image

Maambukizi kwenye Tumbo na utumbo mdogo.

Posti hii inahusu Maambukizi kwenye tumbo na kwenye utumbo mdogo,ni Maambukizi ambayo uwa kwenye tumbo na utumbo mdogo.

Maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo.

1.kwanza kabisa utumbo mdogo na tumbo kama kuna Maambukizi mgonjwa uhisi kichefuchefu na hatimaye kutapika hali hii utokea kwa sababu ya kuwepo kwa bakteria au virusi ambao usababisha maambukizi.

 

2.Dalili nyingine ni pamoja na kuharisha hata kaharisha damu kama maambukizi ni makubwa mno kwa hiyo tunapaswa kugundua kubwa maambukizi kama ni makubwa mgonjwa anapaswa kufikishwa hospitalini mara moja.

 

3.Dalili nyingine ni pamoja na maumivu chini ya tumbo, haya Maumivu uendana na kusokotwa kwa tumbo hii hali inaweza kudumu kwa mda kama hakuna kupona au nafuu yoyote mgonjwa anapaswa kupelekwa hospitalini mara moja.

 

4.Dalili nyingine ni kutapika nyingo 

Hali hiii utokea pale mtu anapotapika na kumaliza kila kitu hatimaye anaweza kutapika hata nyongo kwa hiyo tunapaswa kuwahudumia mara moja wale wanaoonyesha dalili za hatari za kutapika.

 

5.Kwa hiyo tunapaswa kufahamu kutapika na kuharisha ni hatari kwa mgonjwa hasa kwa watoto hali hii ikitokea mgonjwa anapaswa kupelekwa hospitalini mara moja ili kuepuka hali ya kuishiwa kwa maji kwa hiyo kuishiwa maji ni hali ya hatari kwa maisha ya mwanadamu.





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1009


Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya     👉2 kitabu cha Simulizi     👉3 Madrasa kiganjani     👉4 Kitau cha Fiqh    

Post zifazofanana:-

Kichwa kinaniuma mbele sielewi nini
Zijuwe sababu za kuumwa nankichwa upande mmoja wa kichwa. Soma Zaidi...

Dalili za moyo kutanuka
Posti hii inahusu zaidi dalili mbalimbali ambazo zinaweza kujitokeza na kuonyesha kwamba moyo umetanuka. Soma Zaidi...

Magonjwa ya zinaa
Posti hii inahusu magonjwa ya zinaa, ni magonjwa yanayosambaa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine kwa njia ya kujamiiana pasipo kutumia kinga au kwa lugha nyingine tunaita ngono zembe. Soma Zaidi...

Ugonjwa wa kisonono, sababu zake nanjia za kujilinda.
Kisonono husababishwa na bakteria. Bakteria ya kisonono mara nyingi hupitishwa kutoka kwa mtu mmoja hadi mwingine wakati wa kujamiiana, ikiwa ni pamoja na kujamiiana kwa mdomo, mkundu au uke. Soma Zaidi...

Jinsi ya kuepuka minyoo
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kuiepuka minyoo Soma Zaidi...

Njia za kuzuia kiungulia
Somo hili linakwenda kukueleza baadhi ya njia za kuzuia kiungulia Soma Zaidi...

Fahamu aina mbalimbali za Magonjwa nyemelezi ya moyo
Posti hii inahusu zaidi aina mbalimbali za Magonjwa ya moyo,kwa kawaida tunajua wazi kuwa kuna moyo mmoja lakini moyo huo unaweza kushambuliwa na magonjwa kwa kila aina kwa mfano kuna Maambukizi kwenye mishipa ya moyo,au kubadilika kwa mapigo ya moyo na m Soma Zaidi...

Je utaweza kuambukiza HIV ukiwa unatumia PrEP?
Swali hili limeulizwa na mdau mmoja. Kuwa endapo mtu atafanya ngono zembe na akapata virusi je ataweza kuambukiza. Soma Zaidi...

dalili za mimba changa ndani ya wiki moja
Je na wewe ni katika ambao wanahitaji kujuwa dalili za mimba ndani ya wiki moja? kama ndio makala hii ni kwa ajili yako. Utakwenda kuona dalili za mwanzo sana za ujauzito toka siku za mwanzoni. Soma Zaidi...

Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Bawasili
Posti hii inahusu zaidi juu ya ugonjwa wa Bawasili, ni ugonjwa unaotokea kwenye njia ya haja kubwa hali ambayo upelekea kuwepo kwa uvimbe au nyama ambazo uonekana hadi nje, kwa lugha ya kitaalamu ujulikana kama haemorrhoid au pokea. Soma Zaidi...

MARADHI YA MOYO
Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote Soma Zaidi...

Madhara ya fangasi.
Posti hii inahusu zaidi madhara ya fangasi za ukeni kwa kawaida tunajua kubwa fangasi zikiingia kwenye uke usababisha madhara mbalimbali ambayo mengine yanaweza ya kudumu na mengine ya mda kama yametibiwa mapema. Soma Zaidi...