Posti hii inahusu Maambukizi kwenye tumbo na kwenye utumbo mdogo,ni Maambukizi ambayo uwa kwenye tumbo na utumbo mdogo.
Maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo.
1.kwanza kabisa utumbo mdogo na tumbo kama kuna Maambukizi mgonjwa uhisi kichefuchefu na hatimaye kutapika hali hii utokea kwa sababu ya kuwepo kwa bakteria au virusi ambao usababisha maambukizi.
2.Dalili nyingine ni pamoja na kuharisha hata kaharisha damu kama maambukizi ni makubwa mno kwa hiyo tunapaswa kugundua kubwa maambukizi kama ni makubwa mgonjwa anapaswa kufikishwa hospitalini mara moja.
3.Dalili nyingine ni pamoja na maumivu chini ya tumbo, haya Maumivu uendana na kusokotwa kwa tumbo hii hali inaweza kudumu kwa mda kama hakuna kupona au nafuu yoyote mgonjwa anapaswa kupelekwa hospitalini mara moja.
4.Dalili nyingine ni kutapika nyingo
Hali hiii utokea pale mtu anapotapika na kumaliza kila kitu hatimaye anaweza kutapika hata nyongo kwa hiyo tunapaswa kuwahudumia mara moja wale wanaoonyesha dalili za hatari za kutapika.
5.Kwa hiyo tunapaswa kufahamu kutapika na kuharisha ni hatari kwa mgonjwa hasa kwa watoto hali hii ikitokea mgonjwa anapaswa kupelekwa hospitalini mara moja ili kuepuka hali ya kuishiwa kwa maji kwa hiyo kuishiwa maji ni hali ya hatari kwa maisha ya mwanadamu.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
FIKRA POTOFY KUHUSU VIDONDA VYA TUMBO Vidonda vya tumbo huja na maoni mengi potofu.
Soma Zaidi...Makala hii inakwenda kukufundisha kuhusu matibabu ya vidonda vyatumbo. Pia utajifunza kwa nini kunakuwa na vidonda vya tumbo sugu.
Soma Zaidi...Mngurumo wa moyo ni sauti wakati wa mzunguko wa mapigo ya moyo wako kama vile kutetemeka inayotolewa na damu yenye msukosuko ndani au karibu na moyo wako. Sauti hizi zinaweza kusikika na kifaa kinachojulikana kama stethoscope. Mapigo ya moyo ya kawaida
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kupatikana ikiwa mwili unaweza kujaa sumu, kwa sababu mwili unapaswa kuwa huru Ili kuweza kufanya vizuri kazi yake ila ikiwa utajaa Sumu Kuna hatari mbalimbali zinaweza kutokea kama vile.
Soma Zaidi...Presha ya kushuka ama kitaalamu huitwa hypotension, presha ya kushuka ni hatari kwa afya kama ilivyo presha ya kupanda, maana mwili unakosa nguvu kabisa.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu visababishi vya vidonda vya tumbo
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na Saratani ya matiti ya Mwanaume ni Saratani nadra ambayo hutokea katika tishu za matiti za wanaume. Ingawa saratani ya matiti hufikiriwa zaidi kuwa ugonjwa wa wanawake, saratani ya matiti ya mwanaume hutokea. Saratani y
Soma Zaidi...Post hii fupi inakwenda kukujuza juu ya tatizo la fangasi na nini ufanye.
Soma Zaidi...Kama unahisi maumivu ya tumbo huwenda umejiuliza swali hili ukiwa kama mwanamke "Je maumivu juu ya kitovu ni miongoni mwa dalili za mimba?". Post hii inakwenda kujibu swali hili
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi Magonjwa vya kurithi ambayo mara nyingi utokea kwenye jamii ni magonjwa ambayo yanaweza kutokea kwenye familia na wanafamilia walio wengi wakaweza kupata ugonjwa huo Magonjwa yenyewe ni kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...