na hatimaye kutapika hali hii utokea kwa sababu ya kuwepo kwa bakteria au virusi ambao usababisha maambukizi.
2.Dalili nyingine ni pamoja na kuharisha hata kaharisha damu kama maambukizi ni makubwa mno kwa hiyo tunapaswa kugundua kubwa maambukizi kama ni makubwa mgonjwa anapaswa kufikishwa hospitalini mara moja.
3.Dalili nyingine ni pamoja na maumivu chini ya tumbo, haya Maumivu uendana na kusokotwa kwa tumbo hii hali inaweza kudumu kwa mda kama hakuna kupona au nafuu yoyote mgonjwa anapaswa kupelekwa hospitalini mara moja.
4.Dalili nyingine ni kutapika nyingo
Hali hiii utokea pale mtu anapotapika na kumaliza kila kitu hatimaye anaweza kutapika hata nyongo kwa hiyo tunapaswa kuwahudumia mara moja wale wanaoonyesha dalili za hatari za kutapika.
5.Kwa hiyo tunapaswa kufahamu kutapika na kuharisha ni hatari kwa mgonjwa hasa kwa watoto hali hii ikitokea mgonjwa anapaswa kupelekwa hospitalini mara moja ili kuepuka hali ya kuishiwa kwa maji kwa hiyo kuishiwa maji ni hali ya hatari kwa maisha ya mwanadamu.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Post hii inahusu zaidi ugonjwa wa kuharisha, kuharisha ni kitendo Cha kupitisha kinyesi Cha maji chenye damu au kisichokuwa na damu
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi athari za ugonjwa wa Dondakoo,hali hii utokea iwapo ugonjwa haukutibiwa mapema au umetibiwa lakini bado Kuna matokea hasi ambayo yanaweza kujitokeza kama ifuayavyo.
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na ugonjwa ambao husababisha kuvimba kwa mishipa ya damu katika mwili wako wote. Ambao kitaalamu hujulikana Kama Behcet .
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi hatua au mbinu za kupambana na ugonjwa wa UTI kwa sababu ugonjwa huu umekuwa tishio kubwa kwa sasa kwa hiyo tunapaswa kutumia njia mbalimbali ili kuweza kupambana na Ugonjwa huu.
Soma Zaidi...Bila shaka umeshawahi kujiuliza kuwa je mate yanaambukiza HIV ama laa. Na kama hayaambukizi ni kwa sababu gani. Sio mate tu pia kuhusu jasho kama pia linaweza kuambukiza ukimwi ama HIV. Wapo pia wanajiuliza kuhusu mkojo kama unaweza kuambukizwa HIV. Kar
Soma Zaidi...Ugonjwa wa pumu ni moja katika magonjwa hatari yanayoweza kutokea kwa ghafla, na endapo itacheleweshwa kudhibitiwa inaweza sababisha athari mbaya zaidi
Soma Zaidi...Madhara ya ugonjwa wa akili yanaweza kuwa ya muda au ya kudumu. Unaweza pia kuwa na zaidi ya ugonjwa mmoja wa afya ya akili kwa wakati mmoja. Kwa mfano, unaweza kuwa na ulegevu na ugonjwa wa matumizi ya madawa ya kulevya.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi Maambukizi kwenye mifupa ambayo kwa kitaalamu huitwa Osteomyelitis, ni Maambukizi ambayo hutokea kwenye mifupa kwa sababu mbalimbali ambazo usababisha ugonjwa huu.
Soma Zaidi...